Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

[emoji28][emoji28][emoji28] kazi kweli kweli Akili hizi
.
Nisema tuu
"Overthinking will lead you to No where, Hata Huo upande uliopo ukiifikilia Sana utakurudisha Upande unao Upinga "

Mfano; unadhan Tundu Lissu Hafai kuwa raisi uki-over-think utasema Mbona kama anafaa hivi [emoji3][emoji3](Hio Ndio Over thinking)

Alafu Nikwambie dogo
"There is No Reality"
Sijui kama utanielewa Maskini ya Mungu

[emoji595][emoji595][emoji595]
Funny enough hizi akili za mwanadamu ni Mungu mwenyewe ndo ametupa. Halafu jiulize kwanini tunamwamini Mungu mmoja lakini dini zimejaa kibao tunapingana na sometimes kuuana? Ukizichunguza hizi dini kwa umakini utagundua kuwa yapo mengi ambayo si ya kimungu zaidi ya binadamu kujiwekea sheria zake kwa manufaa yake binafsi
 
Aliyesema hao maneno ni Timotheo na sio Mungu.
Halafu ona sasa biblia yenu inavyojicontradict...mara tuwaache mara tukemee.
Hakuna andiko lililoandikwa na Binadamu kwa mapenzi yake mwenyewe bali kila andiko lililoandikwa na Manabii lilitoka kwa Mungu kwa mwongozo wa Roho Mtakatifu.

Sasa usipoonywa au kukanywa tabia chafu utabadilikaje au utajuaje kuwa unachofanya ni upumbavu?

Lazima uonywe, ukanywe, ufundishwe na kukatazwa hata kama hautaki maana hiyo ndiyo sheria ya Mungu.

2Petro 1:19-21.


Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo ukimkataza mtoto wako assibe au asizini hapo umemgusa au umemuelekeza na kumsaidia kuwa wizi si jambo jema na una athari kubwa ktk maisha yake kiujumla?

Yani unataka ulelewe lelewe kimayai mayai tu nakati hata Mungu mwenyewe anasema kuwa wataoingia ktk ufalme wake mbinguni si wa watu ronyoronyo bali majasiri na mahodari?

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Sasa hivi unakana andiko lako la mwanzo?Unaelewa maana ya kuacha magugu na mazao yakue pamoja?Unajicontradict mwenyewe?Unaelewa kuwa kitendo cha biblia kujicontradict yenyewe inathibitisha kuwa huyo Mungu hayupo?
 
Astakafirilah laazin , atunae muda mrefu uyo lazima afukiwe ,
 
Hakuna andiko lililoandikwa na Binadamu kwa mapenzi yake mwenyewe bali kila andiko lililoandikwa na Manabii lilitoka kwa Mungu kwa mwongozo wa Roho Mtakatifu.

Sasa usipoonywa au kukanywa tabia chafu utabadilikaje au utajuaje kuwa unachofanya ni upumbavu?

Lazima uonywe, ukanywe, ufundishwe na kukatazwa hata kama hautaki maana hiyo ndiyo sheria ya Mungu.

2Petro 1:19-21.


Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Huoni kama nabii anapingana na Mungu? Mungu ameshasema tuyaache magugu, nabii anakuja kusema tuyakemee. Tufuate lipi? Kufuata yote ndo huko kuchanganyana
 
Kwa hiyo Papa anaunga mkono ushoga?
Yaani Mashoga nao ni wana wa mungu!!
Papa hapo kazingua fulani hivi.
Vipi Pengo na Pole Pole hawajaita Press comference kufafanua?
 
Funny enough hizi akili za mwanadamu ni Mungu mwenyewe ndo ametupa
Sasa ulitaka akupe akili za aje Mbona kama Una mpangia hivi ?[emoji28]

Halafu jiulize kwanini tunamwamini Mungu mmoja lakini dini zimejaa kibao tunapingana na sometimes kuuana?
Dini zinazo mwamini Mungu huyo mmoj ni mbili tuu nadhan, India Kuna Dini Waanaabudu Ng'ombe nk nk, Kupigana na kuuana Ni Mambo ya kibinadam Sana Na sio kihalalisho kwamba hakuna Mungu
Mfano; kuku bandani wanadonyoana + Kupigana mpak kufa kwahivyo tuseme Mungu hayup kwakua kaacha kuku wanaua ?
Mbona itakua Sababu ya kitoto sana

Ukizichunguza hizi dini kwa umakini utagundua kuwa yapo mengi ambayo si ya kimungu zaidi ya binadamu kujiwekea sheria zake kwa manufaa yake binafsi
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Am glad Sana kwa kusikia hili

Dilek nimewahI kukuambia Mimi,
Misingi uliyo kulia ndio imekufikisha hapa
Hata Mimi Ningekuwa kama Wewe, Endapo ningekulia katika hio hio Misingi

Mimi binafsi Ukristo Siuelewi kabisa Kuna Mambo ni ya kibinadam kabisa unaona yamewekwa kama ulivyo sema hapo
Naonag watu wanaslim ila sio kuenda kwnye Ukristo

