Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Moja ya kuujiudhuru MWALIMu wa makadinali waliopo kwasasa duniani na wakihudumu PAPA Benedict

1--ilikua kuangalia namna yakuruhusu mapadri waoe kwani nifedheha kubwa ndani yakatolic kutooa wakaona mzee asiwatania ajiuzuri pamoja na kwamba papa hatakiwi kuniuzuru Ila alimkimbuka rafiki yake mkubwa aliyewahi kumuasa kwamba kua papa unakua mfungwa wa Imani

HIVYo...ushoga nilazima uidhinishwe katolic ili kuthibiti kesi za mapadri mahakamani za ubakaji

Rejea mawakala wa ukoloni wale watatu(3) Kama dini ilikuwepo basi tuendelee kuabudu dini zetu za zamani
Hiyo sababu wewe umeitoa wapi ?
 
Tena kuna mwengine yupo hapa hapa kwenye forum na anapinga kweli ushoga ila anakubali akifirwa na Punda au Mbwa ila sio Mtu [emoji15]
Nilistaajabu sana nilipoona ile comment yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waswahili ni wanafiki sana , wao kuwaheshimu hao jamaa inamaanisha ni kuwa kama wao , ila kuwaheshimu wanawake sio kuwa kama wanawake
 
Kwanini wewe unawakubali?
nina mifano kama mitano hv inayonifanya nikubali watambulike kwenye jamii wasijifiche , Ndan ya Tz ushoga unakuwa kwa kasi sana hasa kwa sabab ya kuwafanya wafanye mamb yao kwa siri ila kuwatambua ingepunguza maana wangekuwa wanafanya wao kwa wao (wangejuana ) na wachache ambao wangeshawishiwa kufanya ushoga , ila leo hii karibu 5% ya vijana wasio na ajira washatinduliwa tyr ili wapate pesa SABAB mabosi wanaona hii ndo fursa ya kutimiza fantassy zao maana mashoga halisi hawajionesh so inakuwa ngumu kumjua wa fantassy yake , ila kuwatambua ingerahisha wao kujuana ili kupunguza kuwaharibu wasio shirik ushoga kama inavyoendelea ndan ya bara la Afrika , huko mbagala nimeona na kusikia mengi ambayo ukituliza akili unaona ni kwasabab ya kuwafany wafanye mamb kwa siri
 
“If you want to express your views on the LGBT cause, do so in a society where it will be accepted.

“Do not come and insult an entire society. We will not change the religion for the 28 days.

“If a fan raises a flag 🏳️‍🌈 in a stadium and it is taken away, it will not be because we want to offend him but to protect him.

“If we don’t, another spectator could attack him. If you buy a ticket, it is to attend a football match and not to demonstrate.
Head of security wa 2022 world cup in Qatar Al Nassari amewaonya.

yah ni kweli ila jamaa wabishi sana wale, they will make a stink out of the situation
 
Kukemea ushoga ni jambo lingine na kuwatambua wanaojihusisha na ushoga kama binadamu wenzetu wenye kuhitaji huduma zote za kibinadamu zikiwepo za kiroho na kutambulika utu wao nalo ni jambo lingine.
 
Kukemea ushoga ni jambo lingine na kuwatambua wanaojihusisha na ushoga kama binadamu wenzetu wenye kuhitaji huduma zote za kibinadamu zikiwepo za kiroho na kutambulika utu wao nalo ni jambo lingine.

Hii ni kama ile jamaa alikuwa anaenda kikao akachelewa zaidi ya masaa tano

kufika wakamuuliza "vipi mbona umechelewa sana kikao kimeshaisha?"

jamaa akajibu "nilivokuwa njiani gari yangu iliharibika tairi, wakati nalibadili kuna lori kubwa semi trela limebeba magogo likanigonga pale barabarani ndo maana nilichelewa!"

watu wakabaki kujiuliza utagongwaje na semi trela ubaki nadhifu hivo na tai juu hakuna hata mchubuko!!

SOMO LA HADITHI HII: maji na mafuta hayachanganywi
 
Papa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).

ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"

Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?


======

Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.

In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”

The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“

The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.

Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.

Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“

Chanzo: CNA > Pope Francis meets with Father James Martin at Vatican
Sasa unachoshangaa ni nini hapo
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]!!! Yaani kabisa unadhani watasema kuanzia leo ushoga ruksa!? Endelea kusubiri Mzee.
Watu wengi Wana feli hapo, wanafkiri wataubiriwa.
Kumbe kitu kisha tiki.
 
Hii ni kama ile jamaa alikuwa anaenda kikao akachelewa zaidi ya masaa tano

kufika wakamuuliza "vipi mbona umechelewa sana kikao kimeshaisha?"

jamaa akajibu "nilivokuwa njiani gari yangu iliharibika tairi, wakati nalibadili kuna lori kubwa semi trela limebeba magogo likanigonga pale barabarani ndo maana nilichelewa!"

watu wakabaki kujiuliza utagongwaje na semi trela ubaki nadhifu hivo na tai juu hakuna hata mchubuko!!

SOMO LA HADITHI HII: maji na mafuta hayachanganywi
Nimekuelewa ndugu, What do you think we can do?
 
huwa najiuliza hawa mashoga wana kusumbuaj mtu hawajakutongoza wala hawajakuzoea , Mamb ya zinaa yanafanywa ktk privacy zao , unampangiaj mtu nn cha kufanya akiwa faragha ? ni swala la muda ila wote dunian tutakuja jishangaa sana baadae kama hapo awali tulipokuwa tunawapinga watoto albino na kuwaua vilema , ila leo tumestaarabika na tunaish nao ni swala la muda , mtu yoyote ukimuhoj kwann unawapinga mashoga hana point mbali na kuzungumzia mvua sijui majanga ya kidunia vitu ambavyo havina uhusiano wowote , dhana hiz hiz walitumia wazee zaman dhidi ya albino na vilema , ila majanga ni natural disaster hazihusian na mashoga wala albino
Una support mahusiano ya jinsia moja ?
 
Back
Top Bottom