Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Kabisa the whole thing is corrupt !Ndiyo maana huko Anglican wanafungisha ndoa kabisaa.

Na dini hizi mbili zimeweka mizizi hata serikalini, Ukisikia wanapewa nafasi viongozi watatu wa dini jua 1.Roman 2.Islam 3.Lutheran/Anglican wamejikita mizizi serikalini
Vita kubwa iliyopo ni ya Umakini na Taarifa ili wafanikishe kutufanya tuwe wa fikra moja na za kupangiwa. Na shida huwa wanashawishi baada ya kujielezea ( Lie of Influence even kwa polite language )
 
Wakipitisha, dini itaonekana kama sehemu ya biashara
Hizi tulizo nazo nyingi ni taasisi za kidini za kibiashara, why mfanyabiashara yeyote hana huruma ndio maana wanakukaanga vizuri bila huruma juu ya sadaka, zaka n.k

Dini ya kweli hua imo ndani ya mtu hata kabla hajafundishwa na mtu yeyote, ila anapofundishwa anaongezea maarifa tu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo Ni kwamba madhehebu mengi ni Waroma waasi... Yani Kama Anglikana Ni Waroma walioruhusu Mambo flani flani.
Na anyeanzisha huwa Kuna Jambo lake limefeli ndani ya Roma so anatokea ubavuni na kuleta kipya chenye uzamani ndani.
Bila kuacha Dini ambayo ni man made tumeisha peupee.
Sala ya baba yetu inaongelea ufalme sisi tuanongelea Dini.

Tatizo ni kwamba tunajiita waKristo - either waroma au protestants au Anglican n.k lakini hatujui ukristo wala neno la Mungu ambalo ndio uhai wa imani yetu. Hatujui hata huyo Kristo tunayejiita kwa jina lake anataka tufanye nini

LUKA 9:49-50
Yohana akajibu akamwambia; Bwana mkubwa, tuliona mtu anatoa pepo kwa jina lako; tukamkataza, kwa sababu hafuatani na sisi.

Yesu akamwambia, Msimkataze, kwa kuwa yeye ambaye si kinyume chenu yu upande wenu. Kijiji cha Samaria Chakataa Kumkaribisha Yesu


WAEFESO 4:10-19
Naye aliyeshuka ndiye yeye aliyepaa juu sana kupita mbingu zote, ili avijaze vitu vyote.

Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.

Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo.

Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo. Maisha ya Zamani na Mapya

Basi nasema neno hili, tena nashuhudia katika Bwana, tangu sasa msienende kama Mataifa waenendavyo, katika ubatili wa nia zao; ambao; akili zao zimetiwa giza, nao wamefarikishwa na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo ndani yao, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao; ambao wakiisha kufa ganzi wanajitia katika mambo ya ufisadi wapate kufanyiza kila namna ya uchafu kwa kutamani.

1 WAKORINTO 1:10-13
10 Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu faraka, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.

Kwa maana, ndugu zangu, nimearifiwa habari zenu na wale walio wa nyumbani mwa Kloe, ya kwamba iko fitina kwenu.

Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo.

Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
 
Vita kubwa iliyopo ni ya Umakini na Taarifa ili wafanikishe kutufanya tuwe wa fikra moja na za kupangiwa. Na shida huwa wanashawishi baada ya kujielezea ( Lie of Influence even kwa polite language )
Wapuuzi Sana Hawa, wanatuharibia kizazi chetu
 
Hapa kuna swali la msingi, kwanini wameasili(adopt) mtoto ,jibu ni dhahiri hawana uwezo wa kupata mtoto!

Kama dunia nzima ikiwa hivyo hatutakuwa na kizazi kingine
Ni sababu hawataki kukutana na mwanamme ila wanapenda wawe na watoto nawarithi wa walichovuna. Wangependa kupata mtoto kamahapa nchini kuna utaratibu wa sperms donation kama nchi zilizoendelea. Hapa hatuna hiyo huduma.
 
Mimi naandika kama mama na bibi. Naeleza hili siyo mara ya kwanza kuwa watu kuwa shoga yaweza kuwa maumbile na zile chromosomes zikiwa mchanganyiko au wengine wanakuwa hivyo sababu ya matukio kama kubakwa wakiwa watoto wanaamua kuchukia jinsia yao nyingine.

Tumesikia stori humu humu za watu waliokuwa mashoga na kilichowafanya hivyo.

Nimesoma shule na wasichana waliokuwa wanapendana sana kiushoga tukadhani ni shule za bweni lakini mpaka sasa wana miaka 60 na zaidi wapo wote na wameasiri watoto wa ndugu zao na wameishi maisha mazuri. Sitaji vyeo na mahali walipopitia kwa kuwasitiri.

Ushoga upo ila tutakubali kama walivyofanya ulaya baada ya miaka 200. Hitler aliua mashoga wengi tu. Aliyetengeneza Computer nakuweza ku Crack codes za ma nazi aliwekwa kizuizini baada ya vita ya pili. Alipewa sumu na ukiingia the London Musium of Science utasoma historia yake.
Bora mama/bibi umeamua useme ukweli, ubarikiwe sanaaaa.
 
