T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Division One wana uwezo wa kufanya kazi popote, hata kuwa bodaboda. Au unamaanisha kupata Div. 1 maana yake hujui kuendesha bodaboda?Hao divisions one wako, baada ya kumaliza chuo kikuu, utawakuta wanaendesha bodaboda kitaa..
Four ya mwisho kuna kazi hawezi, wewe wapi umeenda bank, hospitali, wizarani, telecom, energy au sekta yoyote ukakutana na Miswaki FC kitengo? Labda kufagia na kufunga geti.