Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Mbona wapo madogo waliosoma kayumba na wameondoka na 1.7.Matokeo ya NECTA tumeyaona, miswaki tunaiona kwa kayumba.
Unayo matokeo ya wapika nyanya yanayosimamiwa na baraza lolote yanayoonyesha wamefanikiwa kuwashinda watu kama wa St. Francis????