Papa asema wanaopinga waraka wake wa baraka kwa mashoga ni kikundi cha "watu wachache" hasa waafrika ila polepole wataelewa

You nailed it.
 
Kweli kabisaa.
 
Wengine tulisema humu, lakini baadhi ya wakumbatia ukatoliki uchwara wakatupingana ukali.

Tunasema tena, Papa na Vatican walishaupokea ubwabwa kwa 100%, kinachoendelea ni mchakato mdogo mdogo wa kuutekeleza kikamilifu kwa wakatoliki wote.
Sasa ajabu nn?
 
Sasa hapo Papa katengua au kafuta kauli ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…