Hio Siri ya kambi ma ticha wakuu wanaelewa wanachofanya mpaka wamebadirishiwa mfumo sasa hivi ili kulikwepa hilo ila ticha ni ticha tu anafaulisha humo humoWamegoma kivipi hajapewa takrima
Sisi tunawakaribisha kwenye kazi zetu za ulinzi huku watake wasitake waje kuwa bucha la mbu kwenye apartments za wazungu huku masakiShule za kata hali ni mbaya. Imagine Tanzania tuna shule za kata zaidi ya 1000 alaf shule ya kata moja inatoa zero 100. So hapo madogo kama 100,000 wanakimbilia mtaani kwenye "survival of the fittest"
Sasa hapo anaanza kudanga kitaa mpaka iote suguBora huyo wa kitunda aliyepata zero.
Wew kama viongozi wa Serikali wanawa dharau walimu na kushindwa kuwapa kipaombele katika kuboresha maisha yao unafikiri watafanya kazi Kwa bidii zote kuhakikisha wanafunzi wanafaulu, ndio ujue mfumo wetu wa elimu ni pyramid in shape.Hao wanafunzi wamefili sababu walimu wao wamegoma kuwafaulisha, elewa neno kuwafaulisha
Malaya wamejazana vyuoni wanauza kama hawana akili timamu wala sio siri kuhusu hili suala.Sasa hapo anaanza kudanga kitaa mpaka iote sugu
Sio mchezo kabisa madogo wawahi Bakhresa kasema hataki vyeti anataka talent vyeti ukuda tu mchezo wa kufaulishana nani hajuiSisi tunawakaribisha kwenye kazi zetu za ulinzi huku watake wasitake waje kuwa bucha la mbu kwenye apartments za wazungu huku masaki
Na cha kuchekesha zaidi hizo connection za bodaboda sijui kuuza ukwaju wanapewa na wailopata zero.Hao wanaoenda chuo kikuu wakitoka wanakuja kuuza ukwaju wa bakhresa na hao wa kitunda,kusajili laini na hao wa kitunda, kukimbiza boda boda na hao wa kitunda, kuwa wachekeshaji mitandaoni na hao wa kitunda au nakosea ?
Walimu hawa wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu ujao au unazungumzia walimu gani?Wew kama viongozi wa Serikali wanawa dharau walimu na kushindwa kuwapa kipaombele katika kuboresha maisha yao unafikiri watafanya kazi Kwa bidii zote kuhakikisha wanafunzi wanafaulu, ndio ujue mfumo wetu wa elimu ni pyramid in shape.
Kwani wew umeona nazungumzia walimu wa memkwa hapaWalimu hawa wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu ujao au unazungumzia walimu gani?
Hao Walimu huwaambii kitu kuhusu CCM yaan hata wapunjwe wafanywe nini wadharauliwe ila mengine acha nipige buyuKwani wew umeona nazungumzia walimu wa memkwa hapa
Kwa hio yaitweje Sa100 ili watoto wote wafaulishwe kusafisha jina au sio?Afisa Elimu unamwonea bure wapunguze kucheza ngoma, alafu unakuta shule inatwa Kimbangu Sekondari unatarajia Mtoto atoboe kweli, hata majina ya shule yaangaliwe
Suluhisho hapo ni kujenga mabweni kwenye shule za kata na waongeze madarasa na walimu pia la sivyo zero zitakuwa nyingi mtaani.Afisa Elimu unamwonea bure wapunguze kucheza ngoma, alafu unakuta shule inatwa Kimbangu Sekondari unatarajia Mtoto atoboe kweli, hata majina ya shule yaangaliwe
Mie sitaki kulizungumzia suala hili kisiasa napia naheshimu sana mawazo yako lakini tukae tukijua mfumo wetu wa elimu ni mbovu sana na ndio uliotufikisha hapa, na kusababisha hayo yote uliyosema ambayo yanafanywa na walimu.Hao Walimu huwaambii kitu kuhusu CCM yaan hata wapunjwe wafanywe nini wadharauliwe ila mengine acha nipige buyu
Na wewe ungefanya mtihani hapo kitunda sec kwa huu mwandiko wako basi zero zingekuwa 250Shuke za Kata mazingira ya kujifunzia ni mabaya.
Uwezi hamini kuona wanafunzi wengi wanakaa Chini. Tembelea shuke hata za Mkoa Wa Dar na Pwani ambazo viongo Wa nchi wapo Karibu Na ata kuzipita Mara Kwa Mara. Tuna safari ndefu kwakweli. Shule zingine wanafunzi waliochaguliwa kidato cha Kwanza Wazazi wanashauriwa kuwanunulia Viti Na meza watoto wait.
Suluhisho hapo ni kujenga mabweni kwenye shule za kata na waongeze madarasa na walimu pia la sivyo zero zitakuwa nyingi mtaani.
Pale juu umesema walimu wanadharauliwa ila wanafanyaje?Mie sitaki kulizungumzia suala hili kisiasa napia naheshimu sana mawazo yako lakini tukae tukijua mfumo wetu wa elimu ni mbovu sana na ndio uliotufikisha hapa, na kusababisha hayo yote uliyosema ambayo yanafanywa na walimu.
Oya mkuubasi zero zingekuwa 250