Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Richest Musicians in Tanzania


Tanzania has very talented musicians, who have dominated the East African music industry for decades. Richest musicians in Tanzania, who include Diamond Platnumz, drive sleek cars, live in posh areas and have invested heavily in real estate, entertainment industry, transport as well as stock market.
Talent pays, and that’s exactly the story about these great musicians. For inspiration and motivation, below we discuss the wealthiest musicians in East Africa.

Diamond Platnumz

Diamond Platnumz is the wealthiest Bongo musician. Starting from nowhere in 2009, the celebrated artiste has accumulated enough to call him wealthy. Today he drives a Ferrari, Jaguar, BMW and any luxury car suitable for Tanzanian roads.

His net worth is in excess of $ 5 million, which puts him at position 2 in East Africa and number 1 in Tanzania.

Diamond never performs at an event before pocketing $ 4000 (Tsh 8 million)

Married to model, Zari Hassan, Diamond makes Tsh 2 million per day from his music and his popular Recording Studio.

Apart from his liquid cash, Diamond owns a house in Dar es Salaam and several apartments in Tanzania.

Ali Kiba

Ali Kiba started his music career in 2000 and is one of the biggest names in Tanzania. The Bongo artiste has released hit after hit, raising his profile in length and breadth. When he enters a club, everybody bows for him, not because he is a king but the fact that he conquers.

Ali Kiba is worth a staggering $ 4 million, and his wealth is rising significantly, thanks to the many shows he performs weekly.

Apart from Music,Ali Kiba has a posh home in Dar es Salaam, he also own acres of land and top of the range cars.

A single performance in a top club earns the musician not less than $3,000

Professor Jay

Joseph Haule, popularly known as Professor Jay, the musician comes third with a total net worth $3.5million.

The legislature started his music career in 1990 and has since dominated the industry. Every singer emulates him and looks up to him for direction-he has nurtured many talents.

Professor Jay has invested heavily in the entertainment industry, real estate and transport business. He owns a posh home in Dar es Salaam, a Range Rover and a host of other cars.

Though currently he is a distant behind Diamond and Ali Kiba, Professor Jay still has a fan base, which comprises of mostly youths above age 30.

Lady Jay Dee

The iron lady in Tanzania’s Bongo industry, Lady Jay Dee has made a mark, rising from rags to riches. Today she is among the wealthiest Bongo musicians.

Jay Dee owns a band by the name Machozi,she owns a Mercedes Benz, Toyota V8 and a several models. Apart from property and cars,she also earns at least $ 1500 from every performance.
mbona team mond hii post wanaipita kama hawaioni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
mbona team mond hii post wanaipita kama hawaioni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
Post ya uongo,.ali hata mi namshinda
 
ali kiba ana gawa magari kibao tu!!

seduce me una viewers 3.2m na ule zilipendwa una 2.2
 
kiba hapendi kujionesha kwasababu kwake anaona vya kawaida ila mond lazima apagawe kwa maana maisha aliyopitia ni ya choka mbaya Sana'a!!
 
Ali Kiba hana cha kuonesha,ndiyo maana hatuoni chochote.Kwa mtu maarufu hata usipotuonesha Mapaparazi wangekuwa wanapenyeza hata tetesi.Tuwe wakweli Ali Kiba anautajiri wa Sauti,Maringo,Kujiona,Kujisikia etc.Lakini kujiingizia kipato apige kozi Diamond (Ambaye tayari amejiwekea misingi ya uvunaji pesa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Seven meneja wa Ali K..ni MTU mwerevu kupita mameneja wote wa Mondi...Ali alivyopiga kimya wasafi wakatoa nyimbo 20 zote za kawaida(producer wao sio mkali)..kukawa na kummiss Ali kimkakati..alivyotoka balaa wanaangaika wasijue la kufanya...nakumbuka Tale aliulizwa clouds FM issue za madawa àkajibu kirahisi mziki una hela kuliko ngada..alitaka kuaminisha watu hivyo..ukaribu wa diamond na Kinje unatia shaka
 
Ali Kiba hana cha kuonesha,ndiyo maana hatuoni chochote.Kwa mtu maarufu hata usipotuonesha Mapaparazi wangekuwa wanapenyeza hata tetesi.Tuwe wakweli Ali Kiba anautajiri wa Sauti,Maringo,Kujiona,Kujisikia etc.Lakini kujiingizia kipato apige kozi Diamond (Ambaye tayari amejiwekea misingi ya uvunaji pesa)

Sent using Jamii Forums mobile app
100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Seven meneja wa Ali K..ni MTU mwerevu kupita mameneja wote wa Mondi...Ali alivyopiga kimya wasafi wakatoa nyimbo 20 zote za kawaida(producer wao sio mkali)..kukawa na kummiss Ali kimkakati..alivyotoka balaa wanaangaika wasijue la kufanya...nakumbuka Tale aliulizwa clouds FM issue za madawa àkajibu kirahisi mziki una hela kuliko ngada..alitaka kuaminisha watu hivyo..ukaribu wa diamond na Kinje unatia shaka
Mkuuu mbona kiba ni duni sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mbaya kuandika vitu vya kujifariji fariji kama hivi

