Papa Francis apenda picha ya mdada aliyevaa bikini instagram

Papa Francis apenda picha ya mdada aliyevaa bikini instagram

Usikimbilie kuhukumu alichofanya. Papa ana vyeo nane na kila kimoja kina nafasi yake... Inatakiwa ujiulize hiyo like kaitoa kama Jorge Mario Bergoglio au kama papa Fransis.
Akiwa chumbani kwake au mambo yake ya faragha hayahusiani na upapa wake. Kutumia mitandao obvious anatumia muda wake wa mapumziko so anafanya vitu vyake binafsi
Akiwa chumbani vyeo anakua Jorge Mario Bergoglio so angalia una MuAccuss nani
Acha utani mkuu, Ina maana hata Yesu alikuwa na maisha ya vyeo tofauti na utakatifu?

Imani hudhihirishwa na matendo, Kama amelike picha za huyo dada aliye vaa kichupi maana yake yeye alipendezwa nayo.

Ukweli Ni kwamba Papa inawezekana kabisa akawa wakala wa shetani ila heshima anayopewa Ni kuwa watu wengi hawasomi biblia na historia ya dunia hii.
 
Usikimbilie kuhukumu alichofanya. Papa ana vyeo nane na kila kimoja kina nafasi yake... Inatakiwa ujiulize hiyo like kaitoa kama Jorge Mario Bergoglio au kama papa Fransis.
Akiwa chumbani kwake au mambo yake ya faragha hayahusiani na upapa wake. Kutumia mitandao obvious anatumia muda wake wa mapumziko so anafanya vitu vyake binafsi
Akiwa chumbani vyeo anakua Jorge Mario Bergoglio so angalia una MuAccuss nani
Utetezi wa hovyo kupata kutokea duniani
 
Usikimbilie kuhukumu alichofanya. Papa ana vyeo nane na kila kimoja kina nafasi yake... Inatakiwa ujiulize hiyo like kaitoa kama Jorge Mario Bergoglio au kama papa Fransis.
Akiwa chumbani kwake au mambo yake ya faragha hayahusiani na upapa wake. Kutumia mitandao obvious anatumia muda wake wa mapumziko so anafanya vitu vyake binafsi
Akiwa chumbani vyeo anakua Jorge Mario Bergoglio so angalia una MuAccuss nani
Umeandika nini?
 
mkiambiwa dini ni ujanja ujanja tu wabianaadamu wenye akili nyingi ili waweze kuwa control wenzao mnapinga 😂 😂 😂
 
Nawaona wasabato wa masalia na madhehebu mengine wakiendesha mjadala.
 
Kwanza hiyo account haiendeshwi na Pope mwenyewe. Pili wengi wetu tutakuwa tume like picha kama hizo bila kujua unapokuwa una scroll kwenye hizi simu za touch. Ila ndio hivyo ...Roma ikikohoa dunia inatikisika [emoji41]
 
Yaani Papa alike kwenye "ukurasa rasmi wa #Instagram wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani..." aweke like kwenye hiyo picha halafu Kanisa Katoliki li'unlike' picha hiyo iliyopositiwa na Mwanamitindo huyo"? Inawezekanaje?
Hahaaa
Wakatoliki wa Kimara waka i unlike
 
Kule IG ukiigusa picha mara mbili una kuwa usha i like.

Kilochotokea papa alikuwa anazuuma papuchi ya mwana mitindo kwa hi aka I double click bila kujua
 
Sahivi Vatican wanaanzisha uchunguzi kujua nini kimetokea, very funny.
 
Back
Top Bottom