Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema watapeleka mswaada wa mabadiliko? hivi hawa mashoga hizi nguvu wanazitoa wapi? nani kiongozi wa hili kundi na hawa wazungu wanataka nini kwetu mbwa hawa? natukana sababu wanakera sana ni wakati wa mataifa ya Africa+Asia kuwa wamoja na kusema kwa kauli moja haya ni yetu msilazimishe watu na ujinga wenu huu. Kama unataka kuwa shoga kuwa shoga na familia yako hakuna atakaye kuuliza, mbona hapa kwetu wako wamejaa lakini kama hawavunji sheria za nchi wapo hatuwakati vichwa ila kulazimishana tuone jambo la kawaida wewe mzazi anakuja mwanao nyumbani shoga halafu wewe mzazi" mwanangu mimi nakuunga mkono tu unachotaka wewe sawa tu" pumbavu wakubwa hawa😂😂😂😂Vatican watabadili kitabu na kuweka Aya iyo ..hamna kitu mtafanya
Vijana wa paulo itakuwa ni halali kupitiwa na makanisa yatakuwa huru kufungisha ndoa izo😂😂😂
HaswaAnatafuta kuwapendeza washirika wake bila kuwa na misimamo!
Mungu anatusaidia kila siku lakini tuna plan gani? Hawa wapuuzi wapo kila idara kubwa, wanasukuma agenda zao kila siku!!Dunia imefikia hatua mbaya sana ya kueneza ushoga. Waumini wa dini zote inabidi wajiandae kisaikologia kwa habari ambazo haitapendeza kusikia kwa viongozi wao wa dini. Hawa mawakala wa shetani wanatumia nguvu kubwa sana kueneza ushoga mojawapo ni pamoja na kuwapandikiza watu ktk tasisi nyeti zikiwemo dini ili badaye wawe viongozi na kuunga mkono kampeni zao. Kwa hiyo ndugu zangu naamini hakuna tasisi ya dini iliyosalama ni suala la muda tu. Muhimu ni namna ipi tutawaweza kukabiliana na hilo wimbi. Tuombe sana Mungu atusaidie.
Marekani wana Jenerali wa Jeshi aliyebadili jinsia kuwa mwanamke, kuna mambo ya ajabu sana.Haswa
Na wanalipigia debe haswa
British airways wamejaa sasa na wameruhusu mwanaume hata akivaa sketi na kupaka wanja na lipstick akiwa kazini ni sawa tu
HSBC Bank ya [emoji636] ni ya 11 kwa ubora ambapo iko chini sana kwa huduma
Jana wamechambwa sana baada ya kusema kuwa mfanyakazi yeyote anaetaka kubadili jinsia kwa operation atafanyiwa na fedha za ndani
Haya ndio mambo yao ila criticism zilikuwa nyingi kwa maamuzi yao ya kijinga wakifikiri watapanda chati kwa ujinga huo
Huwezi kupata mti mbaya ukatoa matunda mema, Yesu alituambia. Imeandikwa mapenzi ya jinsia moja ni chukizo halafu anakuja mtu mmoja na kanzu yake huko VATICAN anasema "God can't disown his child because he's LGBTQ"!Ukishaifahamu elimu ya dini vizuri basi fanya yafuatayo
1. Jifunze kutoa misimamo yako kwa kufuata dini yako inavyosema na sio viongozi wa dini
yako.
2.Amini kuwa Mungu yupo na hausiki na upumbavu wa mwanadamu kama huu wa LGB......
Hawa nafikiri wanalipwa kujitokeza maana kuna wengine zaidi ya miaka 10 anaficha siri zakeMarekani wana Jenerali wa Jeshi aliyebadili jinsia kuwa mwanamke, kuna mambo ya ajabu sana.
