Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Hiyo vinegar inaweza toa hata shombo ya samaki?Unauza sehemu gani siku nikuungishe pia nikuelekeze chachandu ambayo itakutofautisha na wengine pia kuku wako ukiwaosha na maji watie vinegar ni buku tu inakata shombo yote ya kuku.
Hapo unakula msingiBiashara inahatua za ukuaji...ndo upo kwenye hatua ya kwanza be patient...
SAWA MKUUBiashara inahatua za ukuaji...ndo upo kwenye hatua ya kwanza be patient...
Yani naona dalili za kula msingi kabisa kwa sababu siiingizi chochoteHapo unakula msingi
ASante mkuu kwa elimuUnauza sehemu gani siku nikuungishe pia nikuelekeze chachandu ambayo itakutofautisha na wengine pia kuku wako ukiwaosha na maji watie vinegar ni buku tu inakata shombo yote ya kuku.
Wiki bado biashara haijatulia komaa....kwaiyo Mwamba kila anayekuja anakishika shika kidari alafu hanunui.Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa.
Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo. Nikasema ngoja nishushe bei miguu niuze 100 ila wananipita wanaenda kwingine!
Najiuliza nakosea wapi ila sioni kama Mungu namuomba Kila siku Kila muda hata nikiwa naweka kuku kwenye mafuta naomba pia ila wapi
Tupe Location tuje tukupe Support mkuu. Sisi kama sisi tukiamua tunaweza kukunyanyua hapo ulipoWakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa.
Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo. Nikasema ngoja nishushe bei miguu niuze 100 ila wananipita wanaenda kwingine!
Najiuliza nakosea wapi ila sioni kama Mungu namuomba Kila siku Kila muda hata nikiwa naweka kuku kwenye mafuta naomba pia ila wapi
Acha haraka haraka ya mafanikio. Unaowaona wamefanikowa leo wakati wanapambana hukua unawajua. Taratibu wateja watazoea. Jichanganye sasa na miharaka yako utaishia kulaumu watu.Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa.
Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo. Nikasema ngoja nishushe bei miguu niuze 100 ila wananipita wanaenda kwingine!
Najiuliza nakosea wapi ila sioni kama Mungu namuomba Kila siku Kila muda hata nikiwa naweka kuku kwenye mafuta naomba pia ila wapi
sawa ntajitahidi kufanya hivoSio mbaya, hapo ulipo jaribu kuweka viti ata vitatu na meza moja kwa ajili ya kukalia wateja, weka ndimu, pilipili, na chachandu yenye ladha ya kuvutia.
SawaAcha haraka haraka ya mafanikio. Unaowaona wamefanikowa leo wakati wanapambana hukua unawajua. Taratibu wateja watazoea. Jichanganye sasa na miharaka yako utaishia kulaumu watu.
Kaka siumwinend kwa mganga
Mimi siumwi broTafuta mganga kabla ujafata ushauri wowote ule mwngne hl ndo liwe la kwanza
N pmTupe Location tuje tukupe Support mkuu. Sisi kama sisi tukiamua tunaweza kukunyanya hapo ulipo
SiumwiBadili mganga
Weka hapa Location. Hili wote tuone sio mimi pekee yngN pm
Tatizo msingi mzee unakataAcha haraka haraka ya mafanikio. Unaowaona wamefanikowa leo wakati wanapambana hukua unawajua. Taratibu wateja watazoea. Jichanganye sasa na miharaka yako utaishia kulaumu watu.