David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Siku zote mliofeli shule mnapenda sana kujifariji,hata kama wataendesha bodaboda kamwe hawawezi kuwa Sawa huyo aliyefaulu muda wowote anaweza kuacha bodaboda akapata kazi ya maana...ila huyo aliyepata zero hiyo boda boda ndio itakuwa ajira yake ya kudumu akijitahidi sana atakuwa saidia fundiHao divisions one wako, baada ya kumaliza chuo kikuu, utawakuta wanaendesha bodaboda kitaa..
Mkuu unajibu kwa kukurupuka mimi nimesema iwapo mwenye 1 kamaliza chuo halaf amekosa ajira.Hao madogo waliopata matokeo leo nani kakosa ajira mpaka uanze kusema mwenye zero amempita mwenye 1 kimaisha?
Sometimes pia inategemea na akili ya mtoto mkuu.Kusomesha mtoto mjini ni kazi mno bora kumtupa mikoani tu. Huenda ataambulia hata div.4 akafanye udereva
Afisa elimu ndio ana akili za hao wanafunzi?...Acha roho za kimasikini.matokeo ya form four kwa mwaka 2024 yametangazwa leo.
Kwa mujibu wa baraza la mitihani, ufaulu umepanda kwa asilimia tatu.
Ila huku kwenye shule za kata hali mbaya. Unakuta nusu ya wanafunzi wamefeli vibaya mno katika shule husika.
Mfano shule kama Kitunda hali ni mbaya, wanafunzi 249 wamepata division zero. Unajiuliza hii shule ina uongozi kweli? Afisa Elimu nae analipwa mshahara kabisa? Nini kifanyike wakuu?View attachment 3211475
View attachment 3211479
View attachment 3211481
View attachment 3211491
View attachment 3211492
Soma: NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
Mwashambwa as your name represents and idiot! Numbers dont lie this is the reality.Wewe kama Mzazi pia una wajibu wa kutoa hamasa na kumsisitiza mwanao kusoma kwa bidii na siyo kuachia kazi hiyo kwa walimu pekee. Timiza wajibu wako vyema.
Akikosa ajira Div. 1 yake haifutiki, wala mwenye zero hawi na ufaulu. Na wala haitokei UTUMISHI wakatangaza nafasi za ajira, wakapata nafasi wenye zero na miswaki. Kwahiyo huyo asiye na ajira na ana elimu husika chances za kuipata baadae zipo, huyu mwenye miswaki ana 0.005% probability.Mkuu unajibu kwa kukurupuka mimi nimesema iwapo mwenye 1 kamaliza chuo halaf amekosa ajira.
Mkuu kwa Tz ya leo mtu mwenye connections ndo anapata ajira kiurahisi so mtu akimaliza chuo na hana connections atasota sana mtaani pamoja na wale wenye zero na kumbuka muda huo wenye 0 walikuwa wanajitafuta wakati wenye 1 wanasoma so mwenye 1 atamkuta mweye 0 yupo mbali.Akikosa ajira Div. 1 yake haifutiki, wala mwenye zero hawi na ufaulu. Na wala haitokei UTUMISHI wakatangaza nafasi za ajira, wakapata nafasi wenye zero na miswaki. Kwahiyo huyo asiye na ajira na ana elimu husika chances za kuipata baadae zipo, huyu mwenye miswaki ana 0.005% probability.
Ndio maana hujauliza vipi mwenye zero kukosa ajira, sababu haikushangazi na ni kitu cha kawaida cha kutegemewa.
In Tanzania, mwenye connections za maana hata kama ana miswaki sio sawa na division one wa uswahilini. Rejea kisa cha mtoto wa kigogo miaka ya nyuma sijui Mwanahawa au Mwajuma yule..Mwenye Division 1 kashaipata ndio hivyo hata umuue haifutiki, mwenye Mswaki ndio hivyo ashaupata hata awe na connectio au hana.
Kama vipi mpeleke huyo kilaza mwenye sifuri ya Form 4 na connection awe hata Afisa Habari wa Vodacom uone kama connection uchwara zitamsaidia.
Bila connections za maana bongo hautoboi..Siku zote mliofeli shule mnapenda sana kujifariji,hata kama wataendesha bodaboda kamwe hawawezi kuwa Sawa huyo aliyefaulu muda wowote anaweza kuacha bodaboda akapata kazi ya maana...ila huyo aliyepata zero hiyo boda boda ndio itakuwa ajira yake ya kudumu akijitahidi sana atakuwa saidia fundi
Leeni watoto ktk maadili, wazazi wengi wa dar wanawaleta watoto wao mikoani tuwasaidie kulea, huko mnapopaita dar hapana maana ktk malezi ya watotomatokeo ya form four kwa mwaka 2024 yametangazwa leo.
Kwa mujibu wa baraza la mitihani, ufaulu umepanda kwa asilimia tatu.
Ila huku kwenye shule za kata hali mbaya. Unakuta nusu ya wanafunzi wamefeli vibaya mno katika shule husika.
Mfano shule kama Kitunda hali ni mbaya, wanafunzi 249 wamepata division zero. Unajiuliza hii shule ina uongozi kweli? Afisa Elimu nae analipwa mshahara kabisa? Nini kifanyike wakuu?View attachment 3211475
View attachment 3211479
View attachment 3211481
View attachment 3211491
View attachment 3211492
Soma: NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
Shida serikali haijawekeza sana katika shule zao wakishajenga madarasa kumi.na vyoo viwili wanaona wamemaliza matokeo yake shule nyingi ila quality mbovu.Watawala utawaona Dodoma wanaimba "iyena iyena" kwa bashasha huku wakiburudishwa na akina Zuchu.
Tukiwapigia sana kelele,mwakani hiyo Kitunda secondary form four wote watapiga Div one.
Hii hali inaogopesha sana siku za usoni, hawa vijana tunawaandalia mazingira gani ya baadaye kwa manufaa ya Taifa?
LIKUD amejificha tangu matokeo yatangazwe. Anaona aibu kabisa..Ndugu yangu LIKUD unaonaje hiyo shule ya Kitunda ni kayumba inayomfaa mwanao maana wewe hutaki EM schools.
Wakati mwanao anaambulia miswaki wewe unamfanyia "uwekezaji" ili usitumie hela bure kulipa ada. Akitoka hapo na zero, aje awashinde wale kina St. Francis kwenye ufaulu wa chuo cha ndotoni, maana kwa matokeo hayo chuo kikuu its likely atakisikia kwenye redio. Labda ianzishwe kozi ya uyaya.
Kabla ya kumfukuza Afisa Elimu, tujiulize kama Serikali imetimiza wajibu wakematokeo ya form four kwa mwaka 2024 yametangazwa leo.
Kwa mujibu wa baraza la mitihani, ufaulu umepanda kwa asilimia tatu.
Ila huku kwenye shule za kata hali mbaya. Unakuta nusu ya wanafunzi wamefeli vibaya mno katika shule husika.
Mfano shule kama Kitunda hali ni mbaya, wanafunzi 249 wamepata division zero. Unajiuliza hii shule ina uongozi kweli? Afisa Elimu nae analipwa mshahara kabisa? Nini kifanyike wakuu?View attachment 3211475
View attachment 3211479
View attachment 3211481
View attachment 3211491
View attachment 3211492
Soma: NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!