Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Anatafuta kuwapendeza washirika wake bila kuwa na misimamo!Kwa hiyo pope nae ni wale.wale ama
Haya mambo tuanayasikia sana na wazee wengi walijitokeza na kusema walipokuwa wadogo walilawitiwa na fulani na fulani kwenye makanisa
Wana mambo mengi sana hawa na wanataka watu wafuate ingawa kuna wazungu wengi hawataki ila wanaogopa kufungua midomo kwani ni suala la serikali na sheria zao na wamekubali
Ukiona mtu kama Kardinali Pengo, anajiweka pembeni ujue kuna jambo, vivyo hivyo kwa Papa Benedict XVIPengo ni mwanafunzi wa papa Benedict wa 16 ,anajua Hilo vizuri Sana ni mwandishi nguli wavitabu vingi na vingine vinakidhana waziwazi na maswala mbalimbali yaliyopo kwetu katolic
note;ukishakubali kuwa papa na ikaishinishwa hutajiuzuru hata uumwe kitandani miaka na miaka ,hakutakua na nanafasi ya kuchakatwa kupata Papa kisa unaumwa
Baada yamabishano makalisana vatcan akawambia au niuawe au marekebisho yafanyike ,wakaona anachosema kweli basi pumzika mpaka Leo ni mtu wakusoma vitabu
Na sababu yakujiuzuru ya kitoto kabisa eti AFYA hawezi kuhudumu
Mungu wetu wa zamani sisi waafrika tumrejee na tumuombe msamaha kwa kumtenga
Papa mwenyewe anashughurikiwa sasa anaweza kuona tatizo ?, Tatizo watu wanachojisahau papa ni mtu wa kawaida Kama Mimi na wewe tofauti madaraka kwahiyo si wakufuta kila kitu anachopenda maana nae binadamu ana matamanio yake cha muhimu kufata maandiko Ila sikuhiz watu wanamfata mtu sio maandiko.Wakipitishi hii kitu mm naama ukatoriki yani nitakuwa mkristu ambae sina zehebu....
Utafataga maandiko yanasema padri asioe aishi bila kugegeda lakini wanagegeda na kulawiti Sasa mabadiliko nilazima na heko kwa padri Luther king seniorPapa mwenyewe anashughurikiwa sasa anaweza kuona tatizo ?, Tatizo watu wanachojisahau papa ni mtu wa kawaida Kama Mimi na wewe tofauti madaraka kwahiyo si wakufuta kila kitu anachopenda maana nae binadamu ana matamanio yake cha muhimu kufata maandiko Ila sikuhiz watu wanamfata mtu sio maandiko.
Mnachoshindwa kujua ni kwamba papa ni binadamu na anaongoza taasis ya binadamu ambao wana tenda dhamb. Wana mastabate wanaangalia porn wana hisia .. ila kanisa litaendelea kuwa holy milele.. na yeye kukubal ushoga haibadili mafundisho ya bible yanayokemea ushoga..Wakipitishi hii kitu mm naama ukatoriki yani nitakuwa mkristu ambae sina zehebu....
mkuu una ushahidi kwamba anashughulikiwa? Tuhuma nzito Sana hiiPapa mwenyewe anashughurikiwa sasa anaweza kuona tatizo ?, Tatizo watu wanachojisahau papa ni mtu wa kawaida Kama Mimi na wewe tofauti madaraka kwahiyo si wakufuta kila kitu anachopenda maana nae binadamu ana matamanio yake cha muhimu kufata maandiko Ila sikuhiz watu wanamfata mtu sio maandiko.
Msimamo wako?Mnachoshindwa kujua ni kwamba papa ni binadamu na anaongoza taasis ya binadamu ambao wana tenda dhamb. Wana mastabate wanaangalia porn wana hisia .. ila kanisa litaendelea kuwa holy milele.. na yeye kukubal ushoga haibadili mafundisho ya bible yanayokemea ushoga..
huwa najiuliza hawa mashoga wana kusumbuaj mtu hawajakutongoza wala hawajakuzoea , Mamb ya zinaa yanafanywa ktk privacy zao , unampangiaj mtu nn cha kufanya akiwa faragha ? ni swala la muda ila wote dunian tutakuja jishangaa sana baadae kama hapo awali tulipokuwa tunawapinga watoto albino na kuwaua vilema , ila leo tumestaarabika na tunaish nao ni swala la muda , mtu yoyote ukimuhoj kwann unawapinga mashoga hana point mbali na kuzungumzia mvua sijui majanga ya kidunia vitu ambavyo havina uhusiano wowote , dhana hiz hiz walitumia wazee zaman dhidi ya albino na vilema , ila majanga ni natural disaster hazihusian na mashoga wala albinoPapa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).
ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"
Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?
======
Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.
In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”
The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“
The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.
Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.
Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“
CNA
OP kbs , hakuna taifa au falme itatawala milele , mbona Ottoman ilianguka au nayo ilisapoti mashoga ?Kilichoiangusha Rumi ni kilekile
unakemeaj privacy ya mtu , yaan mpo chumban halaf unamwambia mtu iweke mbele tu nyuma hapana , huu ni UKICHAA , haya ni maweng yetu ya sasa hv yataisha tu baada ya ujinga wetu kifika kikomo , kituko nyiny wapingaj ndo mashoga wakubwa , wafuga ndevu ndo mashoga wafia dini wengi mashoga , BINAFS SIWEZ MPANGIA MTU CHA KUFANYA AKIWA PRIVACY YAKE HUKO KIKUBWA HAWAFANY HADHARANMkuu huoni kauli anazotoa Papa zina utata? Hakemei kabisa vitendo hivyo
Inawezekana wako sahihi, lakini kaburi la Ellen G. White kuna alama za Freemason inashangaza Sana.Kwahyo kumbe sikuzote Ellen G. Na wasabato huwa wako sahihi kusema catholic ni mpinga kristo? Carlos The Jackal
Hivi wazazi wako wangekuwa hivyo ungezaliwa?unakemeaj privacy ya mtu , yaan mpo chumban halaf unamwambia mtu iweke mbele tu nyuma hapana , huu ni UKICHAA , haya ni maweng yetu ya sasa hv yataisha tu baada ya ujinga wetu kifika kikomo , kituko nyiny wapingaj ndo mashoga wakubwa , wafuga ndevu ndo mashoga wafia dini wengi mashoga , BINAFS SIWEZ MPANGIA MTU CHA KUFANYA AKIWA PRIVACY YAKE HUKO KIKUBWA HAWAFANY HADHARAN
Wee msenge nn, yaani unaafiki mwanaume kuinamishwa apumliwe, wee punga kabisa yaani, so privacy gani unayoiongelea hapa, kwamba na akili zetu hizi na sie tukubali upumbavu huo au unafikiri kila cha mzungu ni chema kwetu waafrica?unakemeaj privacy ya mtu , yaan mpo chumban halaf unamwambia mtu iweke mbele tu nyuma hapana , huu ni UKICHAA , haya ni maweng yetu ya sasa hv yataisha tu baada ya ujinga wetu kifika kikomo , kituko nyiny wapingaj ndo mashoga wakubwa , wafuga ndevu ndo mashoga wafia dini wengi mashoga , BINAFS SIWEZ MPANGIA MTU CHA KUFANYA AKIWA PRIVACY YAKE HUKO KIKUBWA HAWAFANY HADHARAN