Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Mimi namuhitaji roho mtakatifu ndio maana nimeuliza. Nataka namna ya kumpata.
 
Mpumbavuuu anapojaribu kuzungumzia Sayansi na conspiracy za kijima inatia kinyaa! Ni aibu uzi huu umewekwa jukwaa la intelejensia!
hivi ndugu yangu ni lini utaukimbia ukweli? nakushauri usome Biblia Takatifu na umwombe Mungu akufunue akili kabla hujachelewa maana huhitaji kuweka kidole kwenye moto ukibisha kuwa hauunguzi
 
Ufunuo wa Yohana waelezea kila kitu. Muombe Mwenyezi Mungu kabla hujakisoma ili akufunue akili haya yote yapo humo
 
Hayo ni maelezo ya jumla. Hiyo biblia mnasema huwezi kuielewa bila roho mtakatifu. Na wewe unasema asome biblia bila kusema roho mtakatifu anampataje.
 

hakuna ajuaye siku ya kurudi kwa YESU KRISTO ila Mwenyezi Mungu mwenyewe. Binadamu ni nani hata aweze kuijua?

pili, njia pekee ya kukamilika kiimani Kikristo ni kupitia BIBLIA TAKATIFU pekee na ndio chanzo cha waprotestant kujitenga na Kanisa la Roma ambalo linafundisha kuwa Pope ndie aliye "infallible"

tatu, unachokisema kimepotoka ndugu. nakushauri ukisome kitabu cha Ellen White "Tumaini Kuu" ili uone essence ya kitabu chake ni nini maana umekitaja as if ni biblia.

nne, fatilia kisa cha Luther mpaka kuja kuuwawa kwake halafu uje uniambie nani alikuwa mpinga kristo kama sio Pope Gregory VII na wenzake. walikuwa wanatoa "vyeti vya msamaha wa dhambi" as if wao ndo wenye authority ya kusamehe dhambi

tano, Fatilia chanzo cha French revolution 1789 na "Guillotine." na kisa cha watu kuchomwa moto hai katika kipindi hiko

na leo Pope anaidhinisha "microchip" mwenye kuelewa na aelewe ila nashauri watu walinganishe statement ya Pope na maandiko ya Biblia kwenye Ufunuo wa Yohana kabla ya kuja kumbishia mleta uzi.
 
Daah....Umemaliza hata Darasa la saba ndugu..?

Fanya hima umalize hata shule ya msingi bana...Usipende kushinda kwenye lessoni na kula kande siku ya Sabato..Kande hudumaza ubongo ujue!
USIBISHE USILOKUWA NA UHAKIKA NALO.. KISA CHA POPE GROGORY VII NA WALIOMFUATIA KUAGIZA LUTHER NA WAFUASI WAKE WACHOMWE MOTO WANGALI HAI NI NINI?
 
mmmh mi najua kila mtu na imani yake. Mkiaza kugusa masuala ya kiimani hapa mtaishia kugombana bure.
 
Hakuna Mpinga kristo mwenye namba 666. Kristo kama Mungu alishapingwa zamani sana. Kristo kama Yesu na binadamu yupo lakini kama Mungu alipingwa zamani sana. Dunia imegawanyika nusu kwa hali
 
Inamaana hujui kuwa papa ni agent wa anti-Christ?@Chemtrail
Sijui umeishia darasa la ngapi bt huwa naamini kuwa mtu yeyote member wa jf 99% atlest amemaliza kidato cha nne, pia naamini kwa elimu hiyo unaweza kufanya reasoning , hata kama ukishindwa basi google ipo.

Hivi kanisa lililohusika kukusanya vitabu , kujadiliana kitabu gani kiingie na kipi kibaki, leo unadai ni Ant- crist !!!

Unajua kuhusu Injili ya Maria Magdalena?
Unajua kuhusu injili ya Juda.
Unajua hata mgogoro wa deutrocanon books!?

How pathec are YOU!!!!!!!!
 
Bila shaka wewe ni msabato, maana mna shida sana, mnaishi kwa ndoto za kipumbafu muda wote.
 
Hon

Hongera sana, inabidi tuwasaidie walioko huko wa-come back to their senses, they have a very limited time left.
amini amini nawaambia your sailing in the same sinking boat.
 
Mkuu, hawa watu wanapaswa kuonewa huruma. Wana ujinga mkubwa juu ya uelewa wa maandiko matakatifu hasa hiyo namba 666
 

Kama jina la chip lilivyo' Radio Frequency Identification device' ni kifaa cha utambulisho tu na hakina uhusiano na Biblia. wanaoamini mambo kama hayo ni washirikina kama wale wananchi wa Dodoma waliowaua watafiti wa kilimo na kuwachoma moto. Kanisa Katoliki pia lina wasomi waliobobea na wanasayansi, kwa hiyo haliwezi kushiriki katika kuwapotosha waumini wake. Hayo mambo yako kwenye makanisa ya MIUJIZA ambayo yamepotosha watu wengi kwa kuchezea hisia na matatizo yao ya maisha.
Maagizo yote ya Kanisa Katoliki ama yako kwenye Cannon Law au kwa Waraka wa Papa kwa Maaskofu wote.
 
Imeandikwa, "..watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."
The issue watu wenye kuamini Dini kwa uoga always huchanganya madesa... The issue Mpinga kristo haihusiani na kukosa maarifa ili kutoangamia na solution za bible za kuepukana na majanga ni kujenga juu ya mwamba imara ukiumwa na nyoka uitizame sanamu ya nyoka same kama ile nembo Muhimbili hospital... Kula vyakula vilivyokatazwa kwenye agano la kale zaidi angalizo lipo kwenye ufunuo.. Sasa ikija volcano mnakufa kimbunga mnakufa mvua mnakufa,jua mnakufa,baharini mnakufa angani mnakufa... Maalifa labda kwenda Mars au Jupiter....

Historia inaonesha Mpinga kristo ilikuwa ni serikali ya Roma miaka ya Yesu kwani alitabiliwa ndie atakuwa mfalme Wa wayahudi so walihakikisha anaishi bila Amani na ndio ilivyokuwa siku ya uchungu ilibidi azaliwe zizini asiuliwe akiwa kichanga,and then akatoroshwa Egypt hadi Roman walipojiridhisha watoto wote wameuawa akarejeshwa baada ya miaka kadhaa... And then alipotimiza miaka 12 akasepa ughaibuni nchi za Iraq Uturuki hadi uchina masomoni akarejea alipofikisha miaka 30 akaishi kidogo Wa Roma wakamtight akamalizwa ila yasemekana Wanafunzi wake wakamuiba akiwa amezirai wakamtibu na dawa kali sana ya manemane akazinduka na aliwaaga akapanda mlima akateremkia upande Wa pili akasafiri huko uturuki hadi India mji uitwao Kashmir na ndipo kaburi lake lipo hadi leo hii fika huko utapata historia yake na huko uchina Tibet chuo kikuu Kuna signature zake na alikuwa msomi haswa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…