Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Roman catholic haijawahi kuwa kanisa la Yesu Kristo hivyo siwezi kushangaa.

Roman catholic haijawahi kuwa kanisa la Yesu Kristo hivyo siwezi kushangaa.
hahahahahaha umeona viongozi wako mambo wanayo jadilie? wee unakomaa na kitimoto nawee itakua umeasilika Kama papa enae taka waumini wake wakiume wapelekeane mito
 
kilasiku nasema wakristo nimakafiri. ona Sasa mambo wanayo jadili aibu kabisa.
Acha kupanik bora wanaojadili kuliko wanao fanya mafichoni kwa kigezo cha sunna..please usituharibie uzi..kama hupendi majadiliano haya kuna nyuzi nyingi unaweza enda huko kutoa povu lako.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unajua wanajua kabisa haimpendezi Mungu na bado wanafanya!
Ikiwapendeza wao wanaofanya inatoshaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wengine hawasumbui.
 
Ndio ukweli na hakuna pimbi yoyote atakaye gusa ma shoga akabaki salama..hao jama wanalindwa na nchi..vinginevyo viongozi wa nchi hii vitivyao vitapata moto.

Hapa tunachangamsha genge tu...pimbi yoyote anayejiamini na kujifanya kitukuu cha mtume au nabii fulani aende ajitokeze kukemea na kupambana na hao LGBTQ uone kama haja nyea ndoo maisha yake yote.

#MaendeleoHayanaChama
Nawewe unasapoti huu ujinga?
 
[emoji1][emoji2] hii dunia sahivi watu tunalia na vingi ambavyo hatuna control navyo

Njoo pm usalimie [emoji2957]
Nakujaaaa PM dyadyaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninaona ushoga ni starehe anayochagua mtu, Mungu wa kweli hana shida, ila huyu Mungu aliyeletwa na wamisionari kwa njia ya dini haelewi ushoga. Mimi sio shoga kwani kwangu sio njia ya asili ya starehe, ila waliojaribu wanasema ni sawa na kula nyama ya mtu, kuacha sio rahisi.
 
Acha kupanik bora wanaojadili kuliko wanao fanya mafichoni kwa kigezo cha sunna..please usituharibie uzi..kama hupendi majadiliano haya kuna nyuzi nyingi unaweza enda huko kutoa povu lako.

#MaendeleoHayanaChama
tulia wewe. kwahio unataka nijadili uchoko Kama huyo kiongozi wenu mjinga?haya Basi bebeni uzi mkajadili chumbani kwenu ili nisiuone
 
Ndio ukweli na hakuna pimbi yoyote atakaye gusa ma shoga akabaki salama..hao jama wanalindwa na nchi..vinginevyo viongozi wa nchi hii vitivyao vitapata moto.

Hapa tunachangamsha genge tu...pimbi yoyote anayejiamini na kujifanya kitukuu cha mtume au nabii fulani aende ajitokeze kukemea na kupambana na hao LGBTQ uone kama haja nyea ndoo maisha yake yote.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaaa mnooooo yaaan.

Hakuna watu wanafiki km wabongo, hasa wanaume yaan mtandaon na vijiweni wanakemea ushoga, ila wakitoka hapo sasa ndo wao hao kutafuta bottoms, tena wengine wanawageuza nyumba ndogo na michepukooo.

Wanachekesha mnoooo, mashoga wanaongezeka kila leo, ila mitandaoni sasa kelele zake unabaki kushangaa tyuuh.
 
Nawewe unasapoti huu ujinga?
Sijawahi na sitoweza hangaika na huo ujinga wala kuupa support.

Ila kwa mwenendo wa dunia hii no one is save..hao jamaa wamejipanga na wana nguvu sana..za uchumi..kisiasa..kijeshi..kiushawishi n.k.

#MaendeleoHayanaChama
 
tulia wewe. kwahio unataka nijadili uchoko Kama huyo kiongozi wenu mjinga?haya Basi bebeni uzi mkajadili chumbani kwenu ili nisiuone
Nakupuuza mana huna akili finyu.[emoji706][emoji706]

#MaendeleoHayanaChama
 
Sijawahi na sitoweza hangaika na huo ujinga wala kuupa support.

Ila kwa mwenendo wa dunia hii no one is save..hao jamaa wamejipanga na wana nguvu sana..za uchumi..kisiasa..kijeshi..kiushawishi n.k.

#MaendeleoHayanaChama
Kabisa huo ndio uhalisia, wanatuharibia kizazi chetu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaaa mnooooo yaaan.

Hakuna watu wanafiki km wabongo, hasa wanaume yaan mtandaon na vijiweni wanakemea ushoga, ila wakitoka hapo sasa ndo wao hao kutafuta bottoms, tena wengine wanawageuza nyumba ndogo na michepukooo.

Wanachekesha mnoooo, mashoga wanaongezeka kila leo, ila mitandaoni sasa kelele zake unabaki kushangaa tyuuh.

mkuu hichi unachosema kina ukweli

maana kiufupi walioathirika na hii tabia wengi ni wanaume japo wa kike nao apo

ila

DONT THROW THE BABY WITH THE BATH WATER

Panapohitaji kukemewa basi kukemea kuwepo

kwenye mamba na kenge wamo ila mamba watabaki kuwa mamba


changamoto kubwa ni huwa hawa jamaa wa lgbtq+ wanataka kila mtu ajue wanachofanya
sasa human nature ni kukataa kutawaliwa ndo maana watu wanapinga
ila wangefanya mambo yao wenyewe bila kulazimisha kwa kila mtu isingeleta mtafaruku
 
Kabisa huo ndio uhalisia, wanatuharibia kizazi chetu
mkuu mi nadhani kizazi hiki cha nyoka kishaharibika

siku hizi hakuna tofauti ya mwanaume na mwanamke

angalia wasanii wa siku hzi wa kiume wanavaa hereni na kusuka na wanaimba kwa kinyonge sana kama wanakufa asee!! wengine hadi wanavaa sketi sio majuu sio bongo
hata vijana wengi wa mjini siku hizi asipokuwa na hereni sikion bas atakuwa na msuko kichwani
wa kike nao ni tattoo mwili mzima

kazi ipo kweli kweli

hold on to your kids as long as you can, never let go!
 
Back
Top Bottom