Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeamini kweli dogo unakula kwa shkamoo, umepata wapi muda wa kupekenyua account yangu [emoji23][emoji23].
Okay sio kesi, ndio nimepata mkuu

[emoji23][emoji23] na ungejua nipo wapi? Ungekuwa unaniamkia kila ukiniona nipo active.. kipara [emoji23][emoji23] jibu kwanza kitanda ulipataga [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeamini kweli dogo unakula kwa shkamoo, umepata wapi muda wa kupekenyua account yangu [emoji23][emoji23].
Okay sio kesi, ndio nimepata mkuu

Ok kumbe umeshanijibu maana nilitaka nikupe diretion ukachukue pahala kama umepata poa
 
[emoji23][emoji23] na ungejua nipo wapi? Ungekuwa unaniamkia kila ukiniona nipo active.. kipara [emoji23][emoji23] jibu kwanza kitanda ulipataga [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna nimejibu kua nilipata ndgu.
 
mteule wa Mungu anadanganya miaka yote halafua anajishitukia duh
 
tuache kijifariji kanisa letu katolic limekua waongosana nahovyo Sana natamani kuokoka Mana Hilo jumba limeshadondoka kitambosana
Pole sana! Yaani ukidanganywa kidogo tu na watesi wa Kanisa Katoliki unaamini wanachokisema. Hii habari chanzo chake ni CNA Ujerumani na ilitoka kwa Kijerumani. Al Jazeera wameitoa huko. Ukisoma original story inavyosema ni tofauti na inavyoripotiwa na vyombo vingine. Hata mleta mada hii hapa haelewi tofauti kati ya "to tell a lie or to lie" na "to give a false statement". "To tell a lie or to lie" ni kusema uwongo/kudanganya. "To give a false statement" ni kusema kauli ambayo siyo sahihi au iliyokosewa. Na kwa mujibu wa CNA papa "mistakenly..." na yeye mwenyewe anasema "didn't say in bad faith...but it was an editing error in the statement...to which I will clarify later..." baada ya kusoma ripoti yenye kurasa 1,000 ambayo anasema kutokana na uzee na afya yake itamchukua muda kidogo. Hivyo, anaomba uvumilivu na asamehewe kwa hiyo "error" iliyofanyika maana siyo makusudi. Sasa tafsili yetu kwa sababu ya kupigwa mweleka na Kiingereza tunasema "papa kakiri kudanganya". Jambo ambalo silo maana hajasema hivyo. Ukitaka kusoma habari yenyewe ikoje soma kutoka CNA maana ndio walioripoti alichosema. Full stop!
 
Hizi kashfa zinalichafua kanisa katoliki sana
Kwa upande mwengine nawasifia hawa jamaa ni wakweli sana,haya yote hatusikii Africa, kama vile yalikuwa hayafanyiki na Mapadiri...Ila wamefanywa sana na hawasemi..ni mmoja tu,anaitwa Malidodama Patrice Some ktk kitabu chake Of water and the Spirit, ameongelea hili namna hawa mapadiri walivokuwa wakifanya ushenzi..So just for your inform it happens in Africa tu.
 
Pole sana! Yaani ukidanganywa kidogo tu na watesi wa Kanisa Katoliki unaamini wanachokisema. Hii habari chanzo chake ni CNA Ujerumani na ilitoka kwa Kijerumani. Al Jazeera wameitoa huko. Ukisoma original story inavyosema ni tofauti na inavyoripotiwa na vyombo vingine. Hata mleta mada hii hapa haelewi tofauti kati ya "to tell a lie or to lie" na "to give a false statement". "To tell a lie or to lie" ni kusema uwongo/kudanganya. "To give a false statement" ni kusema kauli ambayo siyo sahihi au iliyokosewa. Na kwa mujibu wa CNA papa "mistakenly..." na yeye mwenyewe anasema "didn't say in bad faith...but it was an editing error in the statement...to which I will clarify later..." baada ya kusoma ripoti yenye kurasa 1,000 ambayo anasema kutokana na uzee na afya yake itamchukua muda kidogo. Hivyo, anaomba uvumilivu na asamehewe kwa hiyo "error" iliyofanyika maana siyo makusudi. Sasa tafsili yetu kwa sababu ya kupigwa mweleka na Kiingereza tunasema "papa kakiri kudanganya". Jambo ambalo silo maana hajasema hivyo. Ukitaka kusoma habari yenyewe ikoje soma kutoka CNA maana ndio walioripoti alichosema. Full stop!
Wewe akili yako ndogo sana. To give false statement while you know it is a false si ndio kudanganya huko?