Sijui ni kitu gani Sijawahi Uliza Kwenye Dini yangu nikakosa kujibiwa na Kuelewa
 
Pope is final authority in Vatican
I don't know if i have understood your question, but what i meant is! There should be an official statement from Vatican, that would either criticize or support the statement from Pope
 
Tatizo ni kiingereza. Watu wengi humu hawalioni neno CIVIL hapo, labda wakitulia wataelewa maana ya sentensi nzima

CIVIL UNION kimantiki wasitengwe na jamii
 
Ni wapi katika biblia pameandikwa kuwa ni haki yao kuuawa sasa hivi kama unavyojinasibu?
Usiniulize kuhusu Biblia, niulize kuhusu Qur'aan. Nimeshaweka maandiko huko juu.

Maana kama Allah aliwaua, hiyo ndiyo stahiki yao, na ndiyo hukumu yao.
 
Sasa ulitaka akupe akili za aje Mbona kama Una mpangia hivi ?[emoji28]

Dini zinazo mwamini Mungu huyo mmoj ni mbili tuu nadhan, India Kuna Dini Waanaabudu Ng'ombe nk nk, Kupigana na kuuana Ni Mambo ya kibinadam Sana Na sio kihalalisho kwamba hakuna Mungu
Mfano; kuku bandani wanadonyoana + Kupigana mpak kufa kwahivyo tuseme Mungu hayup kwakua kaacha kuku wanaua ?
Mbona itakua Sababu ya kitoto sana

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Am glad Sana kwa kusikia hili

Dilek nimewahI kukuambia Mimi,
Misingi uliyo kulia ndio imekufikisha hapa
Hata Mimi Ningekuwa kama Wewe, Endapo ningekulia katika hio hio Misingi

Mimi binafsi Ukristo Siuelewi kabisa Kuna Mambo ni ya kibinadam kabisa unaona yamewekwa kama ulivyo sema hapo
Naonag watu wanaslim ila sio kuenda kwnye Ukristo

Sijui ni kitu gani Sijawahi Uliza Kwenye Dini yangu nikakosa kujibiwa na Kuelewa
Dini zinazomuamini Mungu ni mbili tu, zipi hizo? Na una uhakika gani kuwa ni sahihi na nyingine ni za kupuuzi.

Halafu nikwambie mimi nimezaliwa kwenye misingi ya dini hasa... Roman Catholic ile yenyewe, baba mpiga kinanda kanisani, mseminari classmate wa askofu pengo ila yeye hakuweza kuwa padri yalimshinda. Kanisani lazima kila jumapili. Yaani ukatolliki naujua vizuri
 
Usiniulize kuhusu Biblia, niulize kuhusu Qur'aan. Nimeshaweka maandiko huko juu.

Maana kama Allah aliwaua, hiyo ndiyo stahiki yao, na ndiyo hukumu yao.
Unajielewa mkuu?Huu uzi unamzungumzia Papa kuhalalisha ushoga.Papa anatumia Quraan?Hapa tunachambua tamko la Papa kuangalia kama ni sawa kwa mujibu wa vitabu wanavyotumia wakatoliki pamoja na Papa.Sasa mambo ya Quraan yanatokea wapi tena?
 
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.

Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto.

Je, ndiyo mwanzo wa kanisa katoliki kuvunjika au imani zao ndiyo zitazidi?
Karibuni.

===
Papa Francis ameviunga mkono vikundi vya harakati vinavyotetea ndoa za jinsia moja akiwa Mjini Roma wakati wa Maazimisho ya uzinduzi wa filamu iliyoitwa Fransisco.

Aidha, katika kuelezea jambo hili Papa Fransis amesema "Mashoga (Wapenzi wa jinsia Moja) wana haki ya kuwa katika familia. Wao ni watoto wa Mungu. Hakuna mtu anayepaswa kuwabagua au kufadhaishwa juu yao. "

Aliongeza kuwa wakati alipokuwa Askofu Mkuu wa Buenos Aires alipinga sheria ya kuidhinisha ndoa za jinsia moja lakini aliunga mkono aina fulani ya ulinzi wa kisheria kwa haki za wenzi wa jinsia moja.

Zaidi Soma:
Pope Francis has endorsed same-sex civil unions, saying in a documentary that homosexual people are 'children of God' and that they 'have the right to be in a family'.

His approval came midway through a feature-length film, titled Francesco, which had its premiere at the Rome Film Festival earlier today.

The film delves into issues Francis cares about most, including the environment, poverty, migration, racial and income inequality, and the people most affected by discrimination.

'Homosexual people have the right to be in a family. They are children of God. Nobody should be thrown out or be made miserable over it,' the 83-year-old said in one of his sit-down interviews for the film.

'What we have to have is a civil union law; that way they are legally covered.'

He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.

The Pope's remarks will come as a shock to millions of Roman Catholics who have long followed the doctrine that gay relationships are sinful and accepted the Church's stand against the worldwide advance of gay rights.

source: MailOnline
Hii sasa Kali.
 
Back
Top Bottom