Panya Magawa astaafu kazi ya kufichua mabomu kimataifa

Panya Magawa astaafu kazi ya kufichua mabomu kimataifa

Nimesoma comments za wadau kwenye huu uzi...dah!!

Ni kama vile Vijana wengi wa Tz wamevurugwa aisee.
CCM iondoke tu...imeua kwa kiwango kikubwa uwezo wa wananchi wa kufikiri mambo kwa uzito wake.
 
Vibaya mno aisee....yaan hata kwa tv huwa naruka..argh
Mi nko nao sana huku uswahilini.wanapenda sana vichaka ndo maana hawaishi
Kuna mwenzangu anao huko kwake wakubwa halafu wanakula katikati tu,yani kama NI shati au gauni wanakula mgongoni,begi au pochi wanakula chini kwenye kitako.namkuta mwenyewe analalamika "ohh nani hawa panya niwafanye nini blauzi yangu mpya kabisa nimeivaa Mara moja nakuta imetobolewa mgongoni" hahaa
 
Life it's not fear,, yani panya kalikwea pipa wakati watu wengine ye na mwakaleli, mwakaleli na yeye, akibadilika kidogo ireje.
 
Mi nko nao sana huku uswahilini.wanapenda sana vichaka ndo maana hawaishi
Kuna mwenzangu anao huko kwake wakubwa halafu wanakula katikati tu,yani kama NI shati au gauni wanakula mgongoni,begi au pochi wanakula chini kwenye kitako.namkuta mwenyewe analalamika "ohh nani hawa panya niwafanye nini blauzi yangu mpya kabisa nimeivaa Mara moja nakuta imetobolewa mgongoni" hahaa
Hahahahah...!apunguze misongamano...naskia panya wanpenda misongamano
 
Arudi bongo huku, afukuzane na mapaka ya kichawi
Ila achunge pesa za penshen kunapanya madanga huku watamfilisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aaahhhh this is JF

Mwanangu umenichekesha sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.

Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia

Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO

Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake

Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.

View attachment 1808755
Magawa?huyu panya atakuwa ni mbondei wa Tanga maana ndiyo haya majina nayaonaga huko
 
Bila shaka sasa ni muda wake wa kula bia na totozzz, maana kuna muda alibaki peke yake uwanja wa vita akinusa maguruneti na kuuza roho.
 
panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.

Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia

Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO

Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake

Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.

View attachment 1808755
Kama panya magawa amevalishwa nishani na kupewa promo namna hii. Inamaana siku panya magawa akifa watatangaza siku ya mazishi, kuaga mwili na mahala atapozikwa?
 
Back
Top Bottom