Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hivi papa ni nani?
Maana anatukuzwa sana
Maana anatukuzwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliambiwa na Nani?? Chanzo cha habari yako pls.Aliambiwa apitishe USHOGA uwe ruksa kanisani. Akakataa.
Pope ukiwa na mguvu ya kidini unapaswa ukataze vita cha ajabu italy ilihusika na vita za dunia..huu ni uthibitisho kwamba hizi ni dini za uwongo zisizo na upendo
Pamoja ukweli kuwa Kanisa linapinga ushoga lakini ukweli ni kuwa alijiuzuru kutokana na changoto za kiafyaR.i.p papa Benedict,, huyu alijiuzulu baada ya kulazimishwa apitishe ushoga,, nitakukumbuka kwa kuonyesha msimamo wako dhidi ya ushoga,
Hata usipo muombea huyo ni moja kwa moja kwa MunguMungu ampokee mja wake
Ulivyoandika ujinga wako utafikiri ulikuwepo wakati analazimishwa.R.i.p papa Benedict,, huyu alijiuzulu baada ya kulazimishwa apitishe ushoga,, nitakukumbuka kwa kuonyesha msimamo wako dhidi ya ushoga,
😂😂😂😂😂Hata usipo muombea huyo ni moja kwa moja kwa Mungu
Kama sio mRC achana naye, komaa na mafundisho ya bwana mwamposa.Hivi papa ni nani?
Maana anatukuzwa sana
Me nazungumzia mapapa waliokuwepo enzi za vita kuu ya dunia walibariko vita badala ya kuizuia kwa kutumia mgongo wa dini yao yenye wafuasi mabillionWapi ambapo hakukataza vita?
Nani wengine
....ikiwa ni pamoja na Uzee (95 yrs sio haba). RIP kiongozi wa Kanisa moja , Takatifu, Katoliki, la Mitume.Pamoja ukweli kuwa Kanisa linapinga ushoga lakini ukweli ni kuwa alijiuzuru kutokana na changoto za kiafya
Apumzike kwa amani Pope Benedict, kwa wasiojua huyo ni miongoni mwa watu wenye akili kubwa duniani, ni bingwa wa TeolojiaPapa Benedict XVI afariki dunia
Vatican wamesema Taarifa kamili itatolewa baadae
Source: Sky news
RIP Pope Benedict XVI
Miaka 95 sio haba.Papa Benedict XVI afariki dunia
Vatican wamesema Taarifa kamili itatolewa baadae
Source: Sky news
RIP Pope Benedict XVI