Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Kwa hiyo pope nae ni wale.wale ama

Haya mambo tuanayasikia sana na wazee wengi walijitokeza na kusema walipokuwa wadogo walilawitiwa na fulani na fulani kwenye makanisa

Wana mambo mengi sana hawa na wanataka watu wafuate ingawa kuna wazungu wengi hawataki ila wanaogopa kufungua midomo kwani ni suala la serikali na sheria zao na wamekubali
 
Kwa hiyo pope nae ni wale.wale ama

Haya mambo tuanayasikia sana na wazee wengi walijitokeza na kusema walipokuwa wadogo walilawitiwa na fulani na fulani kwenye makanisa

Wana mambo mengi sana hawa na wanataka watu wafuate ingawa kuna wazungu wengi hawataki ila wanaogopa kufungua midomo kwani ni suala la serikali na sheria zao na wamekubali
Anatafuta kuwapendeza washirika wake bila kuwa na misimamo!
 
Pengo ni mwanafunzi wa papa Benedict wa 16 ,anajua Hilo vizuri Sana ni mwandishi nguli wavitabu vingi na vingine vinakidhana waziwazi na maswala mbalimbali yaliyopo kwetu katolic

note;ukishakubali kuwa papa na ikaishinishwa hutajiuzuru hata uumwe kitandani miaka na miaka ,hakutakua na nanafasi ya kuchakatwa kupata Papa kisa unaumwa

Baada yamabishano makalisana vatcan akawambia au niuawe au marekebisho yafanyike ,wakaona anachosema kweli basi pumzika mpaka Leo ni mtu wakusoma vitabu
Na sababu yakujiuzuru ya kitoto kabisa eti AFYA hawezi kuhudumu

Mungu wetu wa zamani sisi waafrika tumrejee na tumuombe msamaha kwa kumtenga
Ukiona mtu kama Kardinali Pengo, anajiweka pembeni ujue kuna jambo, vivyo hivyo kwa Papa Benedict XVI
 
Wakipitishi hii kitu mm naama ukatoriki yani nitakuwa mkristu ambae sina zehebu....
Papa mwenyewe anashughurikiwa sasa anaweza kuona tatizo ?, Tatizo watu wanachojisahau papa ni mtu wa kawaida Kama Mimi na wewe tofauti madaraka kwahiyo si wakufuta kila kitu anachopenda maana nae binadamu ana matamanio yake cha muhimu kufata maandiko Ila sikuhiz watu wanamfata mtu sio maandiko.
 
Mkuu hii kitu ipo dunia nzima inashika kasi

Ndo maana unaona World Cup nchi kama 9 za ulaya zimejipanga 'kuvua nguo' pale Qatar

Hata ligi zao hizi wanachochea hayo mambo sana. Na hayo mambo sasa hivi wanaume wanayapenda sana maana pepo mchafu kaachiliwa kumtafuna kila atakayekubali.

BEWARE WHEN YOU SEE THIS:

UEFA-stops-inquiry-over-Manuel-Neuers-rainbow-armband.jpg
rainbo.jpeg
2ghag71.jpg


Wenyewe wanakuambia ONELOVE

gharika is soon coming!!!
 
Papa mwenyewe anashughurikiwa sasa anaweza kuona tatizo ?, Tatizo watu wanachojisahau papa ni mtu wa kawaida Kama Mimi na wewe tofauti madaraka kwahiyo si wakufuta kila kitu anachopenda maana nae binadamu ana matamanio yake cha muhimu kufata maandiko Ila sikuhiz watu wanamfata mtu sio maandiko.
Utafataga maandiko yanasema padri asioe aishi bila kugegeda lakini wanagegeda na kulawiti Sasa mabadiliko nilazima na heko kwa padri Luther king senior
 
Wakipitishi hii kitu mm naama ukatoriki yani nitakuwa mkristu ambae sina zehebu....
Mnachoshindwa kujua ni kwamba papa ni binadamu na anaongoza taasis ya binadamu ambao wana tenda dhamb. Wana mastabate wanaangalia porn wana hisia .. ila kanisa litaendelea kuwa holy milele.. na yeye kukubal ushoga haibadili mafundisho ya bible yanayokemea ushoga..
 