Ila kuna uwezekano diamond ni maskini tu coz haiwezekani yeye ndo awe mwanzisha bifu na mtu ambaye wewe unaona kamzidi...hivi jivishe viatu vya diamond halafu jiulize ungeanza vipi kumuimba mtu uliyemzidi kila kitu?au wewe ndo uliyezidiwa utajiri so unatafuta kiki kwa kuimba mipasho kwa kwa mwenzio
Nani muanzisha beef kT ya hao wawili tuanze apo kwanza siyo unakurupuka tu......kiba si alirudi kw mbwembwe, vijembe na maneno kibao kama mwanamke mzalamo.....kiba ndo mwanzilishi wa hili beef.....asingerudi kwa vijembe na dharau kwa mwenzie sizani kama izi mambo zingekuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejitahidi kuandika upupu kumtetea umpendae, ni kwa sababu hutumii akili , aliemuanza mwenzie nani diamond ndio anaroho mbaya pamoja na wapenzi wake ambao sio wapenzi wa mziki bali wanapenda maisha yake ya kashfa na kujionyesha. Wimbo wa alikiba ni mzuri sana ukiuchukia wewe sio mpenzi wa mziki unaongozwa na ushabiki ndio maana hutoelewa. Kweli haina ubishi diamond ana hela kuliko alikiba ila imechangia na mambo mengi, alikuwa na management nzuri na amepata umaarufu dunia ikiwa imepamba moto kwenye utandawazi,mitandao ikambeba na walio muongoza wakamsaidia kumjulisha thamani yake tofauti na alikiba aliendelea kuishi kwa mazoea sababu wakati anavuma dunia ilikuwa ya analogia ndio maana haina ubishi kuwa nyuma kuliko diamond. Diamond ametoa nyimbo nyingi mwaka huu zinabuma ndio maana chuki na wivu vikamuingia na hapo ndio kaburi lake kawaudhi watanzania wengi ndio maana wameonyesha hasira yao kwa kumpa sapoti kiba. Diamond ana follower's 4m karibia Alikiba anao follower's 2m tu. Tulichokiona diamond aliamini akitoa wimbo kumjibu kiba atamkimbiza kwa viewer's bahati mbaya imekula kwake sio kwa viboko vile utafikiri hana followers wengi. Diamond na mashabiki wake kama wewe ndio mnachuki na kiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hoja kwann ALI KIBA NI LOFA.....na DAIMOND tajiri.....ukweli ni kwamba MAADUI wa DAIMOND wanatumia nguvu nyingi sn kumbeba KIBA...na wakati wa kiba ushapita.....na ikumbukwe kuwa KAMA isingekuwa DIAMOND leo hii hyo BONGO FLEVA ingeshakufa kama BONGO MOVIE....na pia hiyo nyimbo ya SEDUCE me ni ya kawaida sn tu..NYIMBO ina maneno ya UPUUZI mtupu...mara MANDINGA.mara KIPUSA ....chuki zenu ndy zinambeba KIBAKULI....ndy maana tunasema NYIMBO ya INSTAGRAM na FACEBOOK tu...inaishia huko..huko..na siku zote huwezi fananisha THAMANI ya 504 PEUGEOT (KIBA)na BUGGATI CHIRON(DIAMOND)..kinachofanyika now ni kumfananisha DIANOND na vitu vya KIPUUZI..unasema diamond katoa nyimbo kibao ZIMEBUMA...kweli UPO VIZURI kiakili ? Diamond kachukuwa TUZO KIBAO kwa nyimbo hizo ulizosema ZIMEBUMA.....wakati huo KIBAKULI YUPO KIMYA TU haijulikani ANAIGIZA MOVIE au anachofanya... hivi kama wanamuzi wangekuwa mwaka mzima anatoa nyimbo moja kweli tungesikiliza mziki?au na wewe huyo diamond kakuchukulia? Maana visasi vingi ukiangalia ni vya wanawake na wivu wa maendeleo tu...unasema nani kamuanza mwenzie .....siku zote DIAMOND anatukanwa mitandaoni na watu wa KIBAULI...WEMA..HAMISA....na wale wote wenye chuki nae...kwani aliposema hawezikuwa km CINDERELA ni tusi?matokeo yake akanza kutukanwa matusi mazito ya nguoni....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiba hapendi kujionesha kwasababu kwake anaona vya kawaida ila mond lazima apagawe kwa maana maisha aliyopitia ni ya choka mbaya Sana'a!!
Hana cha kuonyesha ndo maan yupo kmy....hakuna msanii asiyependa show off.....kuna kipindi nahisi ni GSM walikuwa wanachangisha pesa kwa ajili ya upasuaji wa wtt wny vichwa vikubwa nakumbuka domo alitoa 20M kiba akaenda kutoa 21M na kutangaza jumla ili tujue yeye katoa kubwa zaidi.....siku akimzidi mond kimkwanja atapost sana kwa mbwembwe lkn asa iv hana cha kuonyesha, that is the naked truth.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom