cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wapasulieeeeeeee ukweliiiiiiii babaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona tz inauga mkono hayo mambo kitambo..sema viongozi wetu unafiki mwingi..kumbuka barua iliyotolewa kipindi makonda akipambana na mashoga akatulia tuli..serikali yenyewe ilimkana ikasema huo ni msimamo wake wala sio msimamo wa serikali.
Ukishakubali kutia saini mikataba ya haki za binadamu jua vipengele ya hao LGBTQ viko ndani yake.
Nakwa nchi zetu njaa hizi za viongozi watembeza bakuri hawana kauli wao ni ndio mzee ilimaradi wapewe chochote kitu.
#MaendeleoHayanaChama
Wapeeeeeeee wapeeeeeeeee.