Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

Kukiri kwake kumronyesha uongo wa miaka mingi wa kanisa katoliki kuwa pope is infallable kuwa akiwa papa kwenye kazi zake za kipapa hawezi kukosea

Huyu alikuwa papa kwenye kiti cha upapa na akatetea uovu akiwa kitini

Kukiri kwake kumebomolea mbali ile theory ya uwongo

Nampongeza Papa Benedict kwa kuanika hadharani uongo wa kanisa katoliki
Wakati hayo yanatokea hakuwa papa mkuu. Ni issue ya 1980.
 
Hicho kituo cha aljazeera kina mpk wakristo na wayahudi wanafanya kazi.
Na ktk vituo vya habari bora duniani ambavyo havibabaishi habari ni aljazeera.
LETA USHAHIDI KUWA ALJAZEERA IMEKAA KIDINI NA INATETEA UGAIDI.
Kuna wadada wanavaa skirt fupi na nywele wazi wanafanya kazi kituo cha aljazeera na wengi wakristo.
Utasemaje aljazeera ina udini na inafadhili ugaidi!?
Kweli kabisa ,halafu Aljazeera wanaongoza kwa kuweka mizani Ktk habari lazima pande mbili zote zijojiwe bila upendeleo.
 
Kweli kabisa ,halafu Aljazeera wanaongoza kwa kuweka mizani Ktk habari lazima pande mbili zote zijojiwe bila upendeleo.
Mie nimefuatilia vyombo vikubwa vya habari vyote duniani CNN,BBC,CGTN,France international,Russia today.Lakini unapozungumzia wafukunyua habari hadi kiundani ni Aljazeera.
We jiulize kwann wanahabari wengi wa aljazeera wanafungwa mataifa ya kibepari na kiarabu au wanauawa kabisa.
Kwasababu wanafichua hadharani uozo wa hizo pande.
 
Afanye toba maana alitegemewa kuwa mlinzi, kuonyesha njia sahihi, kusimamia kiapo chake na kuendena na maadili ya kidini.
Si waruhusiwe kuoa kama ilivyo kwa Lutheran na madhehebu mengine kwani hii inaweza kuondoa tatizo.
 
Kwa muda mrefu Roho Mtakatifu amekuwa akidhihirisha wazi kuwa Kanisa Katoriki siyo Kanisa la Mungu.
 
Kipara ..acha habari za ID zipo personal sana na usiofu na hao watakuja kunijua au kwa uozo wangu ninaouchapisha (najiweza sana) mimi mwenyewe natosha sana na hao ambao unawaofia.. kipara ongeza utulivu ufanikiwe maeneo yote sio kwenye ku comments kumtetea PAPA ipo wazi PAPA hakustahili UPAPA kwa kipindi chote alipokuwa anawaongoza raia wake.. sema tumeshamsamehe
Ndgu una makasiriko yasiyoisha na ukatoliki.

Ni vizuri kama umemsamehe maana pale mwanzo ulisema hujamsamehe, shukrani kwa kukunjua moyo wako na ndio ubinadamu huo.

Kutosha au kutokutosha kwenye nafasi hayo ni maoni yako binafsi na nadhani ni wengi wako kama wewe na ni wengi pia waliomuelewa, si rahisi kukubaliwa na wote.

Nimekuchangamsha kidogo naona sasa akili yako imekaa sawa kidogo mpaka unafikia hatia ya kusamehe. Safi sana.
 
Ndgu una makasiriko yasiyoisha na ukatoliki.

Ni vizuri kama umemsamehe maana pale mwanzo ulisema hujamsamehe, shukrani kwa kukunjua moyo wako na ndio ubinadamu huo.

Kutosha au kutokutosha kwenye nafasi hayo ni maoni yako binafsi na nadhani ni wengi wako kama wewe na ni wengi pia waliomuelewa, si rahisi kukubaliwa na wote.

Nimekuchangamsha kidogo naona sasa akili yako imekaa sawa kidogo mpaka unafikia hatia ya kusamehe. Safi sana.

Nimefikilia mengi MKUU.. pengine nipo sebleni nabishana na BABA yangu na sijui.. nikaona naweza kupata radhi/laana maana namuona msure yupo bize na simu palee ananitumbulia macho.. MKUU yaishege tu.. na heshima kwako MKUU
 
Nimefikilia mengi MKUU.. pengine nipo sebleni nabishana na BABA yangu na sijui.. nikaona naweza kupata radhi/laana maana namuona msure upo bize na simu palee ananitumbulia macho.. MKUU yaishege tu.. na heshima kwako MKUU
Kama bado unakula kwa shkamoo kweli sipaswi kubishana na ww ndgu.

