Pamoja na umalaya wangu hili nimelivuka

Hahahahah kwahio shababi wa kike kainuka kidedea๐Ÿ˜…
 
Ila huyo muhusika sina shaka ni wewe tu sema unajivunga๐Ÿ˜…
 
Mapema mno kujitangazia ushindi..

Jipe muda kidogo
 
Una akili sana, wewe sio kibuyu....kuna watu hawana aibu hapo hapo ofisini kwa wife anaenda kutongoza!!!!
Sasa hapo hawana akili vipi, kuomba naniliiuu ndiyo ututukane hivi...?
 
Bado upo hatua ya awali hujafika hata kwenye play off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