Nyerere alilazimishwa kuunga mkono Palestina kwa msukumo.w kidini wa Nchi kiarabu
Nchi za kiislamu za kiarabu ziliweka vikwazo vya kutoiuzia nchi yeyote mafuta yenye uhusiano na Israel
Ili tusikose Mafuta Nyerere akaiunga.mkono Palestina
Haukuwa uhusiano wa Hiari