Papa Francis apenda picha ya mdada aliyevaa bikini instagram

Papa Francis apenda picha ya mdada aliyevaa bikini instagram

Hiyo account una uhakika papa mwenyewe ndio anaisimamia ama kuitumia ? Kuna watu wa media wa ofc ya papa ndio wanahusika na vitu hivyo !

Viongozi wengi wa kisiasa , wasanii wakubwa kuna watu behind wanamiliki/wanaziongoza account zao za mitandao !!!
 
Though Pope Francis has endorsed same-sex civil unions and LGBT+ rights, he continues to perpetuate discrimination against LGBT+ people https://www.dw.com/en/pope-francis-and-homosexuality-in-the-catholic-church-an-analysis/a-55371918

Pope Juliana pekee aliua zaidi ya watu laki mbili

Huo ndiyo ukweli kanisa limewahi kuwa na mapapa walevi, wauaji, wazinzi sana, yani machafu mengi. Usidhani mimi ninaongea kwasababu mimi labda dhehebu tofauti, nimezaliwa katika familia ya kikatoliki. Lakini ndiyo ukweli huo. Huyu papa juzi kakukabiliana na ushoga.
Sasa ukipanic shauri yako

Kweli wewe hamna kitu mkuu ! Papa lini amekubaliana na ushoga?
Alichosema papa ni kwamba mashoga nao ni watoto wa Mungu ( kwa maana wameumbwa na Mungu) kwahiyo wasitengwe au kufanyiwa discriminations. cha zaidi tuwaombee tu.

Ulitaka papa awahukumu ? Yeye ni Nani Hadi atoe hukumu kwa kiumbe Cha mwenyezi Mungu?
 
Usikimbilie kuhukumu alichofanya. Papa ana vyeo nane na kila kimoja kina nafasi yake... Inatakiwa ujiulize hiyo like kaitoa kama Jorge Mario Bergoglio au kama papa Fransis.
Akiwa chumbani kwake au mambo yake ya faragha hayahusiani na upapa wake. Kutumia mitandao obvious anatumia muda wake wa mapumziko so anafanya vitu vyake binafsi
Akiwa chumbani vyeo anakua Jorge Mario Bergoglio so angalia una MuAccuss nani
Hawa ndio wanatuambia papa hana dhambi
 
Kwa hiyo Papa naye anapenda nyapu!
Ni wakati muafaka sasa kwa mapadri kuoa, maana porno na punyeto zitaharibu utumishi wao.
Wananyimwa haki zao za msingi kabisa ...
Hata masista nao hua wanapata shida sana tu ila wengi hua wanaachia tu mwisho wa siku.. Usicheze na nyege kabisa
 
Back
Top Bottom