Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mwaka mpya iepushe akili yako na mawazo ya kijinga jinga la sivyo utazidi kubaki hapo hapo.inawezeka huyo aliyehudhuria misa alikuwa wa mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka mpya iepushe akili yako na mawazo ya kijinga jinga la sivyo utazidi kubaki hapo hapo.inawezeka huyo aliyehudhuria misa alikuwa wa mchongo
inaingiaje akilini mtu mkubwa kama huyo muda mfupi dunia itangaziwe ni mgonjwa hali yake ni mbaya kisha saa chache mbeleni ahudhurie misa, kisha muda mchache mbeleni itangazwe amefariki dunia!? Umekazana kuona watu wajinga wakati kiitifaki kulingana na hadhi ya mtu huyo si jambo la kawaida kutangaza msiba bila maandalizi kwa waumini wake. Wewe ndio una akili mgando isiyeweza kutafuta ukweli na uhalisia wa mamboMwaka mpya iepushe akili yako na mawazo ya kijinga jinga la sivyo utazidi kubaki hapo hapo.
Mambo hayaendi kimazoea inawezekana hivyo,kwani ujaona mgonjwa aliyekuwa hoi kawa mzima na matumaini tele then baada ya mda kaondoka.inaingiaje akilini mtu mkubwa kama huyo muda mfupi dunia itangaziwe ni mgonjwa hali yake ni mbaya kisha saa chache mbeleni ahudhurie misa, kisha muda mchache mbeleni itangazwe amefariki dunia!? Umekazana kuona watu wajinga wakati kiitifaki kulingana na hadhi ya mtu huyo si jambo la kawaida kutangaza msiba bila maandalizi kwa waumini wake. Wewe ndio una akili mgando isiyeweza kutafuta ukweli na uhalisia wa mambo
Hakuwa freemason bali hakukubaliana na matakwa ya kanisa kuwa chini ya freemason, documentary ipo.Huyu mzee nasikia ni Freemason wa kutupwa. Ndo kilichomponza mpaka akalazimishwa kujiuzulu.
View attachment 2465024
The handshake
Kwani wakatoliki wanamuabudu papaMasikini mungu wa duniani wa wakatoliki amededi.
Huyu sio Pope Benedict mkuu. Acha kamba. Pope John Paul 2 huyuPope Benedict na PeléView attachment 2465045
AsanteHuyu sio Pope Benedict mkuu. Acha kamba. Pope John Paul 2 huyu
Hii hapaHuyu sio Pope Benedict mkuu. Acha kamba. Pope John Paul 2 huyu
Hao wana wivu tu mkuu achana naoKwani wakatoliki wanamuabudu papa
Wanaamini ana uwezo wa kuponya na kusamehe dhambi. Hizo sifa ni za kiungu.Kwani wakatoliki wanamuabudu papa
Mungu ufanya Kazi kupitia wanadamu.Wanaamini ana uwezo wa kuponya na kusamehe dhambi. Hizo sifa ni za kiungu.
Sijajua una miaka mingapi ila mtu mzima mwenye experience ya maisha anajua fika kwamba kifo kinaweza kumpata mtu dakika yoyote tu, haijalisha dakika kadhaa nyuma alikuwa wapi. Hata wewe hapo unajiona mzima lakini nikwambie tu unaweza kata moto na waliokaribu yako wakabaki wanashangaa imekuwaje.inaingiaje akilini mtu mkubwa kama huyo muda mfupi dunia itangaziwe ni mgonjwa hali yake ni mbaya kisha saa chache mbeleni ahudhurie misa, kisha muda mchache mbeleni itangazwe amefariki dunia!? Umekazana kuona watu wajinga wakati kiitifaki kulingana na hadhi ya mtu huyo si jambo la kawaida kutangaza msiba bila maandalizi kwa waumini wake. Wewe ndio una akili mgando isiyeweza kutafuta ukweli na uhalisia wa mambo
Usipende kuweka kichwani vitu vya kusikia sikia, siku utakuja kusikia kwamba kuna ametangaza nia ya kukuoa, tumia simu yako vizuri kujipatia taarifa zilizo sahihi sio kutwa nzima kutembelea page za udaku mwisho ndio unaambiwa jamaa alikuwa freemasonHuyu mzee nasikia ni Freemason wa kutupwa. Ndo kilichomponza mpaka akalazimishwa kujiuzulu.
View attachment 2465024
The handshake
Internet imekuwa njia nyepesi ya kutambua uwepo wa wajinga wengi mitandaoni, hapo umeweka Picha ya Papa John Paul II, halafu unatumia ni ya Papa Benedict XVIPope Benedict na PeléView attachment 2465045
freemason ni washenzi katika ushenzi wao, wanataka utekeleze agenda zao kikamilifu kama hutaki unalizimishwa ujiuzulu au upinduliwe madarakani. Hata huyu aliyeko madarakani ni mwanachama wa freemason wa daraja la juu tawi la jesuit. Huyu wa sasa ni mtekelezaji mzuri wa agenda zao hatua kwa hatua na amekuwa mtata sana kwenye uongozi wakeHuyu mzee nasikia ni Freemason wa kutupwa. Ndo kilichomponza mpaka akalazimishwa kujiuzulu.
View attachment 2465024
The handshake
Mpaka hiyo ya kusamehe dhambi??Mungu ufanya Kazi kupitia wanadamu.