Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
😂😂😂😂 shemejiiiiiPiga kisailensa shemela.. Maana hata wewe wako akiliwa hutegemei mlaji aje aseme.. Unaitafuta taarifa huko huko iliko shem wangu... Simba mwenda pole/kimya ndiye mla nyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 shemejiiiiiPiga kisailensa shemela.. Maana hata wewe wako akiliwa hutegemei mlaji aje aseme.. Unaitafuta taarifa huko huko iliko shem wangu... Simba mwenda pole/kimya ndiye mla nyama
Yanini kukimbizana na watu akati unaweza ukajilia kiulaiiiniiiii bila ngendembwe...!!!???😂😂😂😂 shemejiiiii
Aiseeinatokeaga kama mtu ana mashauzi sana watu wanamkula mme ilimradi tu, kuna ofisi moja nlikuaga...mdada mmoja kila siku story za mme, mme wangu hikii mme wangu kilee mme wangu heeee, akajitokeza shababi mmoja kwenda kujionea huyo mme ana nini [emoji16][emoji16] akamkula.
kuna siku kanunua kuku, ooh naenda kumla na mme wangu, yule shababi akambeba mme usiku kucha hata kuku hakuliwa [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu sii wa mchezo mchezo
Amkule tu mengine mbele ya safariKubali yaishe......nakutania angalia inaweza kua ni mtego!
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Yeah watajua mwakaniAmkule tu mengine mbele ya safari
nacheka kisukuMaaa hihihiii bagooooshaaa 😁Yanini kukimbizana na watu akati unaweza ukajilia kiulaiiiniiiii bila ngendembwe...!!!???
Wife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.
Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.
Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa
Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja.nikijua work mate kala wangu nami namla wake....shwain!!!
ChaiWife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.
Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.
Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa
Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Dah,ilikuwa tabia yangu hiyo enzi hizo za nna 30+yrs, Mimi nilikuwa na uchu balaa,Una akili sana, wewe sio kibuyu....kuna watu hawana aibu hapo hapo ofisini kwa wife anaenda kutongoza!!!!
Kweli kwenye miti hamna wajenziWife anafanya kazi kwenye taasisi flani, kipindi wife akawa amejifungua wageni nyumbani wakawa wanakuja, sitasahau jpli moja nimeshinda nyumbani kuna ndugu zangu walikua wanakuja kumjulia Hali wife na mtoto .
Before ndugu zangu hawajafika walikuja wafanyakazi wenzake na wife so ikabidi wife anipe namba ya moja ya staff mate wake nikawaelekeze home apo ndo shida ilipoanzia.
Nikaenda kuwapokea wanawake wanne walikua wadada wa makamo watatu ni mtu mzima wa 40+ mmoja ambae huyu ndo boss wa idara yao wife uko kazini kwao.
Baada ya kuwakaribisha home ikabdi me nichomoke niwape uhuru nikaenda baa nikakaa kaa mpka nilivorudi nyumbani wakawa washasepa
Siku mbili baadae boss wa wife kanipigia cm tuonane nimeonana nae mmama anataka nimpe dudu ya wife kwa muonekano mmama ni machine na nusu lkn nafsi yangu imekataa kumgonga mtu anaefanya kazi pamoja na wife Never na misimamo yangu ndo hyo sitakaa nitembee na mwanamke yeyote mwenye access na mke wangu Bora nikacheze mbali
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
nyie mnaokula housegirls ndio wa#*$#& kabisaDah,ilikuwa tabia yangu hiyo, Mimi nna uchu balaa,
Kuna house girl nilikuwa namtaka alishajaa tayari kwenye Line,Sasa bwana kumbe mungu alishanichoka akahamua kuniumbua, kuna siku wife yupo chumbani, Mimi natokea mlango wa nje kupitia jikoni,nafika kwenye korido inayotoka master bedroom na room zingine, nikakutana na house girl kwenye korido, Basi Mimi kwa umalaya wangu nikampiga kibao kwenye shavu kile Cha mahaba"
Mara wife nae muda huohuo anafungua mlango atoke nje, aisee ilikuwa patashika nguo kuchanika"
wanaume tuna tamaa Sana kmama'e