Bado unagombania romote na wadogo zako halafu unabishia na kukazania upuuzi na wenye familia.
 
Ndiyo maana ninalipenda hili kanisa.Hii ndiyo dhamira ya kweli na falsafa ya kanisa katoliki.Kujishusha daima na unyenyekevu wa hali ya juu! Kama Yesu alivyosema akupigae Kofi upande mmoja mgeuzie na lingine! Kanisa limeonyesha mfano huo kwa kuomba radhi mara kwa mara pale linapotuhumiwa mfano wa mwanakondoo mnyenyekevu!.Hii ni sifa ya pekee sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongezea na kulawiti na kusema uongo mbona unayatoa hayo?Au sio sifa za kanisa hilo?
 
Nimefikilia mengi MKUU.. pengine nipo sebleni nabishana na BABA yangu na sijui.. nikaona naweza kupata radhi/laana maana namuona msure upo bize na simu palee ananitumbulia macho.. MKUU yaishege tu.. na heshima kwako MKUU
KAMWE SIWEZI KUMSAMEHE MTU KAMA HUYO,
 
Kama bado unakula kwa shkamoo kweli sipaswi kubishana na ww ndgu.

Bado unagombania romote na wadogo zako halafu unabishia na kukazania upuuzi na wenye familia.

Achana na hao wabakaji kwanza MKUU.. hivi kitanda cha 5/6 ulipataga MKUU
 
Amuombe msamaha Mungu wake sio sisi
Shida ni Kiingereza. Mleta mada kwa vile lugha inampita mbali ameona ni heri aseme uwongo yeye ili papa aonekane ndiyo kasema uwongo. "A false statement is a statement that is not true. Although the word fallacy is sometimes used as a synonym for false statement, that is not how the word is used in philosophy, mathematics, logic and most formal contexts. A false statement need not be a lie. A lie is a statement that is known to be untrue and is used to mislead. A false statement is a statement that is untrue but not necessarily told to mislead, as a statement given by someone who does not know it is untrue." - Source: False statement - Wikipedia
Pili, AlJazeera haiwezi kuwa authority kwa alichosema papa. Authority ni CNA na ukisoma kilichoripotiwa na CNA ambao ndio walioripoti alichosema papa kwa sababu ilikuwa ni kwa Kijerumani ni tofauti na ripoti za vyombo vingine vya habari. Hivyo, kuna shida pia ya source of information. Je, mleta mada ameleta andiko hili kutoka chanzo sahihi au chanzo ambacho tayari kinatoa maoni ya kile alichosema papa?
 
Ingawa atasemwa na kutukanwa lakini angalau amesema ukweli wa moyowake na dhamira imemuongoza kukiri dhambi hiyo ya kusema uongo waziwazi.

Kabla hatuja mshambulia na sisi tuweke wazi makosayetu hadharani bila kificho ili tujadiliwe.
tuache kijifariji kanisa letu katolic limekua waongosana nahovyo Sana natamani kuokoka Mana Hilo jumba limeshadondoka kitambosana
 
nilazima tumuhoji zaidi kwann alijiuzuru upapa kanisa pia jitafakarini leo nizama zahabari tutajua mengi mengi sana
 
Ingawa atasemwa na kutukanwa lakini angalau amesema ukweli wa moyowake na dhamira imemuongoza kukiri dhambi hiyo ya kusema uongo waziwazi.

Kabla hatuja mshambulia na sisi tuweke wazi makosayetu hadharani bila kificho ili tujadiliwe.
Sawa, Lakini hawanaga utakatifu wanaotudanganya kuwa nao?
 
Achana na hao wabakaji kwanza MKUU.. hivi kitanda cha 5/6 ulipataga MKUU
😂😂😂😂 Nimeamini kweli dogo unakula kwa shkamoo, umepata wapi muda wa kupekenyua account yangu 😂😂.
Okay sio kesi, ndio nimepata mkuu
 
Basi wawa hasi tu tujue no vibisa kuliko kutelekeza na kunyanyasa wavulana wa watu.
 
Back
Top Bottom