Jifanye zuzu, kuwa mpole na mwenye ukarimu tele.
Watu wanapenda kunyenyekewa na kuabudiwa... waite majina kama BOSS, MKUU, MAMA, MZEE WANGU.... n.k
Usikaze uso sana. Jilegeze, jibebishe, jidogoshe.
Mimi watu huwa wananiona kama kakijana kapumbavu kasicho na ufahamu, maana najishusha haswa nakuwa kama zezeta ila NAPIGA HELA MBAYA.
Kuna faida gani ya kujikweza? Kiburi kitakupa ugali??
Kuwa zezeta kabisa, GO LOW, STAY STUPID AND FOOLISH... waache wawe juu yako kisaikolojia huku ukiendelea kupiga pesa.