Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!...poor him..Padre Munyeshyaka pia anahitajika nchi Rwanda kwa makosa ya mauji ya kimbali nchini humu mwaka 1992 wakati akihudumu kama padre wa parokia moja mjini Kigari wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Kukiri ni toba na inapokelewa lakini upadre ni daraja lenye masharti maalum. Kuoa au kuto kuoa ni taratibu za Kanisa sio dogma.
Hakuma mkatoliki anayetubu dhambi kwa Padre. Jifunze kabla ya kuzungumza.Wakatolika huwa wanawaona hawa ndiyo miungu, mpaka wanatubu kwao imagine, ujinga kabisa.
Rafiki yangu ni mtoto wa padri akiwa na watu anamuita baba yake uncle ,stupid .
Usijifanye mjuvi kwa kitu ambacho hukijui, ni ushauri tuKwanini asiwe na mtoto? Au kukiri kuwa na mtoto ndo kosa lake?
Au ina maana hatakiwi kuoa au kuwa na mtoto kwa maisha yake yote?
Kama jibu ni ndio basi nadiriki kusema hii sheria ni mbaya na inapelekea hawa watawa kufanya ile dhambi iliyokatazwa ndani ya Torati."USIZINI"
Enyi waumini msiangamie kwa kukosa maarifa,kwa nini Padre asioe au kuwa na mke au mtoto? Je,mnataka tutende dhambi ya kuenenda kinyume na maumbile? Maana imeandikwa, ole wake anaethubutu kubadilisha uumbaji wa Mungu aliye mkuu. Mnataka TUWAHASI hawa viongozi wetu wa kiroho ili wasipate haki ya kujamiiana? Kwa nini mnafanya hii dini iwe ngumu kiasi hiki?
TUTAFAKARI NA TUCHUKUE HATUA. Hakielimuuu ngoo ngooo ngoooo!
Kosa lake siyo kuzini ila mwanamke kukubali kubeba mimba yake, wenzake wanaendelea kuzini tu na wanawake na wengine hadi mashoga, ili mradi hakuna ujauzito au wamefanya abortion au wameficha watoto wanaendelea kubaki watumishi waaminifu wa kanisa.Padre Munyeshyaka raia wa Rwanda aliyekuwa akihudumu katika parokia ya Evreux kaskazini kwa Ufaransa amefukuzwa padre na hakubaliwa kuhudumu popote duniani kwa kosa la kukili kuwa na mtoto wa maika kumi.
Padre Munyeshyaka pia anahitajika nchi Rwanda kwa makosa ya mauji ya kimbali nchini humu mwaka 1992 wakati akihudumu kama padre wa parokia moja mjini Kigari wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe.
====
Papa Francis amemvua upadri mzaliwa wa Rwanda ambaye amekuwa akihudumu kama kasisi kaskazini mwa Ufaransa kwa takriban miongo mitatu.
Taarifa inayosambazwa mtandaoni iliyotiwa saini na askofu wa Évreux inasema kwamba Wenceslas Munyeshyaka, 64, "anapoteza moja kwa moja haki za ukasisi" na "amezuiliwa" kutumikia "mahali popote" kama kasisi.
Ofisi ya Dayosisi ya Evreux imeithibitishia BBC uhalisi wa taarifa hiyo ambayo inasema kuwa inatokana na agizo la Papa la Machi.
Bw Munyeshyaka, ambaye alikimbilia Ufaransa baada ya mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994, hajazungumzia uamuzi huo.
Alisimamishwa kazi na Dayosisi ya Evreux mnamo Desemba 2021 baada ya kuibuka kuwa amekiri kisheria kuwa baba wa mvulana wa miaka 10.
Bw Munyeshyaka alitawazwa kuwa kasisi nchini Rwanda mwaka wa 1992 ambapo anatuhumiwa kuhusika katika mauaji ya mamia ya Watutsi waliokuwa wamekimbilia kanisani kwake katika mji mkuu wa Kigali wakati wa mauaji ya kimbari.
Mahakama nchini Ufaransa zimemuondolea mashtaka ya mauaji ya halaiki.
Chanzo: BBC Swahili
USSR
Nakuungamia MUNGU wangu nawe Padre wangu kwani nimetenda dhambi na dhambi zangu ni hizi.....Hakuma mkatoliki anayetubu dhambi kwa Padre.Jifunze kabla ya kuzungumza.
Dr. Slaa alikua Padre akaruka na sister sister akazaa mapacha, wapo Canada wanakula MaishaKosa lake siyo kuzini ila mwanamke kukubali kubeba mimba yake, wenzake wanaendelea kuzini tu na wanawake na wengine hadi mashoga, ili mradi hakuna ujauzito au wamefanya abortion au wameficha watoto wanaendelea kubaki watumishi waaminifu wa kanisa.
Kweli wapo wengi,kuna mmoja huyo kazaa watoto kama watatu na wote wanafanana nae na kamjengea kinyumba huyo mkeweKosa la padre ni kukiri, maana wapo wengi wana watoto na wamewajengea hadi vimada lakini kwakua hawaja kiri basi wameachwa waendelee na huduma
Nisaidie nipate elimu kwako kupitia maswali yangu mkuu.Usijifanye mjuvi kwa kitu ambacho hukijui, ni ushauri tu
Kwa hiyo hapo amesema "Nakuungamia Padre wangu"?? Acha kujitoa fahamu kwa mambo usiyoyafahamu, Haufahamu lolote kuhusu Sakramenti ya upatanisho, haujui lolote kuhusu daraja Takatifu, Wala haujui lolote kuhusu Biblia.Nakuungamia MUNGU wangu nawe Padre wangu kwani nimetenda dhambi na dhambi zangu ni hizi.....
Hiki ni Nini ?