Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Akikujibu nitag, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umempa za uso kabisaaa.
Kuna vitu vingine vina kera sana..sijawahi kuwa kukubaliana na ushenzi wa LGBTQ ila siwezi hangaika na mtu aliyekubali kufanya hayo afanye wenyewe juu ya mwili wake wenyewe na mola wake..that's none of my business.

Ila kuna pimbi humu wanakaza fuvu..ila kitaa kila siku wanagonga hi five na mapunga na hawana cha kuyafanya..ila wakija huku wanajitia u keyboard worrier.[emoji706]

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna vitu vingine vina kera sana..sijawahi kuwa kukubaliana na ushenzi wa LGBTQ ila siwezi hangaika na mtu aliyekubali kufanya hayo afanye wenyewe juu ya mwili wake wenyewe na mola wake..that's none of my business.

Ila kuna pimbi humu wanakaza fuvu..ila kitaa kila siku wanagonga hi five na mapunga na hawana cha kuyafanya..ila wakija huku wanajitia u keyboard worrier.[emoji706]

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na unajua kuwapa za usooo.
 
Papa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).

ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"

Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?


======

Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.

In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”

The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“

The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.

Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.

Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“

CNA
Ishu za lesbians na gay ni movement itakayoingia na kutawala ulimwengu kwa kuwa roho hiyo chafu tayari imemwagwa kama hujakaa sawa unabebwa either kwa kuwa miongoni mwa wateja au watoa huduma au unapiga kampeni za kuunga mkono.Hao jamaa wana hela kama njugu ila mwisho wake ni balaa. Kuna vijana wa kiume sasa hivi wanajiingiza vitu katika Miku.. yao eti wanadai wanatafuta network na wengine wanafanya mapenzi na wanawake ni mpaka waingizwe vidole ndo raha yao.Chunga sana hali ni mbaya sana.Simama mwenyewe ukijiombea wewe na familia yako na jamii ya vijana
 
Wazazi wangu hawakosei kuwa na msimamo walio nao,

Kuhusu mie kupenda au kutopenda kuwaona wao wakishiriki hivyo inabaki kuwa ni hisia, ila wao wakiamua kufanya ni sawa. Mie sitabadilisha chochote ili hali wao wameamua kufanya hivyo.

Yaaah si ndio Wana influence Feminism na Haki sawa kwa wote ila Sasa mmeanza kujua haki sawa waliyokuwa wanaisema ni ipi

Ishu za lesbians na gay ni movement itakayoingia na kutawala ulimwengu kwa kuwa roho hiyo chafu tayari imemwagwa kama hujakaa sawa unabebwa either kwa kuwa miongoni mwa wateja au watoa huduma au unapiga kampeni za kuunga mkono.Hao jamaa wana hela kama njugu ila mwisho wake ni balaa. Kuna vijana wa kiume sasa hivi wanajiingiza vitu katika Miku.. yao eti wanadai wanatafuta network na wengine wanafanya mapenzi na wanawake ni mpaka waingizwe vidole ndo raha yao.Chunga sana hali ni mbaya sana.Simama mwenyewe ukijiombea wewe na familia yako na jamii ya vijana
Unafikiri nini kifanyike
 
Tukiwaambia hizi dini zenu ni za kufuata matamanio mnakataa
Ona sasa mnavoaibika
Bora turudi kwenye vilinge vya wazee wetu au sio..mana hizi dini za majahazi zimejaa matamanio matupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Naona kuna hoja za watu ambao wamejiweka kundi ambalo halipingi hili swala na wala hawalitangaz wakidai kuw ni privacy za watu na zaid wakiend mbali kusema wanaopinga hawana sababu za msingi kupnga ushoga lakin yangu haya

[emoji736]kama ushoga hauna faida wala hasara kwann wautangaze na unamanufaa gani NA KWA nani

[emoji736]Kwann biology iliweka jinsia mbili ke na me

[emoji736]Je mwanao hasa wa kiume akiwa shoga kwako utaona sawa

[emoji736]kwann walazimuishe kama ni nature wangeacha i take place automatically.

[emoji3522] Mimi naona haya mambo yana agenda za siri kidunia sambamba na wanamikaka yao ya utawala mpya na biashara mpya ambazo zitatoka na hali hizo za kishoga


Kwangu mimi napng ushoga kwa [emoji817][emoji817] ukiona wew sawa jiulize sana kuhusu familia yako na kizazi chako jambo kubwa bado Africa atujawa na uwezo wa kuchagua jambo sahihi tunashinikizwa na kugeukia jambo ovu ambalo litatugharimu zaid kutokan na Elimu zetu na hali za maisha.
 
