Nafikiri wapinzani waungane waache CCM kuèndelea na uchaguzi waoNajua kuwa Jiwe ndiye aliyetoa maagizo yote hayo, lakini kwa muumini wa dini kama Jafo, ni kwanini akubali hili jumba bovu limwangukie??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri wapinzani waungane waache CCM kuèndelea na uchaguzi waoNajua kuwa Jiwe ndiye aliyetoa maagizo yote hayo, lakini kwa muumini wa dini kama Jafo, ni kwanini akubali hili jumba bovu limwangukie??
Mawazo gani haya?Hivi Jafo anajua kuwa ni yeye ndiye anataka kuivuruga amani na anataka kuleta umwagaji damu nchini??
Hivi kukitokea machafuko hapa nchini kutokana na huu "uchafuzi" wanaoufanya, ni nani atalaumiwa??
Nani wa kuleta machafuko nchi hii?Hivi Jafo anajua kuwa ni yeye ndiye anataka kuivuruga amani na anataka kuleta umwagaji damu nchini??
Hivi kukitokea machafuko hapa nchini kutokana na huu "uchafuzi" wanaoufanya, ni nani atalaumiwa??
kwel mkuu!! jiwe ni hatariUkiwa CCM akili na ufahamu wako wote unausalimisha mfukoni mwa jiwe. Ukiwa na akili za Mussa Assad lazima utimuliwe na uchafuliwe.
Kiufupi, Jah Hana la kufanya zaidi ya kuitikia ndio mzee JIWE.
Bado wanadhani habari za machafuko Ni za Africa Kaskazini na Mashariki ya Kati
Hapo watawapa CCM sifa za kihuni kuwa wameshinda kwa kishindo kumbe uhuni mtupu. Kwa hyo wajiondoe mapemaAbsolutely true
Haiingii akikini kwa hao maccm kupanga mipango miovu ya kiasi hicho, halafu bado wapinzani waendelee kushiriki uchaguzi huo
Kwa kumbukumbu zangu mtu ambaye alishajiuzuru ni mmoja tu Mzee Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani. Haitatokea labda watumbuliwe.Hivi Jafo anajua kuwa ni yeye ndiye anataka kuivuruga amani na anataka kuleta umwagaji damu nchini??
Hivi kukitokea machafuko hapa nchini kutokana na huu "uchafuzi" wanaoufanya, ni nani atalaumiwa??
Huyo simkumbuki. Wangejiufunza toka wenzetu ambao hata kufanya mapenzi na subordinate wako ni kosa kama yule wa MacDonald aliyejiuzuru. Au akina Cameroon aliposhindwa kura ya maoni ya Brexit alivyoachia ngazi. Sisi hatoki mtu maana hawa ni wafalme, malkia na maprinces.Na mwingine ni yule Mzee wa mamvi, mwaka 2008
Jafo hawezi kujiuzulu, ajiuzulu kwasababu gani wakati ametimiza wajibu aliotumwa na boss wake?
Kinachompa kiburi Jiwe, ni hili Jeshi letu la Polisi, ambalo mishahara yao tunailipa walipa kodi wote wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasaJafo hawezi kujiuzulu, ajiuzulu kwasababu gani wakati ametimiza wajibu aliotumwa na boss wake?