Mimi naandika kama mama na bibi. Naeleza hili siyo mara ya kwanza kuwa watu kuwa shoga yaweza kuwa maumbile na zile chromosomes zikiwa mchanganyiko au wengine wanakuwa hivyo sababu ya matukio kama kubakwa wakiwa watoto wanaamua kuchukia jinsia yao nyingine.

Tumesikia stori humu humu za watu waliokuwa mashoga na kilichowafanya hivyo.

Nimesoma shule na wasichana waliokuwa wanapendana sana kiushoga tukadhani ni shule za bweni lakini mpaka sasa wana miaka 60 na zaidi wapo wote na wameasiri watoto wa ndugu zao na wameishi maisha mazuri. Sitaji vyeo na mahali walipopitia kwa kuwasitiri.

Ushoga upo ila tutakubali kama walivyofanya ulaya baada ya miaka 200. Hitler aliua mashoga wengi tu. Aliyetengeneza Computer nakuweza ku Crack codes za ma nazi aliwekwa kizuizini baada ya vita ya pili. Alipewa sumu na ukiingia the London Musium of Science utasoma historia yake.
Vipi mwanao wa kiume uliyebeba mimba miezi 9 unategemea akuletee wajukuu ukakuta ninampumulia utajisikiaje

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii kitu ipo dunia nzima inashika kasi

Ndo maana unaona World Cup nchi kama 9 za ulaya zimejipanga 'kuvua nguo' pale Qatar

Hata ligi zao hizi wanachochea hayo mambo sana. Na hayo mambo sasa hivi wanaume wanayapenda sana maana pepo mchafu kaachiliwa kumtafuna kila atakayekubali.

BEWARE WHEN YOU SEE THIS:

View attachment 2414294View attachment 2414298View attachment 2414299

Wenyewe wanakuambia ONELOVE

gharika is soon coming!!!
Ufafanuzi zaidi wa hizo nchi zinazotaka kuvua nguo kombe la dunia?
 
Wameshafanikiwa kutugawa kimadhehebu, utaskia Mimi Mlutheri wewe ni mroma Yule ni msabato, huyu mpentekoste na wote Hawa wanatumia Bible moja, Yesu hakuacha madhehebu haya!
 
Huu upuuzi hata wanyama hawafanyi, ni binadamu tu waliotindikiwa ubongo!
Ndo muwaache wao binadamu waliotindikiwa ubongo wacheze na faragha zao.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi tulizo nazo nyingi ni taasisi za kidini za kibiashara, why mfanyabiashara yeyote hana huruma ndio maana wanakukaanga vizuri bila huruma juu ya sadaka, zaka n.k

Dini ya kweli hua imo ndani ya mtu hata kabla hajafundishwa na mtu yeyote, ila anapofundishwa anaongezea maarifa tu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Paragraph ya pili ndo umemaliza kila kitu, kumbe sometimes huwa uko timamuuu eeeh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni sababu hawataki kukutana na mwanamme ila wanapenda wawe na watoto nawarithi wa walichovuna. Wangependa kupata mtoto kamahapa nchini kuna utaratibu wa sperms donation kama nchi zilizoendelea. Hapa hatuna hiyo huduma.
Kwahiyo wangependa na hao watoto waliowaadopt wawe mashoga?
 
Biblia iko wazi kwenye Ufunuo 21:8 lakini husikii viongozi wa dini wakizungumzia, Utasikia wanaandika waraka kuishauri Serikali izingatie demokrasia, lakini hutasikia waraka wa kukemea mapenzi ya jinsia moja!

Na Hawa ndio wanafuatwa na mamilioni ya watu! What a shame

Shetani naye mwerevu

Hamjaribu mdhaifu ila mwenye nguvu na watu ili apate kuangusha watu wengi zaidi

Sisi kama binadamu wengine hatujakamilika mbele za Mungu, tunaanguka na kuinua ila tunapambana tusianguke tena pale tulipoinukia na pamoja tunaungana na yoyote anayesimama kuukataa ushoga, usagaji na mambo mengine yote yaliyokatazwa na Mungu hadharani

Raha ya uzee ni wajukuu jameni

Mungu atusaidie
 
Sasa unaamuaje??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbna bado kidogo tyuuh ushoga n ruksa, na hakuna kitu mtafanya, tena km Africa ndo kabisa hakuna mtakachofanya, zaidi ya kuinamishana kwa kwenda mbeleee.
Mkuu cocastic, umemiangusha sana leo! Kumbe hata wewe...!
 
Ndo muwaache wao binadamu waliotindikiwa ubongo wacheze na faragha zao.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawewe ni mmoja wao? Mbona mnashupalia Sana hizi agenda?
 
Back
Top Bottom