Pamoja na umalaya wangu hili nimelivuka

Pamoja na umalaya wangu hili nimelivuka

inatokeaga kama mtu ana mashauzi sana watu wanamkula mme ilimradi tu, kuna ofisi moja nlikuaga...mdada mmoja kila siku story za mme, mme wangu hikii mme wangu kilee mme wangu heeee, akajitokeza shababi mmoja kwenda kujionea huyo mme ana nini [emoji16][emoji16] akamkula.

kuna siku kanunua kuku, ooh naenda kumla na mme wangu, yule shababi akambeba mme usiku kucha hata kuku hakuliwa [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu sii wa mchezo mchezo
Aisee
giphy.gif
 
Hili pambano umeshinda leo tu ila utakuja kupokea kipigo kikali kama dulla mbabe soon.
 
Wife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .

Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.

Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.

Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa

Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app

Kwa sababu una gold? As simple as that?
 
Kama hii sio chai, basi tabu imeanza kwa mkeo kuwasimulia mashosti zake jinsi unavyomkunja...

Hapo kaanza boss, atakuja na mwingine na mwingine...sasa kazi ni kwako kuwa jogoo wa kuazima 😁
 
Hii game ni 180 minutes, first leg ndio imeanza tuko dk 15 tu..it's too early to celebrate [emoji23]
 
Wife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .

Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.

Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.

Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa

Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Chai
 
Una akili sana, wewe sio kibuyu....kuna watu hawana aibu hapo hapo ofisini kwa wife anaenda kutongoza!!!!
Dah,ilikuwa tabia yangu hiyo enzi hizo za nna 30+yrs, Mimi nilikuwa na uchu balaa,

Kuna house girl nilikuwa namtaka alishajaa tayari kwenye Line,Sasa bwana kumbe mungu alishanichoka akahamua kuniumbua, kuna siku wife yupo chumbani, Mimi natokea mlango wa nje kupitia jikoni,nafika kwenye korido inayotoka master bedroom na room zingine, nikakutana na house girl kwenye korido, Basi Mimi kwa umalaya wangu nikampiga kibao kwenye shavu kile Cha mahaba"
Mara wife nae muda huohuo anafungua mlango atoke nje, aisee ilikuwa patashika nguo kuchanika"

wanaume tuna tamaa Sana kmama'e
 
Wife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .

Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.

Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.

Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa

Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kweli kwenye miti hamna wajenzi
 
Dah,ilikuwa tabia yangu hiyo, Mimi nna uchu balaa,

Kuna house girl nilikuwa namtaka alishajaa tayari kwenye Line,Sasa bwana kumbe mungu alishanichoka akahamua kuniumbua, kuna siku wife yupo chumbani, Mimi natokea mlango wa nje kupitia jikoni,nafika kwenye korido inayotoka master bedroom na room zingine, nikakutana na house girl kwenye korido, Basi Mimi kwa umalaya wangu nikampiga kibao kwenye shavu kile Cha mahaba"
Mara wife nae muda huohuo anafungua mlango atoke nje, aisee ilikuwa patashika nguo kuchanika"

wanaume tuna tamaa Sana kmama'e
nyie mnaokula housegirls ndio wa#*$#& kabisa
 
Back
Top Bottom