Pamoja na kuvurugika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ni kwanini Waziri Jafo hajiuzulu?

Pamoja na kuvurugika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ni kwanini Waziri Jafo hajiuzulu?

Na hii akili ya kitoto nilionayo sasa nimeanza kuamini kwanini CCM huwaambia wapiga kura kua "mkiwachagua wapinzani wataleta vita.."Hamkufanya maandalizi...hamkutoa semina za ujazaji wa form kwa wagombea wenu na Ruzuku yote mmeiweka makao makuu halafu mnategemea muwe perfect..mbona ACT hawalalamiki...?
Hiyo elimu tutaitoa vipi kwa hao viongozi, wakati mikutano yote ya vyama vya upinzani mmeipiga marufuku hadi mwaka 2020??

Wakati mnapiga marufuku vyama vya upinzani visifanye siasa, nyiye CCM kila kukicha tunawaona mnazunguka nchi nzima, mkipiga kampeni!

Hata hivyo hakuna chenye mwanzo, kikakosa kuwa na mwisho......
 
....
.....Hapa ndipo BEBERU linapokwenda kuwika zizini kwa jirani ..time will tell
 
Hivi Jafo anajua kuwa ni yeye ndiye anataka kuivuruga amani na anataka kuleta umwagaji damu nchini??

Hivi kukitokea machafuko hapa nchini kutokana na huu "uchafuzi" wanaoufanya, ni nani atalaumiwa??
Maagizo aliyatoa Rais Magufuli kwa watendaji huko chini alipokutana nao Ikulu. hakuna cha waziri Jafo wala nani awezaye kwenda kinyume na maagizo HARAMU ya Magufuli. ndio maana hao jamaa wanaendelea kukaza buti licha ya kelele za Jafo, ambaye naye anajua kwamba anatakiwa ku-act tu kwamba anatenda haki, wakati hakuna cha haki wala nini
 
Maagizo aliyatoa Rais Magufuli kwa watendaji huko chini alipokutana nao Ikulu. hakuna cha waziri Jafo wala nani awezaye kwenda kinyume na maagizo HARAMU ya Magufuli. ndio maana hao jamaa wanaendelea kukaza buti licha ya kelele za Jafo, ambaye naye anajua kwamba anatakiwa ku-act tu kwamba anatenda haki, wakati hakuna cha haki wala nini
Sasa kama ni maagizo toka juu kabisa....

Ninachojiuliza ni kwanini zitumike "resources" zote hizi, ambapo ni pesa yetu sisi walipa kodi, wakati wao wenyewe CCM weshaamua "kupora" asilimia yote 100 ya viongozi nchi nzima??
 
Sasa kama ni maagizo toka juu kabisa....

Ninachojiuliza ni kwanini zitumike "resources" zote hizi, ambapo ni pesa yetu sisi walipa kodi, wakati wao wenyewe CCM weshaamua "kupora" asilimia yote 100 ya viongozi nchi nzima??
Nchi inaendeshwa kwa kufuata maradhi ya JPM. JPM ana phobia kubwa sana ya uchaguzi. amezuia wengine wasiseme wala wasisikike. siku zote anatangazwa yeye tu. lakini bado anapora kwenye uchaguzi
 
Najua kuwa Jiwe ndiye aliyetoa maagizo yote hayo, lakini kwa muumini wa dini kama Jafo, ni kwanini akubali hili jumba bovu limwangukie??
Jafo hana uumini wowote mkuu..
Kuna waumini wa kiukweli na waumini waigizaji.
 
NENO KUVURUGA NI PANA.SWALI NI KAVURUGA KWA MWONO WA NANI?INAWEZEKANA KWA MAONI YAKO UKAONA AMEVURUGA LAKINI KWA YEYE AKAWA AMEFANYA ILIVYOTAKIWA.


Mystery,
 
Hivi Jafo anajua kuwa ni yeye ndiye anataka kuivuruga amani na anataka kuleta umwagaji damu nchini??

Hivi kukitokea machafuko hapa nchini kutokana na huu "uchafuzi" wanaoufanya, ni nani atalaumiwa??
Yeye atakuwa wakwanza kutafutwa huku section nyingine ikiwa na mission nyingine ya kumsaka kubwa lao [emoji23]
 
Nitajie Mwafrika aliyejiuzulu bila shinikizo kwa nafasi yenye maslahi?
An African is the obstacle in this world.
 
Na
NENO KUVURUGA NI PANA.SWALI NI KAVURUGA KWA MWONO WA NANI?INAWEZEKANA KWA MAONI YAKO UKAONA AMEVURUGA LAKINI KWA YEYE AKAWA AMEFANYA ILIVYOTAKIWA.
Naunga mkono maoni yako Mkuu GuDume

Inawezekana "for the time being" ikawa kwao kicheko na upande wa wapinzani ikawa kilio na kusaga meno.......

Lakini ya Mungu ni mengi, usije shangaa, huyo huyo anayefanya figisu hivi sasa, kesho akawa yeye ndiye anayelia!
 
Ajiuzulu na wake zake wanne nani awatunze?

Cheo kitamu sana.
 
Hivi Jafo anajua kuwa ni yeye ndiye anataka kuivuruga amani na anataka kuleta umwagaji damu nchini??

Hivi kukitokea machafuko hapa nchini kutokana na huu "uchafuzi" wanaoufanya, ni nani atalaumiwa??
Punguzeni unafki, Jafo hausiki kwa lolote katika hili, labda kama mnamuogopa muhusika na mnamjuwa wote.
 
Kwenye jamii ya kistaarabu angewajibika,lakini kwa uhuni unaoendelea hakuna wakuwajibika
Je mnajua kuwa mwananchi kumchagua kwa Uhuru mwakilishi wake kwa njia ya "ballot boxes" ndiyo njia pekee ya kistaarabu

Hiyo hali mliyoileta nyinyi maccm ya kutolijali "ballot box" ndiyo itakayosababisha umwagaji damu nchini
 
Back
Top Bottom