Panya Magawa astaafu kazi ya kufichua mabomu kimataifa

Kwa hiyo panya inalipwa mafao ? halafu kuna vijana hawana ajira toka wamemaliza chuo...si muwape hao vijana hata fursa za kutegua mabomu🐀💣
 
Wanasheria
Msaada tafadhali maana ndugu yetu magawa tunayetoka ukoo mmoja.
Kwa kazi aliyofanya mataifa mbalimbali ya kutegua mabomu tunaomba msaada wa kisheria ili mafao yake tuweze kuyapata.
Ni ndugu yetu kabisa tena tunatoka ukoo mmoja msaada tafadhali.
 
Ukiona unaumwa na panya jua uko level ya mwisho ya umaskini mkuu!
Huwajui panya mkuu, waulize Australia mwaka huu kilichowakuta.
Hawabagui, New York yenyewe ina panya.
Tuulize wakulima Kilosa, Ifakara, Lushoto, Kilindi, kuna miaka tunapatwa na janga la panya.
Hata mwaka huu nafikiri watakuwepo, maana mvua zilikuwa chache.

Namuheshimu panya aweza kukutia umaskini in seconds.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Bila Shaka Huyu Magawa panya asili yake Dodoma .
 
Panya anajulikana na ana boardguard ila hata hajulikani
 
Wakulima wanawafata hom? Kwetu ifakara sijakutana na panya aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…