Nilishasema humu na nitarudia kusema ya kuwa huu ndio muda muafaka wa Kanisa Katoliki la Afrika kujitenga mazima na Roman Katoliki Empire.Kumbe Papa yuko serious? Wa katoliki wa Africa wajitafakali. Hii habari ni nzito. Wimbi hili la ushoga ndani ya Kanisa katoliki
Hayanihusu!Kwani wewe maneno ya papa yanakuhus nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo?Papa ni papaaa tu,anapumuliwa
Ni sawa.Kidogo sana! Huwezi kulinganisha na maeneo ya pwani
Fauta maandiko matamko ya mtu hayaruhusu.!Hayanihusu!
Ndio hvyo,anataka kurasimisha feelings zake kwa wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo?
Mtapigana sana miti church maana mshapewa kibaliAsante papa kwa kuwaambia ukweli waafrika kwamba ni suala la muda wataelewa tu na kuukumbatia ushoga kama walivyoacha tamaduni zao na mila zao na kuukumbatia ukristo na uislam.
Kwa maana hiyo, kama watu wa afrika waliweza kuacha mambo yao na kuukumbatia uyahudi, uroma na umedi hawatokuwa na akili ya kuukataa ushoga
Hakuna mkatoliki atakaempinga PAPA.
Umemkuta nani? Nimekwambia mi muislam? So mmeona wivu nanyi mliwe? Papa kawa papa, tumtie chunvi tuleMbona Mombasa, Tanga, Dsm na Zanzibar, waislam mnakula hadi kutembea na viberiti vya mavy mkinusa au mnaona RC wanawaingilia anga zenu?
Mtajuana wenyewe mie dini yangu hairuhusu Firrhaji
Utetezi w kishamba sana, kwaiyo wakatoliki mkaona wivu na nyinyi mliwe?Lakini Zbar na mikoa ya pwani ambacho hamna Ukatoliki Kwa wingi ndio kunaongoza Kwa matendo ya laana.
Lakini na wewe si mkatoliki?Papa sio kiongozi wa wakristo, ni kiongozi wa wakatoliki
Kwamba mkuu unataka KIBU DEE MKANDAJI avae gauni, pamoja na ndugu zake?.Hakuna mkatoliki atakaempinga PAPA.
PAPA ndio muwakilishi wa KANISA KATOLIKI DUNIANI.
Atakachosema LAZIMA KIFUATWE NA WAKATOLIKI WOTE.
YYT atakaepinga basi Kwa Imani zao AMELAANIWA.
Kwahio tujiandae kuona Ndoa za jinsia moja kwa wingi sana hapa Nchini.
Mi tayari nimeanza mpango nataka kufungua sehemu ya kushona magauni ya wanamme.
Wateja wa kumwaga.
Nakandamizia na zile Ribins za kichwa na hereni za shamba.Kamba mkuu unataka KIBU DEE MKANDAJI avae gauni, pamoja na ndugu zake?.