Kufeli mtihani wa mungu ni uzembe wetu wenyewe sababu vitabu vya material (Holly books) tumepewa na walimu (prophets) pia tumepewa. Hivyo mungu akituadhibu huko baadae hatuna wa kumlaumu.Sasa mbona binadamu wanang'ang'ania kuadhibu mwanafunzi ambae yupo kwenye chumba cha mtihani?!
Na pia Mungu mwenye upendo wote na uwezo wote hawezi kukupa mtihani tena Mungu huyo anajua kabisa majibu ya mtihani wako kabla hata hujafanya mtihani huo.Yaani najua kabisa kuwa mtihani huu utafeli na bado nikupe mtihani huo?
Baada kua na akili na kuipitia sana biblia niligundua RC linaongozwa na sheria za kanisa sio maandiko ya biblia, na zina nguvu kuliko biblia kanisani, mwaka wa 15 huu sijui kanisa lafananaje, hata ibada za mazishi nakaa nje, hua nahisi mle ndani ni najisi tupu... Sala zenyewe nshasauKwanza kuna mambo mengi yalishanichanganya ndani ya hili kanisa langu,ambayo naona hayapatani na Biblia kwa ujumla wake. Sasa hili ndo funga kazi kwa utata wote, niko mbioni kuachana na hili dhehebu langu.
Inasikitisha sana ila basi tu.
HahahahaaaaaaaAisee kumbe kulikuwa na ngoma special ya mashoga. Dah!
Sipati picha yaani, ningependa kuona ilivyokuwa ikichezwa [emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahaaaaaaa
Wazee wa kutunga hadithi hawa mradi tu wahalalishe chuki zao.
What you quoted was disputed by the Vatican Spokesman already. Somebody using technology impersonated the Pope to spread his own agenda. Anything emanating from Vatican would, of necessity, be announced by Vatican media, in the first place. The Church does not engage in public arguments with anybody through the media, whatever the allegation against the Church is. However, the denial was read in churches allover the world.Kutoka kwenye source .. website ya kanisaa..sasa ukibishaa na hii polee ,mkuu..fungua akili yakoo mambo yapoo wazii ..
Pope calls parents of people with same-sex attraction to paternity and maternity
Are you around the world...I can see this topic has gone viral in the social media arround the world! Celebration and thankful has emerged to some members of LGBT.
I think this is the time for Catholic Church to come and elaborate basing on the moral and Church's decision upon this issue.
I think you are either lazy or crazy if not insane! Everything nowdays is on your finger tips!Are you around the world...
The how did you know it went viral???
Are you around the world...
The how did you know it went viral???
Are you around the world...
The how did you know it went viral???
I dont think if you know what Vatucan is!Pope is final authority in Vatican
Mfano:- haki ktk ndoa,haki za mwanamke juu mumewe...kulishwa,kuvishwa,kulindwa n.k na haki za mwanaume juu ya mkewe...kuheshimiwa kama kiongozi,kupewa unyumba, n.kZinaweza zikawa zipo nyingi unaweza ukaorodhesha chache ili tujue ipi ni haki ya mwanamke na ipi ni ya mwanaume. Toa mifano michache
Vijana mnachekesha sana, kuupinga ukweli ni ngumu sana yaani haiwezekani.Unajielewa mkuu?Huu uzi unamzungumzia Papa kuhalalisha ushoga.Papa anatumia Quraan?Hapa tunachambua tamko la Papa kuangalia kama ni sawa kwa mujibu wa vitabu wanavyotumia wakatoliki pamoja na Papa.Sasa mambo ya Quraan yanatokea wapi tena?
Wapi huyo Yesu alijiita yeye mwana philosophy.?...au alivyoondoka aliacha vyeti vya u philosophy..?Mimi sijakufananisha na Yesu.Nilitaka kukuonyesha kuwa kila kitu kina kanuni na misingi yake.Misingi katika dini ni kujibu maswali yote bila kujali swali hili ni la kejeli au ni swali la kujifunza na ndivyo Yesu alikuwa anafanya.
Habari za Yesu nimezitoa katika mafundisho ya Phylosophy.Unaelewa kuwa Yesu alikuwa ni mwana Phylosophy?Unaelewa kuwa Yesu anatajwa na kutumika sana katika mafundisho ya Phylosophy?Mimi namsoma,kumtambua na kumwamini Yesu kama mwana Phylosophy na si vinginevyo.
Mi naona msifia mvua imemnyeshea....nina wasiwasi na papa (100%)
Acha kutetea ujinga...Nadhani hapa ndipo wau wenye akili mchundo hawajamuelewa. Hajabariki ndoa hizo, lkn ikitokea mtu akawa kwenye kundi hilo "asipigwe mawe mpaka kufa", sheria imlinde maana naye ni binadamu!
Such as...About everyone's privacy