Umeyakataa vizuri kwa elimu yako nzuri ya ukristo. Tuwafunze watoto sisi kama wazazi hizi kanzu siku hizi haziaminikiHuwezi kupata mti mbaya ukatoa matunda mema, Yesu alituambia. Imeandikwa mapenzi ya jinsia moja ni chukizo halafu anakuja mtu mmoja na kanzu yake huko VATICAN anasema "God can't disown his child because he's LGBTQ"!
Hata kwenye mpira wa miguu unaona kila timu inavaa upinde wa mvua, angalia wasanii wetu kina Harmonize wanavaa sketi kwenye video! Au Nuhu mziwanda, wanajitahidi Sana kupush hii agendas na husikii wakifungiwa na BASATAHawa nafikiri wanalipwa kujitokeza maana kuna wengine zaidi ya miaka 10 anaficha siri zake
Ana mke na watoto halafu ghafla unakuta anajitokeza na kusema ni gay
Sasa najiuliza kwanini ajitokeze kama hajalipwa na kushawishi wengine waone ni jambo la kawaida?
Umeyakataa vizuri kwa elimu yako nzuri ya ukristo. Tuwafunze watoto sisi kama wazazi hizi kanzu siku hizi haziaminikiHuwezi kupata mti mbaya ukatoa matunda mema, Yesu alituambia. Imeandikwa mapenzi ya jinsia moja ni chukizo halafu anakuja mtu mmoja na kanzu yake huko VATICAN anasema "God can't disown his child because he's LGBTQ"!
Wakipitishi hii kitu mm naama ukatoriki yani nitakuwa mkristu ambae sina zehebu....
Unajisikiaje kupinga kitu ambacho unajua fika dini yako inakiunga mkono?Mtafute Mungu na nguvu zake mkuu. Ukristo ni njia salama ya kweli tuliyopewa ili kumjua Mungu lakini sio kwamba kujiitu mkristo au kujiita muislam ndio umefika kwa Mungu
Uislam, ukristo- ukatoliki, ulutheri, u tag, morovian au Anglican ni njia tuu.... kuwa na Mungu ni wewe kujua sheria na taratibu zake na kuzifuata
Zaka hazitolewi na wazungu zinatolewa na matajir waislamu au waarabu ambao tunajua wazi si waumin wa ushoga mfano Qatar ,iran Oman na ushoga wapi na wapi,pia zaka kutoa ni hiyar yako haulazimishwi na mtu kwahiyo hilo baraa lao litaishia huko huko kwenye dini ya wazungu ya kujitungia sheria kutokana na mavadiliko ya dunia sio uislam kila siku sheria ipo vile vile hata Kama umeona shee kakengeuka bac hayo ni matamanio yake tu Ila hawez kubadilisha andiko lolote kwenye Quran ili iendane na anavyotaka yeye Kama inavyofanyika upande wa pili .hii ndio faida ya uislamu shehe na mtoto wa miaka Saba wote elimu sawa hakuna daraja sababu mungu wa wote na binadam wote Wana haki ya kumjua mungu wao sawa sio huyu ana elimu fulani huyu hana, ili uipate elimu ya juu bc kuna vigezo kibao vya kusoma huku juhudi zako na hakuna kilichobadilika na kitakachobadilika mpaka mwisho wa dunia maana ukitoa ile nucta tu kwenye msaafu bc itajulikana Sasa shekhe hata akinunuliwa kusapoti ushoga atabaki yeye na lana zake sio maandiko .Sasa utachagua kumfata shekh au kufata maandiko huu ndio uzur ya uislam .NB hakuna binadamu mkamilifu mda wowote anabadilika kutokana na matamanio ya moyo wake awe shekh au papa kwahiyo maandiko hayabadiliki ndio ya kuyafuata. Nadhan umenielewa mkuuSerikali zote duniani under USA democracy influence zinatakuwa kutambua na kuwalinda jamaa wa upinde kwa namna yoyote ile, na kinachokuja kutoka hivi karibuni haya madhehebu yatakua yanarenew vile vibali vyao, na sharti mojawapo la kupewa kile kibali ni kuukubali ushoga ndani ya jumuiya zao, sasa je kuna wachungaji/mapdre/mashekhe n.k wenye ujasiri wa kukata hizo mambo ili wakose sadaka na zaka, huku wakipewa back up ya fedha nyingi katika kuwasupport upunga?
