Japo ni kamba ila we jamaa ni lijingaWife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Una akili sana, wewe sio kibuyu....kuna watu hawana aibu hapo hapo ofisini kwa wife anaenda kutongoza!!!!
Kama ni kweli basi ujue unapimwa imani.. Wife wako amaeamua kutikisa kiberiti kupitia kwa boss wake.Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Hilo nalo neno maana wife anavomwamini boss wakeKama ni kweli basi ujue unapimwa imani.. Wife wako amaeamua kutikisa kiberiti kupitia kwa boss wake.
In short usigonge demu ambae yuko kwenye circle ya wife. Habar zinaweza zisifike leo.. ila zitafika tu.Wife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.
Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.
Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa
Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kubali yaishe......nakutania angalia inaweza kua ni mtego!Wife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.
Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.
Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa
Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Shetani ana nguvu sana na ushawishi mkubwa sana.. Bado hujavuka hilo jaribu.. Shetani akitaka lake huwa hashindwiWife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.
Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.
Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa
Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hili nalo neno mkuu. Sasa mwache ategeke hahaKama ni kweli basi ujue unapimwa imani.. Wife wako amaeamua kutikisa kiberiti kupitia kwa boss wake.
Duh... Utahakikisha anajuwa kwamba na wewe umemla wake au kisailensi modi?nikijua work mate kala wangu nami namla wake....shwain!!!
Naomba mwongozo katika hilo shemejiDuh... Utahakikisha anajuwa kwamba na wewe umemla wake au kisailensi modi?
Umefanya busara sana, ukiruhusu hili uhai wa mkeo unauweka rehaniWife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.
Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.
Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa
Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Piga kisailensa shemela.. Maana hata wewe wako akiliwa hutegemei mlaji aje aseme.. Unaitafuta taarifa huko huko iliko shem wangu... Simba mwenda pole/kimya ndiye mla nyamanaomba mwongozo katika hilo shemeji