Pamoja na umalaya wangu hili nimelivuka

Hakuna bora hapo mkuu, usijipe moyo, mwizi ni mwizi tu, uibe shilingi 500 na uibe milion 50. Wote wezi
 
kula nyama
 
Hakuna mwanamke ambaye anaweza kumpigia mwanaume ili akamkaze. Labda tu awe ni mwanamke wako wa siku nyingi au ni malaya au kahaba.

Mbali na hayo mazingira naona kama unatupandisha gari ambalo siyo mkuu.
 
Miaka mingi iliyopita nami nilipitia kadhia hii.
Tena aliyenitaka alikuwa waziri mwanamke.
Nilienda kumlilia hali kwa shida kubwa iliyonipata, kwa kuonewa.
Aliahidi atanisaidia.
Siku mbili baadaye msaidizi wake akanipigia simu.
Na akasema bila kumung'unya.
Akasema mama amekupenda na anataka faragha na wewe!
Wacha !!!!
Niliruka kimanga, na nikasema hili jivu nililomo aheri nibakie tu huku, hapo ntakanyanga moto.
Nikatokomoea kusikojulikana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…