Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Kaka usijitoe akili, kasoro ya kimalezi kwa mwanao itakugharimuKumbe Mahakama ni za nini? Huyu ni mshukiwa tu hadi ithibitike vinginevyo Mahakamani. Kwa mtaji huu nini tofauti yenu na panya road wenyewe?
Vyombo vya dola ndivyo vya kulaumiwa. Ukiona raia wanaanza chukua sheria mkononi, jua wenye dhamana ya kuhakikiaha kuna haki wameshindwa. Raia wamechoka sana kuhusu panya road maana inaelekea serikali inajifanya haioni sijui kwakuwa mara nyingi hawaendi huko masaki, osterbayKumbe Mahakama ni za nini? Huyu ni mshukiwa tu hadi ithibitike vinginevyo Mahakamani. Kwa mtaji huu nini tofauti yenu na panya road wenyewe?
Nakazia hapa ,panya road watakuja kuteteana hapa na mtqa
Kaka usijitoe akili, kasoro ya kimalezi kwa mwanao itakugharimu
Hao ndo watetezi wao. Na sababu yaweza kuwa ni walewale au wanufaika.Panya road wanapofanya uhalifu husikii habari za haki za binadamu ila wakishughulikiwa ndo story za haki za binadamu zinaanza.
Wahenga hao hao walisema lisemwalo lipo.
Kama unadhaniwa tu kuwa wewe ni mmoja wa panyaroad basi character yako ina walakini.
Watu hawatoki out of the blue kusema wewe ni panyaroad au mwizi au punda wa ngada etc etc.
Yeyote anahusishwa na uhalifu asurubiwe barabara hakuna namna.
Kimsingi wewe mkanye mwanao .... Ukiona Hela tamu utampoteza.Kwanini ziwepo mahakama? Futeni mahakama.
Lisemwalo lipo? Hukuwahi kusikia watu wana bambikiwa kesi? Huwa kubambikiwa hakuanzi na unalolisema kuwa ndiyo lisemwalo?
Mwenzio hapo amesema huyo Panya road amemkwapua mtu kwa kutumia silaha, bado unauliza wamejuaje??? Huyo sio suspect tena ni muhusika
Wanajulikana sana, wengi ni wa mitaa hiyo hiyo...sungusungu na viongozi wa Serikali ya huko manzese wanawajuaKwenye kuwashughulikia mnajuwaje huyu ndiye na huyu siye?
Kimsingi wewe mkanye mwanao .... Ukiona Hela tamu utampoteza.
Kama ulivyo mpumbavu kutetea panya road Bora Mimi mjinga nikieleweshwa ntaelewa wewe ni MPUMBAVU ndio mnafanya hii nchi tukwame hapa tulipoKwa akili hizi hakuna katiba mpya karibuni. Tuna magenge ya wajinga sugu.
Kwanini ziwepo mahakama? Futeni mahakama.
Lisemwalo lipo? Hukuwahi kusikia watu wana bambikiwa kesi? Huwa kubambikiwa hakuanzi na unalolisema kuwa ndiyo lisemwalo?
Wewe kama cyo panya road basi ni mkuu wa genge la panya road. Na tunafanya utaratibu wa kutafuta tairi la katapila la kukuchomea.Habari za Jioni
Kuna jambo la kusikitisha sana ambalo limenifanya niwaze sana mda huu. Jioni hii saa moja kuna kijana ambaye ni panya road amechomwa moto barabara ya kutokea sweet corner kuelekea Manzese darajani (karibu na machine za kusaga). Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha amepigwa na kuchomwa moto. .
Kilichonisikitisha ni kuwa sikutegemea kama kuna watu wenye hulka za kuchukua sheria mkononi. Hii nchi ina mfumo wa sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria, leoo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine ambaye anashukiwa tu kuwa ni mwizi. Serikali, wadau wa haki za binadamu na jeshi la polisi linatakiwa liangalie hili swala kwa jicho la tatu. .
Nakumbuka kuna kijana nilisoma nae form two alikiwa anaitwa James Nyoni, huyu kijana alikuwa anapenda maisha mazuri tu ya kujionyesha onyesha. Nakumbuka alichukua pamba za mtu gheto akazitinga jamaa mwenye pamba zake akakutana nae mitaa ya Ubungo. Ilikuwa mwaka 2010, yule mwenye pamba akamwitia rafiki yake mwizi na watu walimpiga na kumchoma James Nyoni moto. Hili ni moja ya tukio ambalo liliniachia simanzi kubwa sana kwa sababu ya nguo jamaa akachomwa moto. .
I am very sad about this. We are not savages we are really people and we should be civilized. People should take the law at their own hands, and tonight I believe Panya Roads will retaliate. My house is in the street of Manzese no one will be safe, begging the Police and the street watchmen to guard the innocent people and their families. .
Sijawahi kuonea huruma hawa Panya road! hawana huruma hata kidogo! dawa yao ni hii kutoa fundisho kwa wengine.Habari za Jioni
Kuna jambo la kusikitisha sana ambalo limenifanya niwaze sana mda huu. Jioni hii saa moja kuna kijana ambaye ni panya road amechomwa moto barabara ya kutokea sweet corner kuelekea Manzese darajani (karibu na machine za kusaga). Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha amepigwa na kuchomwa moto. .
Kilichonisikitisha ni kuwa sikutegemea kama kuna watu wenye hulka za kuchukua sheria mkononi. Hii nchi ina mfumo wa sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria, leoo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine ambaye anashukiwa tu kuwa ni mwizi. Serikali, wadau wa haki za binadamu na jeshi la polisi linatakiwa liangalie hili swala kwa jicho la tatu. .
Nakumbuka kuna kijana nilisoma nae form two alikiwa anaitwa James Nyoni, huyu kijana alikuwa anapenda maisha mazuri tu ya kujionyesha onyesha. Nakumbuka alichukua pamba za mtu gheto akazitinga jamaa mwenye pamba zake akakutana nae mitaa ya Ubungo. Ilikuwa mwaka 2010, yule mwenye pamba akamwitia rafiki yake mwizi na watu walimpiga na kumchoma James Nyoni moto. Hili ni moja ya tukio ambalo liliniachia simanzi kubwa sana kwa sababu ya nguo jamaa akachomwa moto. .
I am very sad about this. We are not savages we are really people and we should be civilized. People should take the law at their own hands, and tonight I believe Panya Roads will retaliate. My house is in the street of Manzese no one will be safe, begging the Police and the street watchmen to guard the innocent people and their families. .
Kama ulivyo mpumbavu kutetea panya road Bora Mimi mjinga nikieleweshwa ntaelewa wewe ni MPUMBAVU ndio mnafanya hii nchi tukwame hapa tulipo