Papa Francis aitaka Urusi kuacha vita vya kipuuzi na kikatili

Papa Francis aitaka Urusi kuacha vita vya kipuuzi na kikatili

Wewe kichwa chako kimejaa ujinga, kila kitu ni lazima ujifiche kwenye ushoga tu.
Mbona mnapanic na ukweli

PAPA aliridhia ushoga naniukweli uliowazi kwamba hakuna mtu mwenye akili timamu anaesapoti ushoga kama papa

Hvyo kwa papa kusapoti ushoga kunamnyima haki yakuongelea linaloendelea UKRAINE sababu hana akili

Msipingane na ukweli hatakama unaumiza ila ndio ukweli
 
Akihamasisha ushoga anawalazimisha na kuua watu?? Unaandika tu kama headless chicken.
Sasa mm na ww anaotetea ugasho nani ni headless chicken?
Ila hongera bhna kwa kujua lugha ya malkia ada haijapotea bure
 
Mbona hatukusikia wakilalamika wakati US alipoivamia Iraq, Syria na Libya?

Yeye anatakiwa kuangaika na ma padri wake ambao ni mashoga.
Una uhakika au unasema tu. Huyu pope kakemea vita vyote mpaka vya Afghanistan walikemea mpaka vya iraq
 
Awaambie na marekani waache kupeleka silaha ukraine
Hawa mapapa na viongozi wa dini wote duniani wamekuwa mateka wa wafalme.Hawana uwezo wa kumkemea mtawala.Hili kemeo lake kwa Urusi amelipeleka pasipostahiki aanzie. Angeishutumu Marekani na kuikemea ziara ya Biden kule Ukraine ingeonekana anafanya kwa akili zake.
 
Shoga hawezi kuwa mshauri mzuri.
Acha ujinga we mwanamke, mda mwingine tumia akili yako umezoea mkuyenge huko nyuma hadi unafikiri wote humu ni kama wewe.

Nachukia sana tabia hii, mbona hutaki kuwa mstarabu kama wenzako humu, una shida unawashwa msambwanda ee, watu kama hawa wanatakiwa wapigwe ban humu.
 
Wewe kichwa chako kimejaa ujinga, kila kitu ni lazima ujifiche kwenye ushoga tu.
Mashoga ndivyo walivyo, ni wa kuvumiliwa make anataka kuaminisha jamii kwamba ni kitu cha kawaida na anakifanya ndo maana kila mda mdomoni mwake hilo ndo msamiati, naona aibu hata kulitaja hilo neno
 
Itaria imekubari kupeleka Ndege Vita endapo wenzake watafanya hivyo, lakini risasi na vifaru katuma.
Ukitaka kuua nyoka anzia miguuni mwako. Taifa lake linapeleka siraha Ukraine kuchochea Moto wa Vita.
Amekosa heshima kumwita Putin Mpuuzi ilitakiwa afunge safari kwenda Moscow wayajenge. Sio kumwita mbabe Putin Mpuuzi ktk Media za Dunia Jambo litakalosababisha Putin kumdharau na kushindwa kusimamisha Vita.
Papa anajua wazi kuwa Hata Nato na Marekani wao hawamuwezi ktk Uwanja wa mapigano, hivyo alitakiwa awe mpole. Mfano Uchumi wa Ulaya umeporomoka ktk viwango vya kutisha zaidi 18% na Urusi 2.8% Wastani. Hata USA ana Madeni makubwa Sana hafai kukopesheka tena.
Hapa inabidi Migogoro hii ikae mezani MAMBO yakae sawa.
 
Kuhusu Syria View attachment 2526789
"He also called on the international community to provide “decisive and renewed” commitment to rebuilding the nation, so that “once the weapons have been laid down, the social fabric can be mended and reconstruction and economic recovery can begin."

IraqView attachment 2526783

Libya alisema "I urge international bodies and those who have political and military responsibilities to recommence with conviction and resolve the search for a path towards an end to the violence, leading to peace, stability and unity in the country."

Uko kote kanisa lilizungumza hukusikia labda ulikuwa unaosha vyombo. Na si lazima lizungumze kila sehemu.
Kwa sasa ltaly,inaisaidia Uikraine au la?
 
Itaria imekubari kupeleka Ndege Vita endapo wenzake watafanya hivyo, lakini risasi na vifaru katuma.
Ukitaka kuua nyoka anzia miguuni mwako. Taifa lake linapeleka siraha Ukraine kuchochea Moto wa Vita.
Amekosa heshima kumwita Putin Mpuuzi ilitakiwa afunge safari kwenda Moscow wayajenge. Sio kumwita mbabe Putin Mpuuzi ktk Media za Dunia Jambo litakalosababisha Putin kumdharau na kushindwa kusimamisha Vita.
Papa anajua wazi kuwa Hata Nato na Marekani wao hawamuwezi ktk Uwanja wa mapigano, hivyo alitakiwa awe mpole. Mfano Uchumi wa Ulaya umeporomoka ktk viwango vya kutisha zaidi 18% na Urusi 2.8% Wastani. Hata USA ana Madeni makubwa Sana hafai kukopesheka tena.
Hapa inabidi Migogoro hii ikae mezani MAMBO yakae sawa.
Nani kakwambia US hawezi kukopesheka 😂. You are not serious my friend. Sasa Papa kasema vita unataka pia atoe ufafanuzi kuhusu uchumi wa Urusi, kwanini Papa atolee maelezo uchumi wa nchi yenye GDP level za jimbo la California?

Na nani kakwambia Italy ni taifa la Papa? Wahaya wenzako wakati wanaenda shule ulikuwa unapika mbandule ona sasa unatia aibu ukoo wako.

Unaitisha Vatican na mikwara yako wakati Pope John Paul II mzaliwa wa Poland aliwapinga Communists waliokuwa wananyanyasa Wakristo na akaifanya Poland nchi yake ijitenge nao. Kasome kuhusu Solidarity movement ya Poland. Papa hadi alipigwa risasi, na haikusaidia kitu USSR ikaanguka soon. Sasa wameiweza USSR na nguvu zake miaka ile waje watishwe na Putin.
Unadhani Hitler na allies walikuwa wapumbavu kutoisumbua Vatican kwenye WW2.
 
Kwa sasa ltaly,inaisaidia Uikraine au la?
Kwani kuna uhusiano gani wa Saudi Arabia kuishambulia Yemen kwenye Uislamu? Miaka mingapi imepita Saudi Arabia inaua watu wa Yemen, Uislamu unahusika kisa Mecca na Madina zipo Saudi?

Uislamu unahusika na Mohammed bin Salman Crown Prince wa Saudi Arabia kumuua Jamal Kashoggi?

Uislamu unahusika na Saudi Royal Family members kufanya orgies, threesomes, drugs kwenye mansions zao Beverly Hills, France na fukwe nyingine mbalimbali?

So maamuzi ya serikali ya Italy yanahusiana nini na Papa au kanisa?
 
Catholic vs Orhodox,asitufanye wajinga kama anao waongoza
 
Back
Top Bottom