Toff plus
Member
- Jul 28, 2018
- 64
- 83
Picha ya kaburi, plzInawezekana wako sahihi, lakini kaburi la Ellen G. White kuna alama za Freemason inashangaza Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya kaburi, plzInawezekana wako sahihi, lakini kaburi la Ellen G. White kuna alama za Freemason inashangaza Sana.
Kanisa katoliki kwa hapa Afrika litapoteza waumini wengi sana mimi nikiwa mmoja wao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vatican watabadili kitabu na kuweka Aya iyo ..hamna kitu mtafanya
Vijana wa paulo itakuwa ni halali kupitiwa na makanisa yatakuwa huru kufungisha ndoa izo[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuelewa ndugu, What do you think we can do?
Nilihisi tupo twitter, bado kidogo nili retweet hii comment.choose your side brother
huu ni ule wakati wa Joshua
Joshua 24:15 But if serving the Lord seems undesirable to you, then choose for yourselves this day whom you will serve, whether the gods your ancestors served beyond the Euphrates, or the gods of the Amorites, in whose land you are living. But as for me and my household, we will serve the Lord.”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo nimejaaaa teleeeeeeee.We kenge nakutaman sanaaaaaaa
Haya yote uliyo yaandika, majibu yake watu tushajibia sana tena kwa ufafanuzi zaidi, ila mnaamua kuziba masikio, na uzuri wake sasa hamuwezi kubadili chochote, mnaishia kulia kwenye keyboard na mioyoni mwenu.Naona kuna hoja za watu ambao wamejiweka kundi ambalo halipingi hili swala na wala hawalitangaz wakidai kuw ni privacy za watu na zaid wakiend mbali kusema wanaopinga hawana sababu za msingi kupnga ushoga lakin yangu haya
[emoji736]kama ushoga hauna faida wala hasara kwann wautangaze na unamanufaa gani NA KWA nani
[emoji736]Kwann biology iliweka jinsia mbili ke na me
[emoji736]Je mwanao hasa wa kiume akiwa shoga kwako utaona sawa
[emoji736]kwann walazimuishe kama ni nature wangeacha i take place automatically.
[emoji3522] Mimi naona haya mambo yana agenda za siri kidunia sambamba na wanamikaka yao ya utawala mpya na biashara mpya ambazo zitatoka na hali hizo za kishoga
Kwangu mimi napng ushoga kwa [emoji817][emoji817] ukiona wew sawa jiulize sana kuhusu familia yako na kizazi chako jambo kubwa bado Africa atujawa na uwezo wa kuchagua jambo sahihi tunashinikizwa na kugeukia jambo ovu ambalo litatugharimu zaid kutokan na Elimu zetu na hali za maisha.
Wapeeeeee wapeeeeeeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rudia kusoma comment yako hlf jiite kichaa , hv wagumba na tasa mbona wapo na nimezaliwa , una mjua kim kardashian , je baba ake ana sexual hobby gan ? kuwaheshimu mashoga haimaanish ipo siku dunia nzima watakuwa mashoga HAPANA , Mbona din ya mnyaz mung ipo na sio kila mtu anaifuata , tujifunz kireason kabla ya kukosoa , fantassy ya mtu km haikugus inakuuma nn ? I AM NOT GAY BUT I HAVE NO REASON TO FIGHT THEM
Dj waleteeeeeeeeeeeee.Uzuri ni kwamba hakuna mtu anayeshikiwa bunduki kuwa LGBTQ ni utashi wa mtu binafsi.
Hao ma LGBTQ wao wanachopigania ni ule uhuru wao wa kufanya mambo yao bila kutengwa..kubaguliwa na kuuliwa ama kunyanyaswa.
Ndio sababu kuu ya hizo movements zao unazoziona kila siku.
Kama unavyoona movement za watu kupinga GBV au FGM hivyo hivyo ndio movements za LGBTQ.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua kuwaumiza, unapiga kwenye mshonoooo.Unajua tusikaze fuvu sana..yani kwa dunia hii ilipofikia uwaunge mkono usiwaunge mkono agenda zao zinazidi kuenea kwa kasi ya ajabu...wala haina haja ya kutukanana humu mitandaoni.
Mbaya zaidi hata utoke povu aje huwezi wafanya kitu mana wanalindwa hata naserikali yako hii ya kiafrika.
