Papa Francis amtimua Askofu anayempinga kuhusu kuruhusu ndoa za jinsia moja, kutoa mimba na waliobadili jinsia

Upapa hauwezi kuunga mkono dhambi. Kamwe.
Ni wazi hujui maana ya dhambi. Period!

👉Ibada za sanamu?
👉Ibada kibao za wafu?
👉Kumwabudu ^Bikra^ Maria???
👉Kuungama dhambi kwa mapadre, badala ya kumwomba Mungu moja kwa moja???

👉 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo. ~ Matendo 4:12

👉14. Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, na tuyashike sana maungamo yetu.

👉15. Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.

16. Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji. ~Waebrania 4:14-16
 
Unajua hoja mama ya Padre Martin Luther kuasi RC?.

Ukitambua hilo utaelewa kuna nyakati kanisa lilihalalisha baadhi ya maovu.
Martin aliasi kwa sababu za kisiasa. Thesis zake zote zilikuwa addressed accordingly. Shetani akishakujaa nawe ukakubali kujaa mwisho wako lazima uwe mbaya kama wa Martin Luther.
 
Inahitaji uwe mjinga wa kiwango cha juu sana ndio ushindwe kujua kuwa RC sio dini bali kikundi cha watu walioweka mfumo wa biashara duniani kupitia mgongo wa dini. Dunia yote imekuwa deceived na RC.
 
▪︎ Hatuabudu sanamu
▪︎ Hatuabudu wafu
▪︎ Hatumwabudu Mama Bikra Maria mama wa Mungu
▪︎ Hatuungami kwa Padre, tunaungama kwa Mungu kupitia kwa Padre kama alivyotuagiza

Shida yenu mkikariri vimistari viwili vitatu kutoka kwenye Biblia iliyofanyiwa compilation na Wakatoliki.

Hamuujui Ukatoliki lakini kutwa kucha kuhangaika kujifanya mnaujua na kujipa umuhimu msiokuwa nayo.

Poleni sana.
 
Sure...wakina kaisari Neto,costantino wote hawa wali husika kiwatesa wakristo wa kwel
 
Martin aliasi kwa sababu za kisiasa. Thesis zake zote zilikuwa addressed accordingly. Shetani akishakujaa nawe ukakubali kujaa mwisho wako lazima uwe mbaya kama wa Martin Luther.
Kwa mfano, kitendo cha kulipa hela ili upewe cheti cha msamaha wa dhambi ambacho kilikuwa kinadumu kwa kipindi flani, ni sahihi kwa mjibu wa imani ya Kikristo?.
 
bibisii ni wazushi.
hakuna chombo chochote cha Vatican kilicho report habari za papa kukubalina na mashoga..

na kwa hulka ya kanisa moja, takatifu, Katoliki na la mitume, siyo kujibizana na vyombo vya habari..
Hawana muda wa kujibu upuuzi na uzushi.
mchakato wa kanisa kubariki ushoga unapikwa na utakapowekwa hadharani ndio utajua haujui kwasababu dalili zinaonekana waziwazi
 
▪︎ Hatuungami kwa Padre, tunaungama kwa Mungu kupitia kwa Padre kama alivyotuagiza
Samahi kiongozi, unaweza nisaidia andiko linalotaka tupitie kwa kiongozi wa kiimani ili kuungama dhambi zetu?.

Ninatanguliza shukrani.
 
mdogo mdogo shetani anapiga hodi kwenye vigango na parokia.

Ukisharuhusu mwanaume aliyeoa mwanaume mwenzie kuwa baba wa ubatizo wa watoto, unategemea hao watoto watauonaje ushoga?, si wataona ni kitu cha kawaida tu, yaani hakuna noma!
 
bibisii ni wazushi.
hakuna chombo chochote cha Vatican kilicho report habari za papa kukubalina na mashoga..

na kwa hulka ya kanisa moja, takatifu, Katoliki na la mitume, siyo kujibizana na vyombo vya habari..
Hawana muda wa kujibu upuuzi na uzushi.
Wewe unawakilisha kundi kubwa la wajinga ambao kutokana na ufinyu mdogo wa akili unaona kumpinga papa ni dhambi kubwa sana kwahiyo hata aongee kitu gani kutokana na ujinga wako utamtetea . Kwakifupi umeshindwa kuisimamia akili yako vyema na una ufinyu wa fikra. Pole sana nyie ndio mitaji yenyewe ya kanisa la roman Catholic.
 
Kwa mfano, kitendo cha kulipa hela ili upewe cheti cha msamaha wa dhambi ambacho kilikuwa kinadumu kwa kipindi flani, ni sahihi kwa mjibu wa imani ya Kikristo?.
Ni sahihi. Kila dhambi uitendayo inapaswa kufanyiwa malipizi.
 
Kitabu cha haki kimebakia kuwa quran tu ikizingatia kwa makini hakijawahi kubadilika na hakitobadilika, huku kwingine ni maono ya wazungu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…