Papa mwenyewe anashughurikiwa sasa anaweza kuona tatizo ?, Tatizo watu wanachojisahau papa ni mtu wa kawaida Kama Mimi na wewe tofauti madaraka kwahiyo si wakufuta kila kitu anachopenda maana nae binadamu ana matamanio yake cha muhimu kufata maandiko Ila sikuhiz watu wanamfata mtu sio maandiko.
mkuu una ushahidi kwamba anashughulikiwa? Tuhuma nzito Sana hii
 
Mnachoshindwa kujua ni kwamba papa ni binadamu na anaongoza taasis ya binadamu ambao wana tenda dhamb. Wana mastabate wanaangalia porn wana hisia .. ila kanisa litaendelea kuwa holy milele.. na yeye kukubal ushoga haibadili mafundisho ya bible yanayokemea ushoga..
Msimamo wako?
 
Papa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).

ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"

Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?


======

Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.

In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”

The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“

The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.

Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.

Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“

CNA
huwa najiuliza hawa mashoga wana kusumbuaj mtu hawajakutongoza wala hawajakuzoea , Mamb ya zinaa yanafanywa ktk privacy zao , unampangiaj mtu nn cha kufanya akiwa faragha ? ni swala la muda ila wote dunian tutakuja jishangaa sana baadae kama hapo awali tulipokuwa tunawapinga watoto albino na kuwaua vilema , ila leo tumestaarabika na tunaish nao ni swala la muda , mtu yoyote ukimuhoj kwann unawapinga mashoga hana point mbali na kuzungumzia mvua sijui majanga ya kidunia vitu ambavyo havina uhusiano wowote , dhana hiz hiz walitumia wazee zaman dhidi ya albino na vilema , ila majanga ni natural disaster hazihusian na mashoga wala albino
 
Mkuu huoni kauli anazotoa Papa zina utata? Hakemei kabisa vitendo hivyo
unakemeaj privacy ya mtu , yaan mpo chumban halaf unamwambia mtu iweke mbele tu nyuma hapana , huu ni UKICHAA , haya ni maweng yetu ya sasa hv yataisha tu baada ya ujinga wetu kifika kikomo , kituko nyiny wapingaj ndo mashoga wakubwa , wafuga ndevu ndo mashoga wafia dini wengi mashoga , BINAFS SIWEZ MPANGIA MTU CHA KUFANYA AKIWA PRIVACY YAKE HUKO KIKUBWA HAWAFANY HADHARAN
 
unakemeaj privacy ya mtu , yaan mpo chumban halaf unamwambia mtu iweke mbele tu nyuma hapana , huu ni UKICHAA , haya ni maweng yetu ya sasa hv yataisha tu baada ya ujinga wetu kifika kikomo , kituko nyiny wapingaj ndo mashoga wakubwa , wafuga ndevu ndo mashoga wafia dini wengi mashoga , BINAFS SIWEZ MPANGIA MTU CHA KUFANYA AKIWA PRIVACY YAKE HUKO KIKUBWA HAWAFANY HADHARAN
Hivi wazazi wako wangekuwa hivyo ungezaliwa?
 
unakemeaj privacy ya mtu , yaan mpo chumban halaf unamwambia mtu iweke mbele tu nyuma hapana , huu ni UKICHAA , haya ni maweng yetu ya sasa hv yataisha tu baada ya ujinga wetu kifika kikomo , kituko nyiny wapingaj ndo mashoga wakubwa , wafuga ndevu ndo mashoga wafia dini wengi mashoga , BINAFS SIWEZ MPANGIA MTU CHA KUFANYA AKIWA PRIVACY YAKE HUKO KIKUBWA HAWAFANY HADHARAN
Wee msenge nn, yaani unaafiki mwanaume kuinamishwa apumliwe, wee punga kabisa yaani, so privacy gani unayoiongelea hapa, kwamba na akili zetu hizi na sie tukubali upumbavu huo au unafikiri kila cha mzungu ni chema kwetu waafrica?

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Dunia imefikia hatua mbaya sana ya kueneza ushoga. Waumini wa dini zote inabidi wajiandae kisaikologia kwa habari ambazo haitapendeza kusikia kwa viongozi wao wa dini. Hawa mawakala wa shetani wanatumia nguvu kubwa sana kueneza ushoga mojawapo ni pamoja na kuwapandikiza watu ktk tasisi nyeti zikiwemo dini ili badaye wawe viongozi na kuunga mkono kampeni zao. Kwa hiyo ndugu zangu naamini hakuna tasisi ya dini iliyosalama ni suala la muda tu. Muhimu ni namna ipi tutawaweza kukabiliana na hilo wimbi. Tuombe sana Mungu atusaidie.
 
Back
Top Bottom