#MaendeleoHayanaChama
Babeeeee [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Babe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Upuuzi tu..kama wanapinga inshu za LGBTQ community kesho j3 wafanye maandamano na wabebe mabango kuelekea ofisi za serikali tuwaone kweli kama wako serious na hili suala.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua kuwaumiza, unapiga kwenye mshonoooo.
Babeeeeee hapa leo nakupa ile kitu unapendaaa ujilie had uchoke wee, umejua kunikoshaaaa, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]1. Ushoga hautangazwi bali inaweka uelewa kwa jamii sababu jamii nyingi zimekariri mapenzi ni ya Me na Ke bila kujua kuna Me na Me, kuna Ke na Ke,
2. Kuna tofauti kati ya Jinsi (Sex) na Jinsia (Gender),
Jinsi (Sex) zipo mbili tu Me na Ke mahususi kwa kuzaana lakini Jinsia (Gender) zipo nyingi sanaaaa,
Nenda kasome Sexual Orientation na Gender Identity.
3. Mtoto akiwa Shoga ajabu ni nini sasa si amechagua njia yake? Au unadhani akiwa Shoga hawezi kusoma na kufanya kazi zake?
4. Hakuna aliyelazimishwa kua Shoga au wewe unao ushahidi kuna Mtu alikuomba akufire? Kama hujawahi basi jua hakuna anayelazimishwa kilichopo ni kuweka usawa wa kibinaadam, kila Mtu awe huru kuishi katika jamii yake kwa amani as long as hatoi madhara.
5. Kama ushoga ulikuwepo tangu enzi za hekaya za Sodoma na Gomora kwanini uhisi sasa hivi kuna ajenda? As if hao unaowahisi ndio waliozalisha Mashoga? Kama unatetea Albino asiuliwe basi tetea na Shoga asiuwawe, hizo nchi zimeamua kua sauti ya wanyonge.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepanic baada ya kupewa fact [emoji1787]
Haya wao wana benefit kwenye lipi?
Nature ipi unayoizungumzia au unajiropokea tu kama umekunywa Ulanzi [emoji851]
Wengi wao wanaopinga ni maskini wa kutupwa na wamejawa na stress, wanatafuta Pa kupumzikia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukisoma hoja za hao watu na ww , utagundua wanaopinga hawana hoja mbali na mihemko tu
Ushoga TZ umeshamiri kwa kasi kubwa, sababu ni siri, ikiwekwa wazi watu hawataamini lol.nina mifano kama mitano hv inayonifanya nikubali watambulike kwenye jamii wasijifiche , Ndan ya Tz ushoga unakuwa kwa kasi sana hasa kwa sabab ya kuwafanya wafanye mamb yao kwa siri ila kuwatambua ingepunguza maana wangekuwa wanafanya wao kwa wao (wangejuana ) na wachache ambao wangeshawishiwa kufanya ushoga , ila leo hii karibu 5% ya vijana wasio na ajira washatinduliwa tyr ili wapate pesa SABAB mabosi wanaona hii ndo fursa ya kutimiza fantassy zao maana mashoga halisi hawajionesh so inakuwa ngumu kumjua wa fantassy yake , ila kuwatambua ingerahisha wao kujuana ili kupunguza kuwaharibu wasio shirik ushoga kama inavyoendelea ndan ya bara la Afrika , huko mbagala nimeona na kusikia mengi ambayo ukituliza akili unaona ni kwasabab ya kuwafany wafanye mamb kwa siri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwishaaaaaahuo ndo ukweli, ila ni vizuri kukumbuka kuwa
The darkest hour is always before dawn
werevu watangamua!!
Sasa wee una msaada gan kwa kanisa? Mbna unajipa umuhimu na penye huusiki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanisa katoliki kwa hapa Afrika litapoteza waumini wengi sana mimi nikiwa mmoja wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeee.Upuuzi tu..kama wanapinga inshu za LGBTQ community kesho j3 wafanye maandamano na wabebe mabango kuelekea ofisi za serikali tuwaone kweli kama wako serious na hili suala.
U keyboard worrier ni kujipotezea muda tu humu.
#MaendeleoHayanaChama
Woyoooooooo,Babeeeeee hapa leo nakupa ile kitu unapendaaa ujilie had uchoke wee, umejua kunikoshaaaa, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]