Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tukiacha unafiki hizi kelele zisingekuwepo

Ushoga upo tangu zama za biblia,leo ni marudio tu.
Ndio maana nikaweka maana ya shemale yaan katika watoto million 1 wanaozaliwa basi jua kuna shemale mmoja kati yao, yaan ana jinsia mbili ya kike na ya kiume na huyu katika tafasiri ya haraka haraka ana vinasaba vya ushoga, yaan ana umbo la kike ila sio mwanamke
 
Umejibu vizuri, unahisi wazazi wako wanakosea kuwa na msimamo huo? Je ungependa kuwaona wakishiriki mapenzi ya jinsia moja?
Wazazi wangu hawakosei kuwa na msimamo walio nao,

Kuhusu mie kupenda au kutopenda kuwaona wao wakishiriki hivyo inabaki kuwa ni hisia, ila wao wakiamua kufanya ni sawa. Mie sitabadilisha chochote ili hali wao wameamua kufanya hivyo.
 
Papa Francis Jana tarehe ku11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).

ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"

Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?


======

Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.

In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”

The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“

The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.

Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.

Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“

CNA
kuwa katika dini hii ni zaidi ya ushetani
 
Papa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).

ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"

Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?


======

Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.

In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”

The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“

The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.

Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.

Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“

CNA
Kwa kifupi Papa amekutana na Kiongozi/Mkubwa wake.

Maana hata yeye ni Jesuits.
 
sasa mkuu dunia nzima haiezi kuwa sawa

ndo maana kuna waislamu na wakristo na wabudha na atheist

hawa wanaeza kubaliwa kama marekani au huko SA lakini jamii kamwe haiwezi kukubali asilimia 100 kwa hio resistance itakuwa forever

ndo maana hata uko ulaya bado kuna watu hawataki hayo mambo

all in all dunia inaelekea huko

everyone will choose their sides

may the best team win
Kikubwa umekiri kuwa Dunia inaelekea huko. Baas imeisha hiyooooo
 
Kwani Ushoga ukiwa ruksa tatizo nn? Unajua kwann watu wanataka ushoga uwe ruksa na halali? Wahusika baadhi wakitaka kufunga ndoa bas iwe ni sawa,

Kwa sababu sio lazima mtu kuwa shoga kwaa usiyehusika au taka, ila wao wahusika na waliopo ndani ya jamii hiyo wawe huru kufanya mambo yao pasipo kuhofia macho ya jamii iliyo nje yao.

Naomba usomeeee kwa makini na ueleweee.
Jinga sana wewe litoto ni hasara kwa Dunia ya wastaarabu.
Yani umezidiwa akili hata na mbwa,Mbuzi,kundoo NK.

Hao wote hawajawahi kuamua kufanya ujinga kama mnao tetea humu.
 
Yaani Mungu atusaidie kwa kweli, unaambiwa Ukiwaping ndio unajua kazi ya serikali na vyombo vyake. Ndugu mmoja alijaribu Serikali ikasema huo ni msimamo wake binafsi.
Hali ni mbaya
 
Hili suala la ushoga sijui kwann linavaliwa njuga namna hii mttz yapo mengi ya kupigania kwann ni hili kila siku
 
Jinga sana wewe litoto ni hasara kwa Dunia ya wastaarabu.
Yani umezidiwa akili hata na mbwa,Mbuzi,kundoo NK.

Hao wote hawajawahi kuamua kufanya ujinga kama mnao tetea humu.
Kupanick na kufoka kwenye keyboard ndo zenu nshawazoeaaa, wanafiki wakubwa nyie, Dunia ipi hiyo ya ustaarabu? Hii iliyojaza waovu kila kona?

Mambo yasiyofanywa na wanyama haielekezi kwamba binadamu asifanye, kwan mambo yote wanayofanya wanyama na binadamu wanafanya?

Mkiwa hamna hoja mukae kimyaaa, sio kujionesha kuwa uwezo wako wa akili ni mdogo. Poleeeeeeeeeh.
 
Papa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).

ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"

Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?


======

Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.

In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”

The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“

The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.

Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.

Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“

CNA
Father James Martin hana cheo chochote hapa Jesuit bali ni maarufu kwa vitabu vyake tu viwili vitatu...
 
Papa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).

ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"

Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?


======

Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.

In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”

The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“

The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.

Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.

Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“

CNA
Waroma huo Ni utamaduni wao
 
Jinga sana wewe litoto ni hasara kwa Dunia ya wastaarabu.
Yani umezidiwa akili hata na mbwa,Mbuzi,kundoo NK.

Hao wote hawajawahi kuamua kufanya ujinga kama mnao tetea humu.
Kwahiyo leo mbuzi na mbwa wamekua mfano mzuri..mbona wewe hujawahi lala na mavi au panda nduguzo wa damu kama wafanyavyo mbuzi na mbwa..mana hao hata kambwa dume kakibarehe hata mamake kana mtia mimba..vipi na hapo tuchukue hayo pia.

#MaendeleoHayanaChama
 
White race ni mashoga kiasili sijui yapoje mafala yale
IMG-20220901-WA0002.jpg
 
Kwahiyo leo mbuzi na mbwa wamekua mfano mzuri..mbona wewe hujawahi lala na mavi au panda nduguzo wa damu kama wafanyavyo mbuzi na mbwa..mana hao hata kambwa dume kakibarehe hata mamake kana mtia mimba..vipi na hapo tuchukue hayo pia.

#MaendeleoHayanaChama
Akikujibu nitag, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umempa za uso kabisaaa.
 
Back
Top Bottom