Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Rais Samia bado hakubaliki kanda ya ziwa

Una uhakika na ulichokiandika?
 
Kanda ya ziwa ipi hiyo,ziwa Tanganyika au ziwa Rukwa,eleweka usaidiwe?,kama unaongelea mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Geita na simiyu,rudia kufanya utafiti wako,umekosea mkuu.

Kanda ya ziwa huwambii kitu kuhusu mama
Mama yupi huyo mama mzazi mama wa kambo au mama kimbo kama ni mama sa100 hebu na ww fanya utafiti wako umekosea mkuu
 
Lucas mwashambwa ukipenda kitu wewe Lucas usitegemee sote tukipende.
Peleka uchawa wako Mafia. Wewe umefika Mwanza na Geita ukasikia watu wanasemaje? Sukari Sasa Ni official 5,000 nauli Mwanza Dar unaijua? Unajua kipindi Cha nanihii ilikua Bei gani.
Wewe uko ndani hutoki nje Kama house girl, uliza watu wanaotoka nje wanavyosema.
 
Bora umemwambia.
 
Kanda ya ziwa ipi hiyo,ziwa Tanganyika au ziwa Rukwa,eleweka usaidiwe?,kama unaongelea mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Geita na simiyu,rudia kufanya utafiti wako,umekosea mkuu.

Kanda ya ziwa huwambii kitu kuhusu mama
Kanda ya ziwa ccm na samia wamepoteza ushawishi...usikataee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…