Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tuanze na wewe binafsi unaona ni haki yako ya msingi kushiriki mapenzi ya jinsia moja?
kama wanafanya wao wenyew kweny miili yao wenyew inakuaj sio haki yao ? kuna mtu anakupangia cha kula na usichotakiwa kula ?
 
Sijakuandikia wew ujumbe huu , uendelee kuangaika ukijidanganya kuw kila unachoambiw ni sawa , hayo maandiko yaamendikwa na watu ,

Nimesema iachwe nature ifanye kazi sio kulazimisha huo upuuzi acha agenda zako za kichoko hao wanabenifit wew utaishia kumwagishwa mamavi
nature ndo hii unaipinga kww nature ya kichwan kwako
 
Kwahiyo leo mbuzi na mbwa wamekua mfano mzuri..mbona wewe hujawahi lala na mavi au panda nduguzo wa damu kama wafanyavyo mbuzi na mbwa..mana hao hata kambwa dume kakibarehe hata mamake kana mtia mimba..vipi na hapo tuchukue hayo pia.

#MaendeleoHayanaChama
Jingiane hili limezidiwa akili na mbwa na Mbuzi
 
TOA SABAB 5 ZINAZOONESHA WASIPEWE FURSA YA UHAI
Badala ya kusema wasipewe, inabidi uwe direct declare interest Kama nawewe unapumuliwa au vipi! Maana watetezi wa haki za machoko na machoko ni kundi moja.
 
Huko bara ulaya wanaposema kuna haki hizo za kishoga utaona kuw kama jambo hilo sio kubwa hivyoo kutokan na maarifa yao ambako wanaweza kuandaa tatzo na kuli manegi lakn kifrica tumikwisha kbsa makuz yetu ni sawa kama ng'ombe tuliofugwa tunafanya tulichoamuliw ma mazingra au kuiga na si self determination sasa kama ni hvyo vizazi vyetu vitaathirika kwa 80% alafu kuna jambo kubwa litatokea ambalo ni utegemez ambao watapata advantage fulan za kibiashara na kiutawala
 
Tunakumbushana leviticus 18:22,
IMG_7705.png
 
Huko bara ulaya wanaposema kuna haki hizo za kishoga utaona kuw kama jambo hilo sio kubwa hivyoo kutokan na maarifa yao ambako wanaweza kuandaa tatzo na kuli manegi lakn kifrica tumikwisha kbsa makuz yetu ni sawa kama ng'ombe tuliofugwa tunafanya tulichoamuliw ma mazingra au kuiga na si self determination sasa kama ni hvyo vizazi vyetu vitaathirika kwa 80% alafu kuna jambo kubwa litatokea ambalo ni utegemez ambao watapata advantage fulan za kibiashara na kiutawala
Imagine taifa la wanuka vyoo! Siwezi kuruhusu ujinga huu kwa kweli
 
Back
Top Bottom