Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa,kama unamaanisha kupatikana huku zipo za kumwaga nyiingi sana,hadi ile fegi ya kupunguza unene shikata ipoo sana.Mkuu unaipaga Akayabhagu.... Tafuta soko tupige hela
Wapi Huko??.Bei VIPSijakuelewa,kama unamaanisha kupatikana huku zipo za kumwaga nyiingi sana,hadi ile fegi ya kupunguza unene shikata ipoo sana.
Nishang'atwa sana na panya wakati huo nyumbani.Ukiona unaumwa na panya jua uko level ya mwisho ya umaskini mkuu!
😀😀😬 tukuweke kwa list au tukutoe......sijawahNishang'atwa sana na panya wakati huo nyumbani.
Huwajui panya mkuu, waulize Australia mwaka huu kilichowakuta.Ukiona unaumwa na panya jua uko level ya mwisho ya umaskini mkuu!
Bila Shaka Huyu Magawa panya asili yake Dodoma .Panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.
Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia. Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO
Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake
Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.
View attachment 1808755
HahahaaaaMatapeli wataanza kumpigia simu...
Wakulima wanawafata hom? Kwetu ifakara sijakutana na panya aisee!Huwajui panya mkuu, waulize Australia mwaka huu kilichowakuta.
Hawabagui, New York yenyewe ina panya.
Tuulize wakulima Kilosa, Ifakara, Lushoto, Kilindi, kuna miaka tunapatwa na janga la panya.
Hata mwaka huu nafikiri watakuwepo, maana mvua zilikuwa chache.
Namuheshimu panya aweza kukutia umaskini in seconds.
Everyday is Saturday............................... 😎
HahahahahH umenivunja mbav jamanAkivuta mafao aje tumtafutie dogodogo ya kumlea.
kgm...3000.Wapi Huko??.Bei VIP
Amini nakwambia, sabufa hatoboi kwa magawa.Apewe udaktari wa heshima.
Na ikimpendeza akagombee jimboni kwa ndugai 2025.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahLife it's not fear,, yani panya kalikwea pipa wakati watu wengine ye na mwakaleli, mwakaleli na yeye, akibadilika kidogo ireje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apewe udaktari wa heshima.
Na ikimpendeza akagombee jimboni kwa ndugai 2025.