Yaani unajua kabisa kwamba capital city ya Tanzania ni Dodoma, halafu mtu anakuuliza what is the capital city of Tanzania ukasema Iringa ama Mtwara hapo umedanganya, huo ni uongo.

Mtakatifu wako unaemuomba kila siku papa alijua huyo askofu anachunguzwa na anatuhumiwa kwa kulawiti watoto lakini papa wako anatoa taarifa ya uongo kwa kujifanya hajui kama huyo askofu alihamishwa. Unataka kujifanya kwamba wewe umeelewa kuliko kuliko watu wengine wote.

Watakatifu wenu hawatetewi, hata ufanyeje hawasafishiki.

Papa kumlinda mtu analawiti watoto na yeye ni mlawiti.
 
Wewe akili yako ndogo sana. To give false statement while you know it is a false si ndio kudanganya huko?

Yaani unajua kabisa kwamba capital city ya Tanzania ni Dodoma, halafu mtu anakuuliza what is the capital city of Tanzania ukasema Iringa ama Mtwara hapo umedanganya, huo ni uongo.

Mtakatifu wako unaemuomba kila siku papa alijua huyo askofu anachunguzwa na anatuhumiwa kwa kulawiti watoto lakini papa wako anatoa taarifa ya uongo kwa kujifanya hajui kama huyo askofu alihamishwa. Unataka kujifanya kwamba wewe umeelewa kuliko kuliko watu wengine wote.

Watakatifu wenu hawatetewi, hata ufanyeje hawasafishiki.

Papa kumlinda mtu analawiti watoto na yeye ni mlawiti.
Hapo ndipo akili yako ilivyo ndogo kuliko zaidi. Hivi kwa unajua kwa nini kwenye article imeandikwa To give a "false statement" (kutoa taarifa isiyo sahihi) na siyo "to lie" (kusema uwongo). To give a false statement ina maana kusema jambo ambalo hata kama unaamini ni sahihi kwa kweli siyo sahihi. Na papa alisema statement aliyoitoa (kwa mujibu wa CNA, walioandika alichosema Ujerumani) ilikuwa "error in editing and I didn't do it in bad faith". Kwa maneno mengine hakukusudia kutoa kauli isiyo sahihi. Hivyo, hakudanganya au hakusema uwongo kwa makusudi.

Kwa mfano, nikisema 'there are nine planets in the solar system' kwa vile ndivyo nilivyofundishwa shuleni na ndivyo ninavyojua is a "false statement", but "is not a lie". Kwa nini ni kwa sababu ndivyo walimu walivyokuwa wakifundisha na ndivyo pia wanafunzi walivyoelewa na sayari hizo zilikuwa: Mercury, Venus, Earth, Mars, Jupiter, Saturn, Uranus, Neptune and Pluto. Kuanzia mwaka 2006 wanasayansi walisema Pluto haina sifa za kuwa sayari kama ilivyo wa sayari zingine. Hivyo, siku hizi kusema 'there are nine planets in the solar system' is a false statement na kusema 'there are eight planets: Mercury, Venus, Earth, Mars, Jupiter, Saturn, Uranus and Neptune is a true statement.

Kwa upande mwingine, Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (ambaye kwa mfano amekuwa mbunge tangu mwaka 2000 hadi sasa) akisimama bungeni na kusema "Serikali ya Awamu ya Nne haijawahi kuanzisha mchakato wa kuandia Katiba Mpya" is "a lie". Kwa nini? Kwa sababu mchakato huo ulishaanza na mwenyeketi wa Tume ya Kukusanya Maoni ya Wananchi katika eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa Jaji Mstaafu Joseph Warioba na kama mbunge tangu mwaka 2000 anajua mchakato wa kuandika Katiba Mpya ulianzishwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete. Mfano, mwingine ni kwamba ukiwa kwenye mkutano ukaombwa usome minutes za mkutano kwa sababu katibu aliyeziandika hayupo na wewe ukakubali kuzisoma na ndani ya hizo minutes kukawa na content ambazo si za kweli, kwako wewe uliyesoma "you read false minutes". Kwa nini haikuwa intention yako na wala hukujua kama ulichosoma siyo sahihi. Kama katibu aliyeziandika angezisoma, yeye angeambiwa amedanganya wajumbe (lied). Kwa nini? Kwa sababu alikusudia kuandika minutes za uwongo. Kama hutanielewa, inabidi urudi chuoni kusoma.
 
Back
Top Bottom