TANZIA Papa Benedict XVI afariki akiwana umri wa miaka 95

TANZIA Papa Benedict XVI afariki akiwana umri wa miaka 95

Kwanza ni lazima uelewe vita haipendwi na wengi isipokuwa ni viongozi ndio huichochea na kuihamasisha sasa tujiulize viongozi hao hawaendi kanisani na je wakienda kanisani papa hawaambii livelive kwamba haifai haifai haifai kumwaga damu za askari wetu badala yake papa ndo anaweza kwenda kuwaombea na kuwatakia heri katika vita..
Wala hujajibu swali nililokuuliza.

Swali jingine. Umeshawahi kusoma Agano la Kale? Kule ni vita tupu kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mbinguni kwenyewe shetani alikiwasha na aliposhindwa ndo akatupwa duniani pamoja na wafuasi wake. Duniani hapa tumo katika vita kati ya wema na ubaya. Hata kinafsiya tunapambana na vita. Vita (ukinzani) - hasi na chanya ndiyo muundo wa ulimwengu!

Vita vya pili vya dunia ilikuwa lazima vitokee hata kama Papa angefanya nini. Sasa unamlaumu Papa kwa Italy kuingia katika vita utafikiri Papa alikuwa kiongozi wa Italy wakati hakuwa/hana usemi wo wote huko.

By the way Vatican haikuunga mkono vile vita bali wali-adopt siasa ya kutokuunga upande wo wote (neutrality) hasa ukizingatia kuwa Adolf Hitler alikuwa anawakoromea hapo hapo Rome mpaka Bennito Mussolin alipoamua kujiunga naye....

Hitimisho: Hata kama una chuki na upapa hii hoja eti kwa vile Italy iliunga mkono vita basi somehow Vatican inapaswa kulaumiwa haina mashiko.

Kwa heri!


Screenshot_20221231-152415_Chrome.jpg
 
Watu mnasikitika kifo chake ilihali majirani zenu, ndugu zenu mnashindwa kuwasikitikia na kuwasaidia.

Hata mkisikitika huyo alikuwa kiongozi wa DINI na sio kiongozi wa IMANI (spiritual leader) kwa hiyo hata ulie debe tatu hapo mbinguni hutaingia kama hutabadili matendo yako na kufanya kile MUNGU angependa kukuona unafanya
Itakuwa Hujui Dini Na Imani ni Nini.
 
Pope Benedict XVI has passed away at age 95.

He held the apostolic see from 2005 to 2013, when he unexpectedly announced his decision to abdicate.

In recent years, he lived in a small monastery, Mater Ecclesiae, in the Vatican Gardens.

Nini ilikua Motive ya Huyu Papa kujiuzulu 2013 ?

============

Kiongozi huyo wa zamani wa Kanisa Katoliki amefikwa na mauti akiwa katika makazi yake Vatican baada ya kuwa mgonjwa mwa muda mrefu.

Aliliongoza Kanisa Katoliki kwa miaka 8, ambapo Mwaka 2013 alikuwa Papa wa kwanza kujiuzulu tangu Gregory XII alipofanya hivyo Mwaka 1415.

Jina lake kamili ni Joseph Ratzinger, mzaliwa wa Ujerumani ambaye alipata nafasi ya kuwa Papa wakati akiwa na umri wa miaka 78 Mwaka 2005.


===== ==========

Former Pope Benedict XVI dies at 95

Former Pope Benedict XVI has died at his Vatican residence, aged 95, almost a decade after he stood down because of ailing health.

He led the Catholic Church for less than eight years until, in 2013, he became the first Pope to resign since Gregory XII in 1415.

Benedict spent his final years at the Mater Ecclesiae monastery within the walls of the Vatican.

His successor Pope Francis said he had visited him there frequently.

The Vatican said in a statement: "With sorrow I inform you that the Pope Emeritus, Benedict XVI, passed away today at 9:34 in the Mater Ecclesiae Monastery in the Vatican.

"Further information will be provided as soon as possible."

Although the former pontiff had been ill for some time, the Holy See said there had been an aggravation in his condition because of advancing age.

On Wednesday, Pope Francis appealed to his final audience of the year at the Vatican to "pray a special prayer for Pope Emeritus Benedict", whom he said was very ill.

Born Joseph Ratzinger in Germany, Benedict was 78 when in 2005 he became one of the oldest popes ever elected.

For much of his papacy, the Catholic Church faced allegations, legal claims and official reports into decades of child abuse by priests.

Earlier this year the former Pope acknowledged that errors had been made in the handling of abuse cases while he was archbishop of Munich between 1977 and 1982.
Watu wema/wazuri huwa hawafi. Alisikika mbuzi mmoja kwenye kikao cha mambuzi
 
Back
Top Bottom