Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
R.i.p papa Benedict,, huyu alijiuzulu baada ya kulazimishwa apitishe ushoga,, nitakukumbuka kwa kuonyesha msimamo wako dhidi ya ushoga,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika ?R.i.p papa Benedict,, huyu alijiuzulu baada ya kulazimishwa apitishe ushoga,, nitakukumbuka kwa kuonyesha msimamo wako dhidi ya ushoga,
Apumzike kwa Amani.Papa Benedict XVI afariki dunia
Vatican wamesema Taarifa kamili itatolewa baadae
Source: Sky news
RIP Pope Benedict XVI
Hata yule Shemeji ya Bashiru Ally atakufa, na ndipo atalala pahala ambapo hatatoka tena labda pajengwe barabara ndipo mifupa yake itasafirishwa kupelekwa Tanga!kifo ni fundisho kubwa kwetu sisi tulio hai tuishi maisha ya kumpendeza mungu, tupendane, tuheshimiane, tuache kuwaonea walio chini yetu.
kifo hakikwepeki sote tutakufa.
PUmzika kwa Amani PapaPapa Benedict XVI afariki dunia
Vatican wamesema Taarifa kamili itatolewa baadae
Source: Sky news
RIP Pope Benedict XVI
Umeshaanza mmmmhR.i.p papa Benedict,, huyu alijiuzulu baada ya kulazimishwa apitishe ushoga,, nitakukumbuka kwa kuonyesha msimamo wako dhidi ya ushoga,
Nani wengineHuu mwaka ni kama umekuwa kwa watu mashuhuri kutangulia mbele za haki...
Mmeanza na uongo wenu.Aliambiwa apitishe USHOGA uwe ruksa kanisani. Akakataa.
Acha uzushi, alijiuzulu kwa sababu za kiafyaR.i.p papa Benedict,, huyu alijiuzulu baada ya kulazimishwa apitishe ushoga,, nitakukumbuka kwa kuonyesha msimamo wako dhidi ya ushoga,
imekuwaje tena mkuu!!!,Hata yule Shemeji ya Bashiru Ally atakufa, na ndipo atalala pahala ambapo hatatoka tena labda pajengwe barabara ndipo mifupa yake itasafirishwa kupelekwa Tanga!
Naye ataandikiwa Pumzika kwa amani, bahati mbaya akimkuta bwana yule kiongozi wa Malaika, aisee atafikia marungu na kuruka kifrog-frog huku kende zikijipelengua chini maana huko Juu hakuna nguo viwanda vyote vipo duniani!