Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Aiseeee!Ww si umeacha kumtafuna huyo maza kisa anafanya kazi na wife wako sasa subiri mme wa huyo mama amtafune mkeo hapo ndio utajua hiii dunia haiko sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee!Ww si umeacha kumtafuna huyo maza kisa anafanya kazi na wife wako sasa subiri mme wa huyo mama amtafune mkeo hapo ndio utajua hiii dunia haiko sawa
Mnabadilishana Virusi tu! Akili za kisasi hazijawai mwacha Mwanamke yoyote yule salamaa!! Kaa tafakari!!nikijua work mate kala wangu nami namla wake....shwain!!!
Hapo ndio shida zinapoanzia na mbaya zaidi atakuwa anamuita Dada kabisa😂Huenda mkeo Kuna vitu huna anamsimulia boss wake kuhusiana na wewe[emoji4]
Hahahahah kwahio shababi wa kike kainuka kidedea😅inatokeaga kama mtu ana mashauzi sana watu wanamkula mme ilimradi tu, kuna ofisi moja nlikuaga...mdada mmoja kila siku story za mme, mme wangu hikii mme wangu kilee mme wangu heeee, akajitokeza shababi mmoja kwenda kujionea huyo mme ana nini 😁😁 akamkula.
kuna siku kanunua kuku, ooh naenda kumla na mme wangu, yule shababi akambeba mme usiku kucha hata kuku hakuliwa 😂😂😂 Kuna watu sii wa mchezo mchezo
Ila huyo muhusika sina shaka ni wewe tu sema unajivunga😅inatokeaga kama mtu ana mashauzi sana watu wanamkula mme ilimradi tu, kuna ofisi moja nlikuaga...mdada mmoja kila siku story za mme, mme wangu hikii mme wangu kilee mme wangu heeee, akajitokeza shababi mmoja kwenda kujionea huyo mme ana nini 😁😁 akamkula.
kuna siku kanunua kuku, ooh naenda kumla na mme wangu, yule shababi akambeba mme usiku kucha hata kuku hakuliwa 😂😂😂 Kuna watu sii wa mchezo mchezo
walaa mme mwenyewe sura mbaya hashtui yaniIla huyo muhusika sina shaka ni wewe tu sema unajivunga😅
wacha weee kumbe mwanamke ndio hupata virusi eeeh hihihiii nachekaaa,Mnabadilishana Virusi tu! Akili za kisasi hazijawai mwacha Mwanamke yoyote yule salamaa!! Kaa tafakari!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sasa hapo hawana akili vipi, kuomba naniliiuu ndiyo ututukane hivi...?Una akili sana, wewe sio kibuyu....kuna watu hawana aibu hapo hapo ofisini kwa wife anaenda kutongoza!!!!