Panya Road achomwa moto Manzese

Jinga kabisa wewe, yani hakuna sehemu uliyoonyesha umesikitishwa kuumizwa/kuuliwa kwa raia na hao vibaka unaowatetea
 
Futa huu Uzi. Ni irrelevant Kwa Sasa. Na nakuahidi ni vile tu JF tunapiga anonymity otherwise na wewe ungechomwa
Mambo hot katika jamii kipindi hiki ndio tunayaongelea hapa. Ufutwe uzi huu ubaki upi, jifute mwenyewe, tunaongelea mambo ya kitaani bongo, kama mmejikoroga yakatokea kufuta uzi sio dawa ya kuondoa tatizo la panya roads.
 
Tatizo Hawa wezi sheria ikiwakamata baadaye inawaachia, watauawa sana Hawa.
 
Mambo hot katika jamii kipindi hiki ndio tunayaongelea hapa. Ufutwe uzi huu ubaki upi, jifute mwenyewe, tunaongelea mambo ya kitaani bongo, kama mmejikoroga yakatokea kufuta uzi sio dawa ya kuondoa tatizo la panya roads.
Tumia akili wewe acha kudandia mada.

Aliyekwambia natetea nani. Kama hujui kusoma ukaelewa Rudi sekondari ukarisiti
 
Ujinga wenu ni tatizo kubwa sana. Jenerali Ulimwengu anasomeka:

 
Wewe Jamaa utakuwa taahira wewe sio bure unakiri huyo ni panya road harafu unalaani kuuwawa[emoji34] hivi wazazi wa yule mtoto wa UDSM aliyeuwawa na panya road wakisoma si watakuua hata wewe?[emoji34]
 
Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha
Huyu kijana hata kama hakuwa panya road hiki kifo alikitafuta mwenyewe.

Kwa kipindi hiki watu wa Dar wako kwenye uchungu wa kuporwa, kujeruhiwa na kuuawa na panya road kwa mtindo kama huu alioutumia huyu kijana.
Mbaya zaidi ni kama serikali imewapa mgongo....hakika ukijichanganya lolote linaweza kutokea.

Lawama zote ni kws serikali iliyoshindwa kuwadhibiti hawa watoto matokeo yake ndio haya....kuua na kuawa.
 
Wewe Jamaa utakuwa taahira wewe sio bure unakiri huyo ni panya road harafu unalaani kuuwawa[emoji34] hivi wazazi wa yule mtoto wa UDSM aliyeuwawa na panya road wakisoma si watakuua hata wewe?[emoji34]

Aliyeuwawa ni mshukiwa, labda tu kama unasema mleta mada ni mahakama.
 

NInakazia:

"Lawama zote ni kws serikali iliyoshindwa kuwadhibiti hawa watoto matokeo yake ndio haya....kuua na kuawa."
 
Ujinga wenu ni tatizo kubwa sana. Jenerali Ulimwengu anasomeka:

View attachment 2359150
na bado tutawachoma sana moto wapumbavu ninyi.

Mnazidiwa akili hata na wamama ambao hutengeneza Busta kwa vipande vya mihogo, karoti, nazi na karanga mbichi kujitafutia vipato mnataka kujipatia mali kwa njia haramu ilihali hujui aliyepata kajinyima kwa kiasi gani hadi kumiliki alichonacho?

Tena Wananchi wanatakiwa wachome moto hata 100 kwa siku 1 ili twende sawa[emoji19]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 

People should take law at their own hands
 

ni wewe ambaye kama nyani tu huoni kund* lako. Yote unayonituhumu nayo na yule usiyokuwa na ushahidi nayo yana apply kwako hivyo hivyo na hata zaidi.

Kweli ujingq mzigo.

Bure kabisa.
 
leoo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine
Kesho ni wewe hapo ukizingua tunaruka na wewe... Sheria unazijua sheria wewe unazijua sheria kupiga watu na mapanga ndio unazijua sheria? Watu wana hasira zao we unaleta habari za sheria? Sasa kesho ukizingua tukikudaka na wewe zamu yako utaelezea sheria unazozijua uko mbele ya safari
 
Ww jishaue tu hapo....siku waingie ndani kwako wakubake ndo utajua panya road ni kina nani
 
wewe unajua damage ya panya Road ama unakuja kuandika hapa?
Acha ujinga wewe.walioweka sheria hawakua pumbavu kama wewe.kusipokua na utawala wa sheria iko siku ata wewe unaweza kugeuzwa panya road kinaz
dharia na ukauwawa.usijione msafi sana wakati siku hiyo ikitokea hutapata muda wakujitetea ili uthibitishe usafi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…