Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Kuwa makini juu ya nafasi yako, fikra na maoni yako Mana ukianza kuishi vyao tarajia kuwa sehemu Yao.
Though formulation zetu zinawindwa kwa Hali na mali
 
Ni sababu hawataki kukutana na mwanamme ila wanapenda wawe na watoto nawarithi wa walichovuna. Wangependa kupata mtoto kamahapa nchini kuna utaratibu wa sperms donation kama nchi zilizoendelea. Hapa hatuna hiyo huduma.
Hakuna mwanamke hapendi tu kuwa na mtoto eti kwa sababu hapendi kukutana na mwanaume, huo ni uongo they are psychologically affected ndio maana hawawezi kuinjoy mapenzi na jinsia nyingine.

Je umeshawahi ona mnyama yeyote be it paka, mbuzi, ng'ombe, njiwa wakipandana jinsia tofauti?
Kama sio basi ekewa hata kwa mwanadamu hilo swala in laaana don't entertain it

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Ufafanuzi zaidi wa hizo nchi zinazotaka kuvua nguo kombe la dunia?
the Netherlands, England, Belgium, Denmark, France, Germany, Norway, Sweden, Switzerland and Wales – will participate in a season-long “OneLove” campaign promoting inclusion and opposing discrimination.

 
Mila na desturi za mwafrika ziheshimiwe; hawa wanaume wanaopelekewa moto huku Afrika sio sehemu zao.
Cha ajabu, hata viongozi wetu wanapata kigugumizi kusema msimamo wa taifa letu!wanahofia misaada itakosekana
 
Cha ajabu, hata viongozi wetu wanapata kigugumizi kusema msimamo wa taifa letu!wanahofia misaada itakosekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ukweli mnaujuaaaa, misaada mnapenda na masharti mnayajua,

Dj waleteeeeeeeeeeeee, leo nacheka km chizi hapa uwiiiiii
 
Muda sio mrefu hii kitu itakuwa sheria kwenye kusaidiwa, huungi mkono kutinduana, hupati hela za maendeleo wala za afya, kama naiona Tanzania tunavyopenda misaada, tuhimize viongozi wetu tuache kuzungusha mabakuli.
 
Zaka hazitolewi na wazungu zinatolewa na matajir waislamu au waarabu ambao tunajua wazi si waumin wa ushoga mfano Qatar ,iran Oman na ushoga wapi na wapi,pia zaka kutoa ni hiyar yako haulazimishwi na mtu kwahiyo hilo baraa lao litaishia huko huko kwenye dini ya wazungu ya kujitungia sheria kutokana na mavadiliko ya dunia sio uislam kila siku sheria ipo vile vile hata Kama umeona shee kakengeuka bac hayo ni matamanio yake tu Ila hawez kubadilisha andiko lolote kwenye Quran ili iendane na anavyotaka yeye Kama inavyofanyika upande wa pili .hii ndio faida ya uislamu shehe na mtoto wa miaka Saba wote elimu sawa hakuna daraja sababu mungu wa wote na binadam wote Wana haki ya kumjua mungu wao sawa sio huyu ana elimu fulani huyu hana, ili uipate elimu ya juu bc kuna vigezo kibao vya kusoma huku juhudi zako na hakuna kilichobadilika na kitakachobadilika mpaka mwisho wa dunia maana ukitoa ile nucta tu kwenye msaafu bc itajulikana Sasa shekhe hata akinunuliwa kusapoti ushoga atabaki yeye na lana zake sio maandiko .Sasa utachagua kumfata shekh au kufata maandiko huu ndio uzur ya uislam .NB hakuna binadamu mkamilifu mda wowote anabadilika kutokana na matamanio ya moyo wake awe shekh au papa kwahiyo maandiko hayabadiliki ndio ya kuyafuata. Nadhan umenielewa mkuu
Kwahili la movement za mashoga hakuna taasisi isiyo salama wala usijidanganye..unadhani hata kanisa katoliki wakati linaanza lilikua hivi..mdogo mdogo utawala wa giza unaendelea kuchukua nafasi hakuna cha kurwani wala nani hapo ni kila mtu kwa nafsi yake kusimama imara.

#MaendeleoHayanaChama
 
Paragraph ya pili ndo umemaliza kila kitu, kumbe sometimes huwa uko timamuuu eeeh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo oagraph ya pili inayoongelea dini ya kweli umeielewa vp? Unaona mashoga hata kuelewa minor thing tu ni tatizo.

Je nafsi yako unaona inakushuhudia kupandwa na mwanaume mwenzio au kusagana ?

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Muda sio mrefu hii kitu itakuwa sheria kwenye kusaidiwa, huungi mkono kutinduana, hupati hela za maendeleo wala za afya, kama naiona Tanzania tunavyopenda misaada, tuhimize viongozi wetu tuache kuzungusha mabakuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mwehuuuuuu hapaaaa.
Mabakuliiii woyeeeeeeeee.
 
Mnahangaika sana na Ukatoliki.Kimsingi misingi mikubwa ya Imani na ustaarabu inasimamiwa na kanisa Katoliki.Nyie mnajaribu kudanganya watu ili mpate kuwin watu wasiojielewa
 
Back
Top Bottom