Hivi wazazi wako wangekuwa hivyo ungezaliwa?
rudia kusoma comment yako hlf jiite kichaa , hv wagumba na tasa mbona wapo na nimezaliwa , una mjua kim kardashian , je baba ake ana sexual hobby gan ? kuwaheshimu mashoga haimaanish ipo siku dunia nzima watakuwa mashoga HAPANA , Mbona din ya mnyaz mung ipo na sio kila mtu anaifuata , tujifunz kireason kabla ya kukosoa , fantassy ya mtu km haikugus inakuuma nn ? I AM NOT GAY BUT I HAVE NO REASON TO FIGHT THEM
 
Wee msenge nn, yaani unaafiki mwanaume kuinamishwa apumliwe, wee punga kabisa yaani, so privacy gani unayoiongelea hapa, kwamba na akili zetu hizi na sie tukubali upumbavu huo au unafikiri kila cha mzungu ni chema kwetu waafrica?

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
kafanya kwa hiar yake , ww inakuuma nin ? Ishirikishe akil yako mara mbili
 
rudia kusoma comment yako hlf jiite kichaa , hv wagumba na tasa mbona wapo na nimezaliwa , una mjua kim kardashian , je baba ake ana sexual hobby gan ? kuwaheshimu mashoga haimaanish ipo siku dunia nzima watakuwa mashoga HAPANA , Mbona din ya mnyaz mung ipo na sio kila mtu anaifuata , tujifunz kireason kabla ya kukosoa , fantassy ya mtu km haikugus inakuuma nn ? I AM NOT GAY BUT I HAVE NO REASON TO FIGHT THEM
kwa passion hii uliyonayo inaonekana dhahiri unawaunga mkono! Shame
 
Naona kuna hoja za watu ambao wamejiweka kundi ambalo halipingi hili swala na wala hawalitangaz wakidai kuw ni privacy za watu na zaid wakiend mbali kusema wanaopinga hawana sababu za msingi kupnga ushoga lakin yangu haya

[emoji736]kama ushoga hauna faida wala hasara kwann wautangaze na unamanufaa gani NA KWA nani

[emoji736]Kwann biology iliweka jinsia mbili ke na me

[emoji736]Je mwanao hasa wa kiume akiwa shoga kwako utaona sawa

[emoji736]kwann walazimuishe kama ni nature wangeacha i take place automatically.

[emoji3522] Mimi naona haya mambo yana agenda za siri kidunia sambamba na wanamikaka yao ya utawala mpya na biashara mpya ambazo zitatoka na hali hizo za kishoga


Kwangu mimi napng ushoga kwa [emoji817][emoji817] ukiona wew sawa jiulize sana kuhusu familia yako na kizazi chako jambo kubwa bado Africa atujawa na uwezo wa kuchagua jambo sahihi tunashinikizwa na kugeukia jambo ovu ambalo litatugharimu zaid kutokan na Elimu zetu na hali za maisha.
Uzuri ni kwamba hakuna mtu anayeshikiwa bunduki kuwa LGBTQ ni utashi wa mtu binafsi.

Hao ma LGBTQ wao wanachopigania ni ule uhuru wao wa kufanya mambo yao bila kutengwa..kubaguliwa na kuuliwa ama kunyanyaswa.

Ndio sababu kuu ya hizo movements zao unazoziona kila siku.

Kama unavyoona movement za watu kupinga GBV au FGM hivyo hivyo ndio movements za LGBTQ.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Hadi unaondoka dunian utakuwa Bado unatawaliwa Kama ilivyo Sasa kikubwa ishi milele yako hiyo nyingine ibakie History
hayo ni matatizo yenu ya ki psychology , unaamin usichokiona , amin mazur na mabaya yanatokana na ww mwenyew hizo story nyingine ni fununu tu , KILA TAIFA AU UFALME UTAFIKA KIKOMO , WW UNAIZUNGUMZIA ROMA EMPIRE ILA UMEISAHAU PRUSSIA MAMA WA UJERUMAN , AUSTRIA , ITALY , ROMANIA NK ILA LEO HUIJUI KILA KITU KINA KIKOMO
 
Mkuu hii kitu ipo dunia nzima inashika kasi

Ndo maana unaona World Cup nchi kama 9 za ulaya zimejipanga 'kuvua nguo' pale Qatar

Hata ligi zao hizi wanachochea hayo mambo sana. Na hayo mambo sasa hivi wanaume wanayapenda sana maana pepo mchafu kaachiliwa kumtafuna kila atakayekubali.

BEWARE WHEN YOU SEE THIS:

View attachment 2414294View attachment 2414298View attachment 2414299

Wenyewe wanakuambia ONELOVE

gharika is soon coming!!!
“If you want to express your views on the LGBT cause, do so in a society where it will be accepted.

“Do not come and insult an entire society. We will not change the religion for the 28 days.

“If a fan raises a flag 🏳️‍🌈 in a stadium and it is taken away, it will not be because we want to offend him but to protect him.

“If we don’t, another spectator could attack him. If you buy a ticket, it is to attend a football match and not to demonstrate.
Head of security wa 2022 world cup in Qatar Al Nassari amewaonya.
 
Back
Top Bottom