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu yani ukifuatilia Sana hizi dini utajikuta huendi kabisaa, wanaoujua ukweli ni walio na vyeo vikubwa wengine huku chini wanafuata maelekezo, Vatican ikisema dunia inafuata !Roman catholic haijawahi kuwa kanisa la Yesu Kristo hivyo siwezi kushangaa.
Tatizo Ni kwamba madhehebu mengi ni Waroma waasi... Yani Kama Anglikana Ni Waroma walioruhusu Mambo flani flani.Mtafute Mungu na nguvu zake mkuu. Ukristo ni njia salama ya kweli tuliyopewa ili kumjua Mungu lakini sio kwamba kujiitu mkristo au kujiita muislam ndio umefika kwa Mungu
Uislam, ukristo- ukatoliki, ulutheri, u tag, morovian au Anglican ni njia tuu.... kuwa na Mungu ni wewe kujua sheria na taratibu zake na kuzifuata
Ishu ni viongozi kwa kweli wanasumbua na kufuata matamanio ya kibinadamu kitu hatar sanaUnataka kusema watapeleka mswaada wa mabadiliko? hivi hawa mashoga hizi nguvu wanazitoa wapi? nani kiongozi wa hili kundi na hawa wazungu wanataka nini kwetu mbwa hawa? natukana sababu wanakera sana ni wakati wa mataifa ya Africa+Asia kuwa wamoja na kusema kwa kauli moja haya ni yetu msilazimishe watu na ujinga wenu huu. Kama unataka kuwa shoga kuwa shoga na familia yako hakuna atakaye kuuliza, mbona hapa kwetu wako wamejaa lakini kama hawavunji sheria za nchi wapo hatuwakati vichwa ila kulazimishana tuone jambo la kawaida wewe mzazi anakuja mwanao nyumbani shoga halafu wewe mzazi" mwanangu mimi nakuunga mkono tu unachotaka wewe sawa tu" pumbavu wakubwa hawa
kidogo ndugu zetu waislamu wanajitahidi kupiga vita vitendo hivi waziwazi!Zaka hazitolewi na wazungu zinatolewa na matajir waislamu au waarabu ambao tunajua wazi si waumin wa ushoga mfano Qatar ,iran Oman na ushoga wapi na wapi,pia zaka kutoa ni hiyar yako haulazimishwi na mtu kwahiyo hilo baraa lao litaishia huko huko kwenye dini ya wazungu ya kujitungia sheria kutokana na mavadiliko ya dunia sio uislam kila siku sheria ipo vile vile hata Kama umeona shee kakengeuka bac hayo ni matamanio yake tu Ila hawez kubadilisha andiko lolote kwenye Quran ili iendane na anavyotaka yeye Kama inavyofanyika upande wa pili .hii ndio faida ya uislamu shehe na mtoto wa miaka Saba wote elimu sawa hakuna daraja sababu mungu wa wote na binadam wote Wana haki ya kumjua mungu wao sawa sio huyu ana elimu fulani huyu hana, ili uipate elimu ya juu bc kuna vigezo kibao vya kusoma huku juhudi zako na hakuna kilichobadilika na kitakachobadilika mpaka mwisho wa dunia maana ukitoa ile nucta tu kwenye msaafu bc itajulikana Sasa shekhe hata akinunuliwa kusapoti ushoga atabaki yeye na lana zake sio maandiko .Sasa utachagua kumfata shekh au kufata maandiko huu ndio uzur ya uislam .NB hakuna binadamu mkamilifu mda wowote anabadilika kutokana na matamanio ya moyo wake awe shekh au papa kwahiyo maandiko hayabadiliki ndio ya kuyafuata. Nadhan umenielewa mkuu