Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Kabla domo kubwa hajarusha mipasho yake kwenye ile nyimbo ya fid q Kiba alirusha kijembe gani before,
 
Kabla domo kubwa hajarusha mipasho yake kwenye ile nyimbo ya fid q Kiba alirusha kijembe gani before,
Nani alilianzisha hili beef nani chanzo cha haya yote....who was the first source of this shit (beef) labda nikisema apo utakuwa umenielewa.....imagine kiba angerudi tu kwny mziki kwa amani bila vijembe na mipasho kwa domo unafikiri huu ipuzi ungekuwepo....??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla domo kubwa hajarusha mipasho yake kwenye ile nyimbo ya fid q Kiba alirusha kijembe gani before,
Source yangu ni sporah show 2014 kiba aliropoka vitu vingi sana mle kuhusu domo...na mm nikuulize kabla ya hapo ulikuwa ushawahi kumsikia mond akimtupia vijembe kib...tokea apo ndo chanzo cha haya yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi value ya viwers 3.2m iliyopigiwa promo uck na mchana na kimambi...inalingana na 2.2m isiyopigiwa promo??????? What if mange asingepiga promo ya seduce??? .....simba ni simba tu

Sent using Jamii Forums mobile app
ndio maana mimi nashangaa...eti watu wanapiga kabisa kampeni..nendeni you tube..nendeni youtube.Ndio mana mi ninasema...in weeks time Wimbo wa mondi uta overtake..kwa sababu views zina kuwa naturally
 
Point alisema kuna mtu alikuwa kakalia kiti changu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3.3M naona viewers wa eneka wanakaribiwa hapa

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
hhhhhhhhh njoo nikupe jaman... umenikuna sana hhhhhhhh
 
HHHHHH eti hapendi show off hhhhhh millard ayo na kujificha kote lakini tz nzima inajua show of zske kama sudio yake na ayo tv bila kusahau mikataba yake hhhhh
 
wewe ni mpuuzi sana .
Umaskini na Utajiri hauna uhusiano mkubwa na umahiri wa mwana muziki. analogy yenu ni sawa na kusema H Baba ni mwanamziki bora kuliko Mbaraka wa Mwinshehe.
 
Kwani msanii mkubwa lazima awe na studio? Hivi wasanii wote wakubwa waarekani wana studio? Mbona mnakariri mambo na mnataka kila mmoja afanye hivyo hivyo? Akina Taylor Swift, Katy Perry na Nick Minaji wanamiliki studio?
 
Hawa Watu tunawafahamu tunaishi nao mtaani, Diamond ni tajiri.Mengine sio ya kuandika humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hhhhh mashabiki wa kiba wengi ni mashabiki wa mdomo tu hhhhhh hawnaga matendo wao ni midomo tu kazi za bosi wao hawanunui na kwenye show hawaendi wao wanamsifia mitandaoni tu hhhhhhhhhhhh
 
Kiba ndio alianzisha choko choko baada ya kurudi kwenye game
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…